Kulikuwepo na thread humu JF juu ya maandalizi kabambe ya mkutano wa wazee wa kimasai ulikuwa ukiandaliwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo, Edward Lowasa na Ole Medee. Leo ndiyo mkutano...
Kiongozi Mkuu mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani Zitto Kabwe amefunguliwa Kesi na Harbinder Singh Seth akidaiwa kumkashifu mfanyabiashara huyo na kumvunjia heshima mbele ya...
Heche kwa uwezo wake mkubwa wa kuelezea vitu kwa ufasaha na kwa ufupi. Pamoja na ujasiri wake amekuwa mashuhur kuliko vijana wenzake wote wanasiasa . Kwa sasa anamzidi Mwigulu, Biteko, Makamba...
NCCR mageuzi ilikuwa na nguvu miaka ya 1995 ikasambaratika!!
CUF miaka ya 2000 ikasambaratika.
CHADEMA miaka ya 2015, leo hii imesambaratika na kufa kifo cha mende.
Bado hatujapata vyama serious...
Mkurugenzi wa habari, uenezi na haki za binadamu wa chama cha wananchi (CUF). Amekinanga chama cha mapinduzi kuwa kinaongozwa kwa mawazo mgando na nguvu za viongozi wa dini....
Kambaya aliyasema...
Mwanasiasa nguli mh Kambaya aliyejiunga Chadema hivi karibuni amejivua Uanachama na kuachana kabisa na chama hicho
Mh Kambaya anesema kwa sasa anabaki kuwa raia Huru.
---
Abdul Kambaya
ABDUL...
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho , inaeleza kwamba leo Tarehe 11/3/2023 , Kutafanyika hafla fupi ya kupokea wanachama wapya .
Shughuli hiyo ya dharula itafanyika kwenye Ukumbi wa Garden ...
Pesa zilizotumika katika Kampeini ya Prof Janabi zilikuwa zinatoka wapi na zitalipwaje?
Gharama za Usafiri, Hotel, Meals and accommodation, Allowance, n.k.
Mbona nchi nyingine hawakutumia pesa...
I know a good guy mwenye Maturity na Mental Strength…… Shekh Boni Yai ni one of those .
Boni Yai ni Team Mbowe lia lia…. But amechagua Objectivity over subjectivity… hii inamfanya kuwa kijana...
Huyu kijana ambaye kwa sasa anaitwa BoniYai au Mleta Taharuki, hadithi yake ya kisiasa inasisimua kwa kiasi chake, hakuwahi kuwa na makuu wala kujikweza.
Hebu msome hapa halafu Toa maoni yako
Ndugu MREMA na kichwa chako kama pasi ya umeme nakusalimu sana broo!
Umeyaona yanayoenda kumsuribu Zitto kabwe dhidi ya wale shombe shombe?
Yoteeee hayo ni dhambi za usaliti alizozitenda dhidi ya...
Wakuu,
Ni mwendo wa kuendelea kuangalia panapovuja mpaka iache kunyesha.
https://www.youtube.com/live/7DyNX31-xaQ?si=rDbUhzxMfwptm2Q-
Meza Kuu inajumuisha;
Henry Kileo - Mwenyekiti...
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho Duniani kote, huku Nakala ikisambazwa EU, UN na kwenye Balozi zote za Kigeni (Kasoro za Nchi za kiafrica) hii hapa
Mwamba kwenye CV yake hakuna popote unapomuona alifanya kazi za kimataifa/WHO (Magonjwa ya milipuko) zaidi ya Teuzi za hapa na pale. Na lile Jambo letu!
Alivyopokelewa akapewa Ukatibu mkuu wa wizara kisha Ubunge kisha Uwaziri katika wizara mbalimbali
Na sasa ndiye Mchumi mkuu
Hapa nataka kuwaonyesha jinsi ilivyo vigumu kupata umaarufu ndani ya...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini kimemvua uongozi mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Lemburus Mchome leo Jumamosi, Mei 17, 2025.
Katibu...
Habarini!
Ni wazi wala bila kuzunguka namna Lissu na wenzie walifanya kampeini ya kumtoa Mbowe ilitumika baadhi ya namna zimeacha madonda machungu kwa Mbowe akini kwa team yake na heshima yake...
Mwakilishi wa Kenya, mwanasheria na mtetezi wa haki za binadamu Martha Karua amekamatwa Tanzania alipoingia katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tarehe 18 Mei 2025. Alikuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.