Alphonce Muyinga ametoa mtazamo wake juu ya kile kinachoendelea kufanywa na baadhi ya Wanaharakati hapa nchini akidai kuwa Wachochezi lengo lao na dhamira yao sio kuwasaidia Watanzania bali ni...
Saba Saba leo inahitaji amani si machafuko. Maria Sarungi, Mange Kimambi na genge lao wanajaribu kuwatumia vijana kuleta jeraha katika taifa la.Tanzania. Machafuko kama yale ya Oktoba...
Ziara ya Rais ruto naweza ita ni usanii wa kizazi hiki.
Alikuja kwa lugha nzuri tukamkaribisha mpaka na Bungeni kwetu.
Akatuambia kwamba yeye anataka refinery ijengwe Tanga.
Kumbe mwenye mradi...
Nimeona moja ya video mchambuzi wa hovyo anayeitwa DJ SMA anayedai kutumia facts na logic tu akiwa na hoja za ajabu ajabu sana akisema kuna viongozi wa makanisa walipewa pesa kutoka nchi za...
Nimekumbushwa huu wimbo wa Mabepari walia kukatiwa Mirija. Wqlipotangaziwa azimio la Arusha.
Mafisadi wa CCM na Chawa wao ndivyo watalia ikitungwa katiba mpya.
Katiba mpya yaja, Poleni Machawa...
Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ametangaza kujiondoa kwa muda katika majukumu yake ya ofisi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizowasilishwa dhidi yake mbele ya...
Kwako ,
Rais wetu Dkt. Samia Suluhu na Serikali kwa ujumla,
Nakusalimu kwa jina la JMT,
Nina ushauri wa kudhibiti hali ya tishio la maandamano la mara kwa mara. Katika matishio hayo...
Kwenye moja ya hoja moto kwa viongozi wa serikalini hata vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa siku za karibuni ni Amani.
Hebu tujadili hivi Tanzania kweli hakuna Aman kiasi cha nchi kuwa na...
Mtangazaji wa EFM anasema kwa hapa tulipo siasa hazina maana, waliopo madarakani wachape kazi, Je, hawa watangazaji waanze kupimwa akili kabla ya kupewa vipasa sauti?
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, amesema matukio ya utekaji nchini yameanza kuwa jambo la kawaida, akieleza kuwa yanapaswa kukemewa kwa nguvu zote...
Nashangaa sana kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wanaishi Kenya. Je, nani anaowahifadhi na nani anaowafadhiri hao wanaharakati?
Je, huyo anayewafadhiri yeye ananufaika na nini na...
1. Mara nyingi huwa najiuliza hivi kweli chadema wanajua wanataka nini? Mara nyingi wamekuwa wanachagua njia yenye miba sana kwa wafuasi wao ili wakijichoma wao wapige kelele
2. Kwanza lazima...
Natoa Pole za Dhati kwa CHADEMA kwa kuondokewa na mwanafamilia ambaye alikua dereva wa Dereva wa John Heche Kama ni Dereva wa John Heche na Mtu Wa mwisho kuonekana na Marehemu ni John Heche hakika...
Kanusho bodaboda,bajaj na daladala hawaja tangaza kuuunga maandamano aidha wanawasihi wananchi kuyapinga kqa kuwa wao bila watu kwenda kutafuta hawapati chochote kitu
Kuna maumivu ambayo hayaponi kwa dawa yanabaki kuishi kwenye kumbukumbu za wale waliopitia mateso yake.
Oktoba 29 iliacha simulizi ambayo wengi hawataisahau, Ilikuwa siku ambazo vilio vilizidi...
Kuna maumivu ambayo hayaponi kwa dawa yanabaki kuishi kwenye kumbukumbu za wale waliopitia mateso yake.
Oktoba 29 iliacha simulizi ambayo wengi hawataisahau, Ilikuwa siku ambazo vilio vilizidi...
Ni ukweli ulio wazi sasa hivi wakuu wa taasisi za serikali ikiwemo TANESCO wanamdharau huyu Rais ndiyo maana wanamhujumu, wanamchonganisha kwa wananchi aonekane ameshindwa kuongoza.
TANESCO...