About 10 minutes ago, two people, a man and a woman, showed up at my house. They knocked for several minutes. At first, I didn’t answer, hoping they would eventually leave. Instead, they kept...
Patrobas Katambi amuweka Samia Suluhu kwenye minzani ya Utawala bora na Utawala wa Sheria.
Samia alijua atakuwa mtu wa kumsaidia kuwaunganisha watanzania.
Badala yake katambi kamvua nguo Samia...
Ahsante CHADEMA kwa kuendelea kuwapa Nafasi walau Dakika Tano Hawa Wamama ambao waliuliwa Ndugu zao Oktoba 29 kama nilivyoshauri hapa , CHADEMA YANGU, Kila Mkutano wa Hadhara Tupate Dakika Kumi...
Katambi wala Madilu kukitokea civil war among ourselves, hawa hawatakuwepo front line.
Sana sana watawapeleka nyinyi polisi na JW kapuku mfe.
Hivyo msiwasikilize hawa wauaji.
Madilu anamuandaa...
Viongozi 15 wa Chama cha Wananchi (CUF) Zanzibar wameisusa CUF tangu Jumapil, Juni 28, 2026, wametangaza kujiuzulu kwa sababu mbalimbali ikiwemo kutoridhishwa na uongozi wa sasa.
Nawashauri...
Daa, hadi mwili unatetemeka.
Leo nimepata very classified information kutoka Tanzania kuhusiana na kutekwa Kwa Hamphley Polepole.
Polepole alikuwa mwiba mchungu Kwa CCM na Samia. Na hali hii...
Natamani sana kuuelewa ukimya wa mh rais kwenye mambo nyeti ya kitaifa kama hili la waziri wa mambo ya ndani kumwagiza IGP asitoe kibali cha mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa,na hii ni...
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Serikali imeboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi katika maeneo ya vijijini na mijini
Amesema kuwa bajeti ya Wizara ya Maji...
Panya road walianza mwaka 2014 wakaendelea mdogo mdogo wakaja kuibuka kuanzia 2022 mpaka leo hii, wakazi wake wengi ni kama Zanzibar, Temeke, Tandika, Chanika, Mwananyamala, Buguruni, Kinondoni...
My Take
Kwa navyomjua Rais Samia hatiweka kabatini haya mapendekezo ya kimageuzi kama watangulizi wake.
Tume ya rais imependekeza mageuzi makubwa 284 ya kubadili mfumo wa kodi wa taifa...
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 100 kuchangia ujenzi wa Shule ya Msingi na Awali inayojengwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kusini Mashariki ya...
Ukweli siku zote una speed ya kobe lakini haujawai kushindwa kufika mwisho wa safari. Ndivyo ilivyo kwa utawala wa awamu ya 6 wanatundanya na kutuona labda hatuna akili lakini kuna siku ukweli...
Wanabodi,
Niko hapa ukumbi wa Four Points by Sheraton, nikiwaripotia live mubashara, Kikao Kazi kati ya Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, na Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kupitia...
Ndugu zangu Watanzania,
John Heche Ni Muongo sana Anapokuwa Jukwaani, anakuwa anatoa sauti kubwa huku akiongea takwimu za uongo uongo na Uzushi uzushi tu akifikiria anaongea na kuzungumza na...
Manispaa ya Ilemela Mwanza, Kata ya Ilemela kuna Mtendaji anakusanya michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za mwenge, wanapita katika ofisi na taasisi mbalimbali kuomba michango hiyo.
Sasa...
Huku waziri aloteuliwa na Samia akifungia vyama vya Siasa, Mtoto wa Rais wa Uganda amefungia vyombo vya habari.
Kisa mtangazaji wake alihoji kutata kujua kama Janeth Mke wa Museven amekufa huko...
Ikiwa Serikali ilijuwa kwamba imenunua meli mbovu ambayo mda wote ingezama lakini iliacha ikaendelea kutumika Hadi ilipopinduka na kuua maelfu ya watu,lengo la kufanya haya ilikuwa ni nini hasa...
Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na maofisa wote wa Jeshi la Polisi wanapaswa kutekeleza Katiba na sheria za nchi, badala ya kufuata maelekezo ya viongozi ambayo...
Ungelidhani kweli ni mtu kumbe ilikuwa njaa na si dhamiri kama alivyo nabii Lissu
--
Video hii inatoka kwenye mdahalo wa mubashara (live debate) uliorushwa na kituo cha televisheni cha Star...