Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mimi huwa sio muumini sana wa yanayoitwa makosa ya uchochezi lakini huyu sheikh ni dhahiri anachochea chuki ya wazi kabisa. Itashangaza kama vyombo vya dola havitashughulika naye kisheria mtu kama...
4 Reactions
64 Replies
3K Views
Sema akina Mudavadi wakajitia ujuaji mwingi Siku nyingine waombe msaada Tanzania Ahsanteni sana 😁😁🇹🇿🇰🇪
2 Reactions
5 Replies
286 Views
Ombi langu mamlaka zimruhusu aingie aendelee na shughuli zake, afrika ya mashariki ni moja, hasa Tanzania, Kenya na Uganda, issue ndogo ndogo za kila lissu na wanaharakati wengine zisitukwaze...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
PROFESA Mohamed Janabi, jina lake limetangazwa rasmi kuwa miongoni mwa wagombea watano katika kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda ajaye wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Kanda ya Afrika...
10 Reactions
102 Replies
6K Views
The question I’m asking is: "Does WHO Africa not have electoral fraud to allow Janabi to win?" I raise this question because this candidate comes from a country that has a history of electoral...
15 Reactions
74 Replies
4K Views
Nimesikia watu mbalimbali na hata viongozi wakubwa kabisa wakisema watanzania tufanye kila tuwezalo ili professor Janabi ashinde kinyan’anyiro cha uchaguzi wa mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa...
12 Reactions
32 Replies
2K Views
KWANINI Mwanza isipatiwe kiwanja cha mpira kizuri kama jiji la Dar, Arusha na Dodoma. 1.Mwanza ni jiji la pili Tanzania kwa watu wengi 2.Mwanza inatoa vipaji vya mpira vingi sanaa kama Aisha...
20 Reactions
149 Replies
6K Views
Polisi wamevamia nyumba anayoishi Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Mwanga, Lembruce Mchome. Inadaiwa kuwa wamempiga mama mzazi wa Katibu huyo na kupelekea kuzimia mara kadhaa. Watano wamekamatwa na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hizi Kampeni za kutaka Prof: Mohamed Janabi awe kiongozi wa WHO Afrika naona kama vile zimekuwa kubwa Sana. Harakati kama hizi pia zilifanywa Kwa Faustine Ndungulile wakati anagombea? Maana...
16 Reactions
128 Replies
9K Views
Ukifuatilia vizuri na kwa umakini, utagundua kwamba wale wote waliotangaza kuondoka Chadema, umaarufu wao ulizikwa siku ileile waliyotangaza kwamba wanahama kwenye Chama hicho, yaani baada tu ya...
12 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuu, Alooo hii kali🤣🤣🤣 kama utupu kichwani ungekua mtu basi angekuwa Babu Tale! Yanayomhusu ni ya jimboni kwake tu hayo mengine yanayotokea sehemu nyingine sio kazi yake, hayamhusu na hataki...
14 Reactions
102 Replies
4K Views
Wakuu, Akizungumza leo na waandishi wa habari, Boni Yai amekanusha madai kwamba Freeman Mbowe yuko nyuma ya kundi la G55, akisisitiza kuwa tuhuma hizo si za kweli. Amesema kuwa kwa sasa Mbowe...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
TAUHIDA GALLOS AKABIDHI GARI KWA UWT MKOA WA MAGHARIBI, ZANZIBAR Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Magharibi kichama, Mhe. Tauhida Cassian Gallos Nyimbo tarehe 11 Mei, 2025 akiwa Kiembesamaki...
0 Reactions
1 Replies
339 Views
Labda wale wakongwe tuliokuwepo enzi hizo akina mrangi na Pascal Mayalla wanaweza kunipa mfanano wa kesi hizi mbili ya Tundu Lisu na ile ya 1980s ya akina Macghee, Hans Pope na wenzao Hata nyie...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Zama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli. Baada ya kula kiapo...
65 Reactions
205 Replies
65K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Pwani Boniface Jacob(Boni Yai) amekanusha kauli zilizokuwa zikisemwa na baadhi ya watu wanaojivua uanachama wa chama hicho akiwemo John...
3 Reactions
4 Replies
923 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema tuhuma zilizotolewa na miongoni mwa wanachama wa chama hicho aliyesema ametolewa kwenye group la kamati kuu(Devotha Minja) kuwa ni kwa...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake (UWT) mkoa wa Njombe Dkt. Scholastika Kevela amewataka viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Njombe waliojiondoa...
0 Reactions
2 Replies
393 Views
Kama unakumbuka ile tafrani ya CCM hadi wengine akina Tandaleone wakaanzisha CCJ ilikuwa hivi hivi sawa na G55 Anachofanya Mbowe anawatanguliza wafuasi wake Chaumma huku yeye mwenyewe na Wapendwa...
10 Reactions
10 Replies
883 Views
Ni kwamba Zitto Kabwe hajui wazi hakuna mtu mwenye akili timamu mwenye muda wa kufuatilia tena na IPTL/ESCROW nyakati hizi, hakuna mtu mwenye akili timamu atakayefuatilia suala ambalo inajulikana...
3 Reactions
11 Replies
664 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…