Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Hivi yule OCD aliyeshusha bendera ya chadema mmeshindwa kumtembezea kichapo pale yale sio majukumu ya kipolisi ni uharifu usiovumilika.
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Huyu OCD anaitwa Christopher Msonsa, ambaye ni OCD wa Wilaya ya Kipolisi Mbalizi. OCD Huyu ameshusha Bendera za CHADEMA Siku ya Leo ,ambayo ni Siku ya Kumbukizi ya Miaka 33 ya kuanzishwa kwa...
0 Reactions
Replies
Views
Butiku watanzania wamechoka kuongea ongea bila vitendo! Unapoteza muda wako mzee wetu. Bila katiba mpya ambayo inasimamiwa na chombo huru cha kitaalamu sio makada hali hii itaendelea kubaki hivi...
2 Reactions
2 Replies
122 Views
Anaitwa Tundu Antiphas Mughwai Lissu alizaliwa terehe 20. January 1968 kwa sasa ametimiza miaka 58, Lissu anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ndani ya Gereza kuu la Ukonga kwa kesi ya Uhaini...
3 Reactions
4 Replies
239 Views
Uchaguzi tayari umeisha Uganda na kuna malalamiko kuwa Yoweri Museni kaiba kura na kuwatesa wapinzani ikiwemo kumkamata Boby Wine jana usiku. Sasa kwanini Waganda hawatoki na kuanza kuharibu nchi...
6 Reactions
158 Replies
2K Views
Kinachosumbua mawaziri wengi kwa sasa ni namna gani wanafanya shughuli zao kwa mujibu wa matakwa ya mgawanyo wa madaraka na utendaji kazi. Wengi wa mawaziri wanaacha kujikita katika kubuni na...
2 Reactions
12 Replies
263 Views
  • Redirect
Utaratibu wa Kanisa Katoliki na sheria za kanisa zinasema ukitaka kumshitaki kiongozi au mshiriki yeyote wa kanisa lazima uanzie kwa Paroko, Paroko atapeleka kwa Askofu ndipo Askofu atapeleka kwa...
7 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Baada ya Samia kukivuruga chama chake na kukosa kuungwa mkono ndani ya ccm na kwa Watanzania, aliamua kuyakamata makundi aliyoyaona yana ushawishi mkubwa akayahonga fedha nyingi na wengine...
0 Reactions
Replies
Views
Watanzania sio wajinga, wanajua kuwa chadema ndio waliharibu mali, maisha na utaratibu wao mzima siku ya na baada ya uchaguzi. Wananchi sio wajinga wa kushindwa kujua kwamba no reforms no election...
3 Reactions
125 Replies
1K Views
Wakuu mpoooo!!!! Huyu inatakiwa VAR imulike bongo lake labda kuna chenga chenga πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Wanaovuruga amani ni hao wanaong'ang'ania madaraka kiuhalifu ------------- Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana...
0 Reactions
0 Replies
101 Views
BARUA YA WAZI KATIKA SIKU YA KUZALIWA YA CHADEMA. Kwa Viongozi, Wanachama, Wafuasi wa CHADEMA, na Watanzania wote wanaojali demokrasia, Leo, tunapoadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya...
4 Reactions
2 Replies
111 Views
Naziona juhudi za CCM kupambana na watu wanaotumia mitandao ya kijamii kukikosoa chama hicho. China nchi ambayo CCM wanajibaraguza kuwa wanafuata mfano wake, hawazimi mitandao bali huwapa wachina...
20 Reactions
48 Replies
792 Views
Mashehe wengi walivutiwa sana na Utekaji,uuaji,kupotezwa,unyimwaji wa haki kwa wapinzani,uchaguzi feki na ufisadi. Mashehe hua hawapingi mambo hayo niliyoyataja hapo juu. Kila aliyepinga mambo...
0 Reactions
4 Replies
212 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbiliewi Mtei, kilichotokea usiku wa tarehe 19...
2 Reactions
10 Replies
546 Views
Mbunge wa Kigoma Mjini Cleyton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo ameweka wazi kuwa Kuanzia mwezi Februari mwaka huu, Wananchi Katika Jimbo hilo hawatanunua Sanda pindi inapotokea misiba...
2 Reactions
39 Replies
787 Views
Wakuu, Msikilizeni Msemaji Mkuu wa Serikali akiwa anazungumza leo kuhusu suala zima la misaada. Mmenotice hajawaita mabeberu bali "wadau wa maendeleo?" Ila najiuliza kama Tanzania tunajiweza...
5 Reactions
23 Replies
754 Views
Ndugu Watanzania! Kama mtakumbuka, Rais Samia aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu machafuko ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Siku ya Jumamosi tarehe 17 Januari 2026, Mhashamu Baba Askofu Mwamakula...
38 Reactions
70 Replies
2K Views
Najua hili unaliweza bila shaka ili tuondokane na utegemezi wa kibeberu.Tujifunze kwa wachina
2 Reactions
22 Replies
403 Views
  • Redirect
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema uzinduzi wa Ofisi ya Uwakilishi ya Benk ya CRDB Dubai ni kielelezo cha uhusiano mzuri wa...
1 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…