Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wameanza kujidanganya na wanamdanganya kuwa hili litapita kama mengine yalivyopita, wana buy time ili jamii isahau, wanasema tugange yajayo. Nawaambia kuwa wasipowajibika wao tutahakikisha watoto...
4 Reactions
5 Replies
150 Views
Wapiga kura wameanza kuitisha majalada yao. Gwajima aliahidi kuwapeleka Birmingham wakazi wote wa Kawe ambao kwa idadi ni malaki. Mpaka leo hajawapa hata passport. Akaahidi boti za uvuvi kwa kila...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
"Mheshimiwa Spika, Tanzania ni nchi maskini kiasi ambacho haipaswi kupewa heshima ya kujadiliwa kwenye baraza letu la Seneti au Bunge la kitaifa. Ina rasilimali nyingi, lakini ina viongozi...
227 Reactions
401 Replies
21K Views
Mfumo Mbovu wa Uchaguzi na Katiba mbovu vimetuletea viongozi wasiofaa waliotetea matendo ya utekaji, utesaji na ubakaji wa wageni tena Bungeni, matukio ambayo yametangazwa duniani kote. Tumejionea...
58 Reactions
247 Replies
10K Views
Tunamjua Mwakyembe alisimama imara kuwapinga Mafisadi kina Lowassa na Rostam Tunamjua Mwandosya, alimpiga spana Jiwe na kuweka msimamo dhidi yake pamoja na Jiwe kumbananisha sana Tunamjua Sugu...
25 Reactions
129 Replies
6K Views
Wakuu, Nilikuwa napitia CVs za wabunge leo. Kuna kitu kimenishangaza sana kuhusu huyu Mbunge wa Eric Shigongo. According to his CV huyu mwamba alisoma Gedeli Primary School kuanzia 1977 had...
24 Reactions
101 Replies
6K Views
Heaviness ndio humpa mtu ushindi. The heavy you are determine the possibility of winning your battle. Gwajima is too heavy compared to Maza.
19 Reactions
94 Replies
4K Views
Chadema imepitia anguko baya sana la kisiasa nchini, pengine kuliko hata lile la NCCR MAGEUZI na CUF, lililochangiwa na tabia na kauli za viongozi wake waandamizi zinazolalamikiwa na wanachama...
7 Reactions
117 Replies
3K Views
Kwenye picha ni Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Mtume Boniface Mwamposa maarufu ‘Bulldozer’ akishiriki mkutano mkuu maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa leo Mei 30, 2025 Jijini Dodoma...
8 Reactions
101 Replies
5K Views
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, amesema "Mtu akinichokoa chokoa, nitasema vitu utatoka moshi, huwezi kufungua Macho"
27 Reactions
94 Replies
6K Views
Inakatisha tamaa namna ambavyo watanzania wanashikwa akili kirahisi. Yaani idara inatumia mbinu za propaganda za enzi za USSR huko na bado zinafanya kazi dhidi ya wadanganyika. Sio bahati mbaya...
8 Reactions
35 Replies
1K Views
Biblia inasema mkimbizeni shetani naye atawakimbia Hiyo ni kinyume kwa Gwajima Gwajima amewahi kumkimbia shetani kwa gari kutoka kanisani kwake akatelekeza kanisa kwa shetani akaenda nyumbani...
1 Reactions
78 Replies
2K Views
"Vita dhidi ya TUNDU LISSU , ni vita dhidi yetu, ni vita dhidi ya Wanademokrasia , ni vita dhidi ya Interests za Ulaya na Dunia ya kidemokrasia ".... Bunge la Ulaya !!. Kuna wajinga ,wajinga...
54 Reactions
133 Replies
7K Views
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama...
15 Reactions
93 Replies
4K Views
Yaani hawa watu kwa ujinga na ulevi wa madaraka, walitaka kumuonyesha Mange kuwa maandamano anayoyahamasisha wanaweza kuyazima na kwamba serikali haiwezi kupinduliwa kwa njia ya maandamano. Hata...
12 Reactions
15 Replies
303 Views
Wanabodi Leo ni siku ya Jumapili,najitahidi siku za Jumapili,niwe naleta mada za holistic approach Huu ni uzi wa swali tuu, nimeona jinsi washabiki wa NRNE walivyo chachamaa kwenye mitandao ya...
7 Reactions
105 Replies
4K Views
Tangia mwwka 1996 Mkurugenzi wa gaming board Mr. Abbas Tarimba ni huyo huyo je ni kwanba hakuna watanzania wengine wenye sifa ya kuwa Wakurugenzi! Mbaya zaidi Makampuni ya casino yanaleta...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Kuna askari zaidi ya 40 wenye uniform wana bunduki wamezingira kanisa upande wa barabara na wengine kwa nyuma, kuna wenye uniform na wengine wamevaa kiraia, pia kuna magari ya polisi zaidi ya...
26 Reactions
241 Replies
15K Views
Watanzania ni mabingwa wa kufuata mkumbo Chadema hawashiriki uchaguzi na hata zoezi la kuboresha taarifa za wapiga kura na kuandikisha wapiga kura wapya hawajashiriki Sasa hiyo No Election...
16 Reactions
102 Replies
2K Views
HUKO INSTAGRAM KUANZIA JANA KUMEWAKA KILA POST YOYOTE UTAKAYO GUSA HAIJALOSHI INAHUSIHANA NA NINI UKIFUNGUA COMMENT 99% WATU WOTE UNAKUTA WAMECOMENT "NO REFORM NO ELECTION" HATA KAMA POST ZA KANGA...
26 Reactions
59 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…