Abdul Kambaya ajiondoa CHADEMA

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,980
Mwanasiasa nguli mh Kambaya aliyejiunga Chadema hivi karibuni amejivua Uanachama na kuachana kabisa na chama hicho

Mh Kambaya anesema kwa sasa anabaki kuwa raia Huru.
---

1683106147132.png

Abdul Kambaya
ABDUL Kambaya ametangaza kujiondoa rasmi kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Ametangaza uamuzi huo hii leo tarehe 3 Mei 2023, jijini Dar es Salaam.

"Ninaondoka Chadema na sitojiunga na chama chochote. Kwa sasa mimi ni mwanasiasa huru,” ameeleza.

“HILi sio jambo jipya, kujiunga katika chama na kisha kuondoka. Kama Lowassa na Sumaye walijiunga na Chadema na wakatoka, siwezi sema kuna changamoto hasi zilizofanya kuchukua hatua hii ya kutangaza kujitoa Chadema. Sijitoi Chadema kwenda chama kingine cha siasa,” Abdul Kambaya.


Source Mwanahalisi Digital
 
Mwanasiasa nguli mh Kambaya aliyejiunga Chadema hivi karibuni amejivua Uanachama na kuachana kabisa na chama hicho

Mh Kambaya anesema kwa sasa anabaki kuwa raia Huru.
---

View attachment 2608304
Abdul Kambaya
ABDUL Kambaya ametangaza kujiondoa rasmi kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Ametangaza uamuzi huo hii leo tarehe 3 Mei 2023, jijini Dar es Salaam.

"Ninaondoka Chadema na sitojiunga na chama chochote. Kwa sasa mimi ni mwanasiasa huru,” ameeleza.

Source Mwanahalisi Digital
Wafuasi wake basi warudinae
 
Siku chache tu Bw.Kambaya na wenzake walikimbia CUF na kwenda Chadema wakidai ndio chama chenye uhakika wa kushika dola, akapita mikoa yote ya pwani kuisema vby serikali ya CCM, wengine tunaojua siasa tukawa tunamcheka tu, Leo amerudi tena kwa waandishi wa habari na kutangaza kuihama CCM.

Ujumbe wangu kwa Kambaya ni huu.

1. Nchi hii vyama vya siasa ukiondoa CCM ni biashara
2.CCM ndio mkombozi wa kweli wa watanzania, hatukatai kina mapungufu yake lakini yanatatulika.
3.Huwezi kuwa kambale mbele ya Sugu, Lema, Msigwa, Lissu, Heche na Wenje, hao akili zao wote ni ubunge tu ili maisha yaende mbele.Kutukana kote serikali wanataka kwenda bungeni kutanua.
4.Kambaya achana na siasa, mwacheni mama apige kazi na atimize malengo yake.
5.Wenzako akina Katani waliyaona haya wakarudi CCM mapema, sasa wanapambana wakiwa ndani ya chama.
6.Utahangaika vyama vyote lkn unapoteza muda wako.
7.Kama chama cha siasa kilichokuwa cha ukweli na kilibeba matumaini ya watu kilikuwa ni NCCR Mageuzi ya marehemu prof Abdulrhaman Babu.Kiko wap sasa hivi.
8.Narudia tena, hakuna chama wala mwanasiasa wa upinzani mwenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko hapa nchini zaidi ya CCM.Hakuna, hakuna, hakuna.
 
Siku chache tu Bw.Kambaya na wenzake walikimbia CUF na kwenda Chadema wakidai ndio chama chenye uhakika wa kushika dola, akapita mikoa yote ya pwani kuisema vby serikali ya CCM, wengine tunaojua siasa tukawa tunamcheka tu, Leo amerudi tena kwa waandishi wa habari na kutangaza kuihama CCM.

Ujumbe wangu kwa Kambaya ni huu.

1. Nchi hii vyama vya siasa ukiondoa CCM ni biashara
2.CCM ndio mkombozi wa kweli wa watanzania, hatukatai kina mapungufu yake lakini yanatatulika.
3.Huwezi kuwa kambale mbele ya Sugu, Lema, Msigwa, Lissu, Heche na Wenje, hao akili zao wote ni ubunge tu ili maisha yaende mbele.Kutukana kote serikali wanataka kwenda bungeni kutanua.
4.Kambaya achana na siasa, mwacheni mama apige kazi na atimize malengo yake.
5.Wenzako akina Katani waliyaona haya wakarudi CCM mapema, sasa wanapambana wakiwa ndani ya chama.
6.Utahangaika vyama vyote lkn unapoteza muda wako.
7.Kama chama cha siasa kilichokuwa cha ukweli na kilibeba matumaini ya watu kilikuwa ni NCCR Mageuzi ya marehemu prof Abdulrhaman Babu.Kiko wap sasa hivi.
8.Narudia tena, hakuna chama wala mwanasiasa wa upinzani mwenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko hapa nchini zaidi ya CCM.Hakuna, hakuna, hakuna.
Chama cha kuleta mabadiliko sisi M hii hii?Stop joking

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom