Huyu OCD anaitwa Christopher Msonsa, ambaye ni OCD wa Wilaya ya Kipolisi Mbalizi.
OCD Huyu ameshusha Bendera za CHADEMA Siku ya Leo ,ambayo ni Siku ya Kumbukizi ya Miaka 33 ya kuanzishwa kwa...
Butiku watanzania wamechoka kuongea ongea bila vitendo! Unapoteza muda wako mzee wetu. Bila katiba mpya ambayo inasimamiwa na chombo huru cha kitaalamu sio makada hali hii itaendelea kubaki hivi...
Anaitwa Tundu Antiphas Mughwai Lissu alizaliwa terehe 20. January 1968 kwa sasa ametimiza miaka 58, Lissu anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ndani ya Gereza kuu la Ukonga kwa kesi ya Uhaini...
Uchaguzi tayari umeisha Uganda na kuna malalamiko kuwa Yoweri Museni kaiba kura na kuwatesa wapinzani ikiwemo kumkamata Boby Wine jana usiku.
Sasa kwanini Waganda hawatoki na kuanza kuharibu nchi...
Kinachosumbua mawaziri wengi kwa sasa ni namna gani wanafanya shughuli zao kwa mujibu wa matakwa ya mgawanyo wa madaraka na utendaji kazi.
Wengi wa mawaziri wanaacha kujikita katika kubuni na...
Utaratibu wa Kanisa Katoliki na sheria za kanisa zinasema ukitaka kumshitaki kiongozi au mshiriki yeyote wa kanisa lazima uanzie kwa Paroko, Paroko atapeleka kwa Askofu ndipo Askofu atapeleka kwa...
Baada ya Samia kukivuruga chama chake na kukosa kuungwa mkono ndani ya ccm na kwa Watanzania, aliamua kuyakamata makundi aliyoyaona yana ushawishi mkubwa akayahonga fedha nyingi na wengine...
Watanzania sio wajinga, wanajua kuwa chadema ndio waliharibu mali, maisha na utaratibu wao mzima siku ya na baada ya uchaguzi. Wananchi sio wajinga wa kushindwa kujua kwamba no reforms no election...
Wakuu mpoooo!!!!
Huyu inatakiwa VAR imulike bongo lake labda kuna chenga chenga π π π
Wanaovuruga amani ni hao wanaong'ang'ania madaraka kiuhalifu
-------------
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana...
BARUA YA WAZI KATIKA SIKU YA KUZALIWA YA CHADEMA.
Kwa Viongozi, Wanachama, Wafuasi wa CHADEMA,
na Watanzania wote wanaojali demokrasia,
Leo, tunapoadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya...
Naziona juhudi za CCM kupambana na watu wanaotumia mitandao ya kijamii kukikosoa chama hicho.
China nchi ambayo CCM wanajibaraguza kuwa wanafuata mfano wake, hawazimi mitandao bali huwapa wachina...
Mashehe wengi walivutiwa sana na Utekaji,uuaji,kupotezwa,unyimwaji wa haki kwa wapinzani,uchaguzi feki na ufisadi. Mashehe hua hawapingi mambo hayo niliyoyataja hapo juu.
Kila aliyepinga mambo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbiliewi Mtei, kilichotokea usiku wa tarehe 19...
Mbunge wa Kigoma Mjini Cleyton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo ameweka wazi kuwa Kuanzia mwezi Februari mwaka huu, Wananchi Katika Jimbo hilo hawatanunua Sanda pindi inapotokea misiba...
Wakuu,
Msikilizeni Msemaji Mkuu wa Serikali akiwa anazungumza leo kuhusu suala zima la misaada. Mmenotice hajawaita mabeberu bali "wadau wa maendeleo?"
Ila najiuliza kama Tanzania tunajiweza...
Ndugu Watanzania!
Kama mtakumbuka, Rais Samia aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu machafuko ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Siku ya Jumamosi tarehe 17 Januari 2026, Mhashamu Baba Askofu Mwamakula...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema uzinduzi wa Ofisi ya Uwakilishi ya Benk ya CRDB Dubai ni kielelezo cha uhusiano mzuri wa...