Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Polisi wamevamia nyumba anayoishi Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Mwanga, Lembruce Mchome. Inadaiwa kuwa wamempiga mama mzazi wa Katibu huyo na kupelekea kuzimia mara kadhaa.
Watano wamekamatwa na kupelekwa kituo cha Polisi akiwemo Mchome, Sadho na wengine watatu.
Tukumbuke huyu katibu aliripoti tukio la kweli la kupigana kati ya Mkurugenzi na Afisa wa Usalama wa Taifa
Taarifa zaidi zitakujia
Mwanga, Kilimanjaro: Mkurugenzi wa wilaya azichapa kavu kavu na Afisa usalama wa wilaya ofisini kwa Mkurugenzi huyo - JamiiForums
Watano wamekamatwa na kupelekwa kituo cha Polisi akiwemo Mchome, Sadho na wengine watatu.
Tukumbuke huyu katibu aliripoti tukio la kweli la kupigana kati ya Mkurugenzi na Afisa wa Usalama wa Taifa
Taarifa zaidi zitakujia
Mwanga, Kilimanjaro: Mkurugenzi wa wilaya azichapa kavu kavu na Afisa usalama wa wilaya ofisini kwa Mkurugenzi huyo - JamiiForums