Kama ni Ishu ya maridhiano tu ndugu zangu Ccm ridhianeni na chaumma au Act ndo iliingia kwenye uchaguzi.
Chadema Haina hata diwani kwanini mnalazimishe waingie kwenye maridhiano wakati Kuna watu...
Comrades and well wishers of our great and beloved country, I am persuaded to join a call that the self positioned into power the so called chama cha mapinduzi now has met all tenets required to...
Zipo namna nyingi mojawapo ni pamoja na kuuliza maswali ya kawaida ya uelewa. Uwezo wakujieleza kwa kuongea na kuandika pia.
Umakini katika maandiko na kugundua makosa, ufahamu katika taarifa...
Hawakosi kuposti thread hata kumi kwa siku zote zikimshambulia..
Hawa chawa Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, Dr wa Manesi, Retired, Troll J kwa mrengo wao na kujinasibu kwao hujitanabaisha kwa...
Baada ya Mnyika kusambaratisha mkakati wa Mamluki, wa ndani na Nje ya Jf wakiwemo baadhi yao ndani ya Chadema, imeamriwa wote Waliolipwa warejeshe Mpunga huo haramu
Hii ni kwa SABABU chochote...
Baada ya kishundwa kutuvuruga kwenye skukuu zetu za kitaifa , sasa wame hamia kwenye matukio ya burudani
sasa mtu mzima na akili zake anakuja na hoja kwamba MWANA FA amzomewa kitu ambacho zio...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya Jumapili ya leo
Naomba kuanza kwa declaration of interest,mimi na Zitto ni marafiki wa intake moja UDSM,namfahamu kwa karibu na huwa...
Habarini,
Kwanini lakini kitu cha muhimu kama hiki hakitiliwi maanani?
Watu wanapanga kuandamana kwaajili ya masilahi ya wanasiasa badala ya maandamano kwaajili ya BIMA YA AFYA KWA WOTE kwani...
Habari wakuu;
Nawakumbusha tu kwamba chama cha mapinduzi hakina nia ya dhati ya kushughulikia maridhiano ya kweli na nawakumbusha wadau na wenye nia njema kwamba hilo jambo kwao ni mwiba kitu...
Mnatuhumiwa kwa tuhuma nzito sana za mauaji ya kimbari yaliyofanyika Oktoba 29 na mkakaa madarakani bila ridhaa ya wananchi.
Mnatuhumiwa kuteka na kuua raia wema akiwemo Humphrey Polepole na...
Taaayari!!!! Jamaa wamezimana maokoto, Heche kawazidi wenzake ujanja, kala tonetone na za wafadhili walioingiza fweza kwenye account yake binafsi. Na Mnyika anadai wapewe ruzuku ya sh. 500m...
Wanabodi
Leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ni aibu kwa nchi tajiri wa rasilimali kama Tanzania kuwa beggers!, ombaomba!.
Tuliambiwa tutafanya uchaguzi mkuu wetu kwa...
CCM kwa uroho wao wa madaraka wanadhani maridhiano ni ushujaa! Penye haki hakuna maridhiano, hili ndilo CCM wasilolijua! Kilichofanyika Zanzibar ni kurudisha nyama kwenye sinia la pilau ili waote...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu gazeti la Mwananchi https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/uchambuzi-wa-mayala-tuzo-za-walipa-kodi-bora-nchini-zijenge-utamaduni-wa-uaminifu-5520694
Paskali
Limeeleweka vema kuwa ni propaganda za CCM na machawa kachara. Limepigwa teke na kukanyagwa misili ya mitalawanda!
Machawa tafuta lingine , hili limebuma!
Kwenye kiingereza kuna msemo maarufu wa "walking dead" ukimaanisha mtu anayetembea lakini anatenda matendo mafu.
Msemo huo unaashiria kuwa Kuna watu huwa wanaishi lakini wenyewe hawana hisia ama...
Kama ni kweli Heche chukua hatua.
Pili kila mchango upitie kwenye namba za chama na si vinginevyo na uwe msimamizi wa hizo namba. Kwani unazibeba mabegani? Unakuwa nazo kwenye simu yako and all...