Rais Samia ajiandae kupokea Nobel Prize pamoja na Tuzo ya Mo Ibrahim

Billal Saadat

Senior Member
Nov 30, 2022
169
356
Ndani kipindi cha miaka miwili wachambuzi wa kisiasa wametoa maoni ya uongozi wa Rais Samia kuwa ni kiongozi aliyefanya mabadiliko makubwa.

Hakuna mwenye macho asione mazuri na makubwa anafanya mama huyu wala mwenye masikio hasikii maajabu anafanya Rais Samia kwa nchi yetu!

Rais Samia kwa kipindi cha miaka miwili amepandisha Pato la Taifa kutoka dola bilioni 67 hadi dola bilioni 85 hadi kufika 2028 Tanzania itakuwa East Africa Economic Super Power!

Rais Samia ametajwa mara saba na majarida mbalimbali ulimwenguni kuwa mwanamke mwenye nguvu kubwa kwasasa Duniani (TIME, FORBES, 500 Muslims Magazine nk).

Amemaliza miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake Reli ya SGR, Bwawa la Nyerere, Daraja la Busisi, Ikulu ya Dodoma nk.

Analipa madeni yote ya nchi yaliyoachwa na mtangulizi wake, kwa makampuni, nchi na watu binafsi mfano Lissu amelipwa stahiki zake. Mama anaijenga nchi kwa 4R (Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild).

Ameruhusu mabinti waliopata ujauzito kurudi shule kuendelea na masomo kwa kuwajengea miundombinu wezeshi ya kufanikisha kumalizia safari yao ya Elimu.

Elimu bure msingi hadi kidato cha sita na ametoa mikopo ya Elimu ya juu hadi kwa wanafunzi wa diploma.

Rais Samia ameifanya nchi kuweza kujitegemea na kujiendesha yenyewe kutokana na mapato yake ya ndani makusanyo ya trilioni 2.62 kwa mwezi.

Tanzania imefuzu AFCON vilevile itakuwa mwenyeji wa AFCON 2027 Timu mbili za Tanzania zimeingia makundi michuano ya Afrika.

Ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kuzalisha vioo Africa Mashariki na kati, ujenzi wa Kongani ya Viwanda Kwala, Ujenzi wa Bandari Kavu ya Kwala.

Viwanja vikubwa viwili vya Mpira kwa Arusha na Zanzibar.

Ameruhusu mikutano ya kisiasa, mchakato wa katiba mpya, ametoa ruzuku kwa vyama vya siasa, amewaachia huru wafungwa wa kisiasa.

Amekuza diplomasia na mataifa rafiki na Tanzania amefungua masoko ya bidhaa kwa wakulima, Biashara na Utalii.

Yapo mengi sana hakika Mama yuko kazini kuijenga Tanzania ya Asali na Maziwa.

IMG_0645.jpg
 
Kusema ukweli amekua Raisi mzuri kuliko mtagulizi wake umeweza kuvumilia matusi na kejeri za Chadema na wana harakati wake kama mdude chadema, dr Slaa,nk ambazo sio rahisi mtu kuvumilia ukiwa na state backing........ she deserves the noble prize hamna Raisi zaidi yake ata Nyerere mwenyewe.
 
Hii nchi tunakoelekea course za uchawa zita anza tolewa vyuoni.
Sema mkuu kujipendekeza huko bado na Teuzi hampati ni hasara, yule mwanzako anawekaga hadi na namba ya simu, akihisi labda mama atapita humu amuone lakini hola.
Kazi mnayo machawa.
 
Ndani kipindi cha miaka miwili wachambuzi wa kisiasa wametoa maoni ya uongozi wa Rais Samia kuwa ni kiongozi aliyefanya mabadiliko makubwa.

Hakuna mwenye macho asione mazuri na makubwa anafanya mama huyu wala mwenye masikio hasikii maajabu anafanya Rais Samia kwa nchi yetu!

Rais Samia kwa kipindi cha miaka miwili amepandisha Pato la Taifa kutoka dola bilioni 67 hadi dola bilioni 85 hadi kufika 2028 Tanzania itakuwa East Africa Economic Super Power!

Rais Samia ametajwa mara saba na majarida mbalimbali ulimwenguni kuwa mwanamke mwenye nguvu kubwa kwasasa Duniani (TIME, FORBES, 500 Muslims Magazine nk).

Amemaliza miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake Reli ya SGR, Bwawa la Nyerere, Daraja la Busisi, Ikulu ya Dodoma nk.

Analipa madeni yote ya nchi yaliyoachwa na mtangulizi wake, kwa makampuni, nchi na watu binafsi mfano Lissu amelipwa stahiki zake. Mama anaijenga nchi kwa 4R (Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild).

Ameruhusu mabinti waliopata ujauzito kurudi shule kuendelea na masomo kwa kuwajengea miundombinu wezeshi ya kufanikisha kumalizia safari yao ya Elimu.

Elimu bure msingi hadi kidato cha sita na ametoa mikopo ya Elimu ya juu hadi kwa wanafunzi wa diploma.

Rais Samia ameifanya nchi kuweza kujitegemea na kujiendesha yenyewe kutokana na mapato yake ya ndani makusanyo ya trilioni 2.62 kwa mwezi.

Tanzania imefuzu AFCON vilevile itakuwa mwenyeji wa AFCON 2027 Timu mbili za Tanzania zimeingia makundi michuano ya Afrika.

Ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kuzalisha vioo Africa Mashariki na kati, ujenzi wa Kongani ya Viwanda Kwala, Ujenzi wa Bandari Kavu ya Kwala.

Viwanja vikubwa viwili vya Mpira kwa Arusha na Zanzibar.

Ameruhusu mikutano ya kisiasa, mchakato wa katiba mpya, ametoa ruzuku kwa vyama vya siasa, amewaachia huru wafungwa wa kisiasa.

Amekuza diplomasia na mataifa rafiki na Tanzania amefungua masoko ya bidhaa kwa wakulima, Biashara na Utalii.

Yapo mengi sana hakika Mama yuko kazini kuijenga Tanzania ya Asali na Maziwa.

View attachment 2784215
Acha jumshusha hadhi Rais Samia

-Elimu ni Bure kuanzia chekechea Hadi University,

Unaamua uende diploma.pesa ipo,uende certificate Mkopo upo uende University Mkopo upo na Boom Juu.

-Kuna kongani 3 za Viwanda zinaendelea Kwala,Kigamboni,Mkuranga na Mtwara

-Kwa Sasa Tanznaia inajitegemea mbolea baada ya Kumleta Mwekezaji wa kiwanda Cha Mbolea Dodoma

-Anaweka maji ya Bomba Kila Kijiji,maji ya Kila Mji na in fact Baadhi ya maeneo maji ni 100%

-Anajenga mabwawa makubwa ya maji Kwa umwagiliaji na matumizi ya Kidunda na Farkwa Dodoma.

-Anajenga Barabara kuu za lami zaiis ya km 4,000 kwa.mpigo

-Anajenga Barabara za lami Tarura zaidi ya km 450 Kwa.mpigo on top of Kufungua Barabara za changarawe Vijiji vyote

-Anajenga scheme za umwagiliaji za Kilimo Kwa Zaidi ya Bilioni 300

-Ametoa na anaendelea kutoa maelfu ya Ajira kuliko Rais yeyote hata JK akasome

-Sasa Tanznaia inaheshimika sana kwenye Demokrasia

-Anajenga Vitu vya Afya 212 awamu ya pili baada ya kukamilisha Vituo 234 awamu ya kwanza
Sekta ya Afya ndio kabisaa Kwa Sasa Tanznaia ndio Baba wa Huduma za Afya Afrika Mashariki na kati.

Kiufupi tunaweza kujaza seva,itoshe kusema Samia ndio mama wa Taifa.🔥🔥🔥🔥
 
Acha jumshusha hadhi Rais Samia

-Elimu ni Bure kuanzia chekechea Hadi University,

Unaamua uende diploma.pesa ipo,uende certificate Mkopo upo uende University Mkopo upo na Boom Juu.

-Kuna kongani 3 za Viwanda zinaendelea Kwala,Kigamboni,Mkuranga na Mtwara

-Kwa Sasa Tanznaia inajitegemea mbolea baada ya Kumleta Mwekezaji wa kiwanda Cha Mbolea Dodoma

-Anaweka maji ya Bomba Kila Kijiji,maji ya Kila Mji na in fact Baadhi ya maeneo maji ni 100%

-Anajenga mabwawa makubwa ya maji Kwa umwagiliaji na matumizi ya Kidunda na Farkwa Dodoma.

-Anajenga Barabara kuu za lami zaiis ya km 4,000 kwa.mpigo

-Anajenga Barabara za lami Tarura zaidi ya km 450 Kwa.mpigo on top of Kufungua Barabara za changarawe Vijiji vyote

-Anajenga scheme za umwagiliaji za Kilimo Kwa Zaidi ya Bilioni 300

-Ametoa na anaendelea kutoa maelfu ya Ajira kuliko Rais yeyote hata JK akasome

-Sasa Tanznaia inaheshimika sana kwenye Demokrasia

-Anajenga Vitu vya Afya 212 awamu ya pili baada ya kukamilisha Vituo 234 awamu ya kwanza
Sekta ya Afya ndio kabisaa Kwa Sasa Tanznaia ndio Baba wa Huduma za Afya Afrika Mashariki na kati.

Kiufupi tunaweza kujaza seva,itoshe kusema Samia ndio mama wa Taifa.🔥🔥🔥🔥
Hakika ni MAMA WA TAIFA. Licha ya utendaji uliotukuka:-

1. Ni Rais wa kwanza mwanamke Tz, East Africa na nchi nyingi duniani

2. Ni Makamu wa kwanza mwanamke Tz

3. Ni Mkt wa kwanza wa Chama kikubwa Africa yaani CCM nk

Apewe maua yake! Mama wa TAIFA! By the way kuna watu wamejipa ushangazi wa Taifa, dada wa Taifa? Mama mkwe wa Taifa? Nk Tukuwe serious kidogo!

Dr. Samia Suluhu Hassan ni MAMA WA TAIFA
 
Ndani kipindi cha miaka miwili wachambuzi wa kisiasa wametoa maoni ya uongozi wa Rais Samia kuwa ni kiongozi aliyefanya mabadiliko makubwa.

Hakuna mwenye macho asione mazuri na makubwa anafanya mama huyu wala mwenye masikio hasikii maajabu anafanya Rais Samia kwa nchi yetu!

Rais Samia kwa kipindi cha miaka miwili amepandisha Pato la Taifa kutoka dola bilioni 67 hadi dola bilioni 85 hadi kufika 2028 Tanzania itakuwa East Africa Economic Super Power!

Rais Samia ametajwa mara saba na majarida mbalimbali ulimwenguni kuwa mwanamke mwenye nguvu kubwa kwasasa Duniani (TIME, FORBES, 500 Muslims Magazine nk).

Amemaliza miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake Reli ya SGR, Bwawa la Nyerere, Daraja la Busisi, Ikulu ya Dodoma nk.

Analipa madeni yote ya nchi yaliyoachwa na mtangulizi wake, kwa makampuni, nchi na watu binafsi mfano Lissu amelipwa stahiki zake. Mama anaijenga nchi kwa 4R (Reconciliation, Resilience, Reform and Rebuild).

Ameruhusu mabinti waliopata ujauzito kurudi shule kuendelea na masomo kwa kuwajengea miundombinu wezeshi ya kufanikisha kumalizia safari yao ya Elimu.

Elimu bure msingi hadi kidato cha sita na ametoa mikopo ya Elimu ya juu hadi kwa wanafunzi wa diploma.

Rais Samia ameifanya nchi kuweza kujitegemea na kujiendesha yenyewe kutokana na mapato yake ya ndani makusanyo ya trilioni 2.62 kwa mwezi.

Tanzania imefuzu AFCON vilevile itakuwa mwenyeji wa AFCON 2027 Timu mbili za Tanzania zimeingia makundi michuano ya Afrika.

Ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kuzalisha vioo Africa Mashariki na kati, ujenzi wa Kongani ya Viwanda Kwala, Ujenzi wa Bandari Kavu ya Kwala.

Viwanja vikubwa viwili vya Mpira kwa Arusha na Zanzibar.

Ameruhusu mikutano ya kisiasa, mchakato wa katiba mpya, ametoa ruzuku kwa vyama vya siasa, amewaachia huru wafungwa wa kisiasa.

Amekuza diplomasia na mataifa rafiki na Tanzania amefungua masoko ya bidhaa kwa wakulima, Biashara na Utalii.

Yapo mengi sana hakika Mama yuko kazini kuijenga Tanzania ya Asali na Maziwa.

View attachment 2784215
Umesahau karudisha mgao wa umeme.
 
Kusema ukweli amekua Raisi mzuri kuliko mtagulizi wake umeweza kuvumilia matusi na kejeri za Chadema na wana harakati wake kama mdude chadema, dr Slaa,nk ambazo sio rahisi mtu kuvumilia ukiwa na state backing........ she deserves the noble prize hamna Raisi zaidi yake ata Nyerere mwenyewe.

Acha kumlinganisha Nyerere na watu wa hovyo.
 
Hakika ni MAMA WA TAIFA. Licha ya utendaji uliotukuka:-

1. Ni Rais wa kwanza mwanamke Tz, East Africa na nchi nyingi duniani

2. Ni Makamu wa kwanza mwanamke Tz

3. Ni Mkt wa kwanza wa Chama kikubwa Africa yaani CCM nk

Apewe maua yake! Mama wa TAIFA! By the way kuna watu wamejipa ushangazi wa Taifa, dada wa Taifa? Mama mkwe wa Taifa? Nk Tukuwe serious kidogo!

Dr. Samia Suluhu Hassan ni MAMA WA TAIFA

Mama wa Taifa ndio kituko gani?. Acha kichekesha watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom