Taarifa za Mdude_Nyagali mwana JamiiForum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba Mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa...
Mbunge
Kazi: Mgonga meza bungeni hana hata cheti cha la saba.
1. kugonga meza pekee 560,000 kwa siku
2. mshahara 18,000,000, kwa mwezi
3. gari milioni 110, mkopo na pengine wanasamehewa
4...
Hizi sarakazi zote mnazoziona hazipo kwa maslahi ya Taifa wa maslahi ya chama( CCM ) bali ni kwa maslahi ya wahujumu na wezi wanao linda mali na mianya yao isibugudhiwe na ndio maana kwanza...
MAAZIMIO YA IDU JUU YA HALI MBOVU NA HATARI YA SIASA TANZANIA
Umoja wa vyama vya kidemokrasia duniani (IDU) ulihitimisha mfululizo wa mikutano yake kwa mkutano mkuu uliofanyika tarehe 16.05.2025...
Hali inaendelea kuwa mbaya kwa upande wa CHADEMA.
Leo ni zamu ya Mkoa wa Songwe.Viongozi na wafuasi wapatao 24 wamejivua uamachama.
Baadhi ya Viongozi wa CHADEMA ikiwemo Mjumbe wa Mkutano Mkuu...
DAR. Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe amesisitiza Sera ya chama hicho ya Lishe maarufu Ubwabwa akisema Taifa lisilo na lishe haliwezi kujiletea maendeleo...
Wakuu hizi ni sababu kadhaa za kuaminika na zimefanyiwa kazi kwanini CCM watashinda kila wakati
1. Aina ya wapiga kura.
Hii ni sababu mojawapo, vijana wengi na wasomi ambao pengine ndio wangeweza...
.CHAUMMA INA UMA.
Kuna baadhi ya wanasiasa wanajidanganya na wengine kudanganywa kuwa CHAUMMA inaweza kuwa tishio kwa chama tawala leo au kesho, hii naomba wasahau kabisa.
Kwa taarifa tu...
Mwenyekiti wa CHAUMA ambaye kitaaluma ni Mwanasheria na ni Wakili wa Kujitegemea mzee Hashimu Rungwe amesema hakuna sababu ya kushiriki Uchaguzi endapo Tume Huru ya Uchaguzi haitapatikana...
Kiukweli naandika kwa uchungu sana naandika kwa maumivu sana our intelligence unit mna failed ktk kuikinda hii nchi na high brid war warfare.
Naandika nikiwa kama Raia ila najiona kuwa na uwezo...
Nina tumaini wote tu wazima wa afya,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Matukio yanaendelea nchini Tanzania, hasa katika kipindi hiki tunapoelekea uchaguzi; mambo mengi ni meusi...
Kama kuna mtu ndani ya CHADEMA mwenye uwezo wa kuwa Rais na kuleta mabadiliko ya kweli, basi ni John Heche.
Anaongea mambo ya msingi sana hoja zake ni za kisiasa, zenye uzito, na zinawagusa...
Wanabodi
Niko hapa hoteli ya Four Points by Sheraton jijini DSM kuwaletea uzinduzi wa muongozo mpya wa ufanyaji biashara wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ili Kurasimisha...
Mkuu wa majeshi na polisi na tume na bunge na mamlaka zote hizi ampaswi kukataa haki na kumuamini sana raisi tunafanya makosa makubwa sana kama tutaiacha nchi kuondoka kwenye haki na sheria na...
Ndani kipindi cha miaka miwili wachambuzi wa kisiasa wametoa maoni ya uongozi wa Rais Samia kuwa ni kiongozi aliyefanya mabadiliko makubwa.
Hakuna mwenye macho asione mazuri na makubwa anafanya...
Wanaharakati wa kisiasa ambao wametoswa katika vyama vyao wako katika hatua za mwisho kuanzisha chama cha kisiasa kitakachoitwa Chama cha Ukombozi wa Umma kwa lengo la kuendeleza harakati hizo...
MAZITO YAJADILIWA KATIKA BUNGE LA ULAYA, TUNDU LISSU KESI YA UHAINI, ALI KIBAO KUUAWA,,WATU KUPOTEZWA N.K
https://m.youtube.com/watch?v=4QH2juya5sk
Wabunge wa Bunge la Ulaya wasema kuwa zile 4R...
Nashukuru sana waheshimiwa Tundu Lissu, John Heche na wapigania uhuru wengine wa CHADEMA.
Jipeni moyo, msikate tamaa. Inawezekana siku ile unayokata tamaa ndo siku ya kukamilika kwa ukombozi...