Mjadala mkali unaoendelea hivi sasa nchini Tanzania unamhusu kiongozi wa dini, Sheikh Said Mwaipopo, ambaye ananyoshewa vidole na wananchi wengi, wanaharakati, na wachambuzi wakiamini anatumika...
Serikali imepokea gawio na michango kutoka kwa taasisi, mamlaka, na mashirika mbalimbali ya umma. Baadhi ya taasisi ambazo hazikukidhi viwango mwaka jana zimeweza kufanya vizuri na kutoa michango...
Aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, amelituhumu Bunge na Spika kwa kupitisha Sheria ya Fedha ya Mwaka 2026 na bajeti ya Tsh. Trilioni 62.33 bila kufanya mabadiliko yoyote, licha ya uwepo wa...
Kama heading inavyojieleza katibu muenezi wa ccm taifa anatarajiwa kufanya ziara mkoa wa pwani yote ambapo atatembelea KIBAHA,RUFIJI na MKURANGA... yetu macho na masikio ni juzi tu apo waziri...
Sheikh Mwaipopo: Tuna kundi la vijana 38,000 wanaojiita Mbwa Mwitu. Ukiandamana Sabasaba wanapita na maini yako
kwa kauli hii je ulimwengu unapaswa kujua kuwa huyu ndiye mfadhili wa watekaji...
Tanzania inapolisi wengiiieeeee? Kuliko raia?
Wanakuaga wapi kabla ya vitisho vya maandamano?!
CCM na Serikali msipuuze, tafuteni suluhu la kudumu na NJIA ni nyepesi kuweni wakweli,
Mfano ahadi...
Kuna wakati unamsikiliza kiongozi mkubwa wa serikali akiongea hadharani, unalazimika kushika kichwa na kujiuliza: hivi hawa watu huwa wanasoma hata vile vitabu wanavyoviasaini au huwa wanaongea...
Kila mtu anaona wanavyohaha, hofu imewajaa mioyoni.
Wataua waTanzania tena?
Hata kichaa akikabiliwa na hali ya namna hii atajiuliza mara mbilimbili kama kweli akili yake inafanya kazi vizuri...
Bei ya sukari imepaa kutoka wastani wa shs 3000 kwa kilo kufikia elfu tano baadhi ya mikoa ya pembeni. Kila ikifika wakati wa viwanda vya ndani kusimamisha uzalishaji hali hii hujirudia na si...
Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ,Sanaa,, Utamaduni na Michezo, ameshindwa kiaina kujibu tuhuma nzito alizotoa CAG Mstaafu Prof Mussa Assad juu ya Waziri mmoja...
Hii siku nilikuwa na usafiri wangu wa Pikipiki nikielekea Katoro, mara baada ya kuingia mji huo nilikuta watu kadhaa wamekaa kimakundi punde si punde umbali kama wa mita mia tatu niliona gari la...
Ikiwa rais alisema anapunguza milolongo ya misafara yake ili kubana matumizi ya mafuta huu mwenge unakimbizwa kutumia nishati gani?
Ni kwa nini katika kipindi cha crisis kama hiki tuendelee...
Mimi ni kijana amabye duka langu la simu mwaka jana lilivunjwa na kuibiwa na hata kupata hasara ya milion hamsini.
Kelele za siasa zimeendelea kufanya hata sisi wafanya biashara kutokuweza...
Rais Kikwete alikula pamoja na wapinzani
Rais Kikwete alicheka pamoja na wapinzani.
Rais Kikwete aliifanya CHADEMA ijulikane.
Rais Kikwete aliifanya bunge la Tanzania kuwa bunge haswa kwa...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema zuio la mikutano ya hadhara halilengi kukiuka misingi ya demokrasia nchini, bali kuimarisha ulinzi na usalama, akisisitiza kuwa...
"Brand ya Wanaume", DC Magoti wa Kisarawe akilalamikiwa vikali baada ya polisi kuvamia nyumba na kuvunja geti.
Utaratibu wa ukamataji kwa PGO umezingatiwa?
Clip inazunguka mitandaoni.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema baadhi ya nchi jirani zinachochea machafuko nchini kwa lengo la kudhoofisha uchumi wa Tanzania
Vita ya kiuchumi ni kuchocheana nyie...
Wakati CHADEMA wanaelekea kwenye Ofisi ya Mkurugenzi kudai barua za viapo, polisi walivuruga na kuanza kupiga mabomu zikiambatana na risasi za moto kwa wapenzi na wanachama wa CDM eneo la...