Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hii ni historia nyingine muhimu sana kwa Rais Samia kwa kuweza kufanyia kazi wazo la kimaendeleo katika huduma za jamii. Ukiondoa alama nyingine muhimu sana ya ujenzi wa majengo ya huduma za...
1 Reactions
17 Replies
170 Views
Tukio la jana lisigeuzwe kuwa mtaji wa kuongeza mgawanyiko. Kuna nyakati ambazo taifa hujaribiwa si kwa ukubwa wa tukio lililotokea bali kwa namna tunavyoamua kulitafsiri. Tukio la jana...
2 Reactions
45 Replies
859 Views
Kwa Tuhuma za kuwashikilia wanafunzi wa vyuo (Chaso) Kinyume cha Sheri a Taarifa zingine zinaeleza kwamba Lengo lingine la nyuma ya pazia vijana hao iliagizwa wauawe kama Yule aliyechoma picha ya...
15 Reactions
42 Replies
805 Views
Serikali ya Tanzania imechukua hatua ya kulinda wananchi dhidi ya ongezeko la bei ya mafuta duniani kwa kutoa ruzuku ya takribani shilingi 259 kwa kila lita ya dizeli. Kwa mujibu wa taarifa ya...
0 Reactions
9 Replies
398 Views
  • Redirect
Ndugu zangu Watanzania, Embu Soma Habari Hii Nzito kutoka kwa Serikali yetu dhidi ya Vyombo mbalimbali vya Habari vya Kimataifa ambavyo Vinajaribu kutaka Kuichafua Nchi yetu na Taswira njema na...
0 Reactions
Replies
Views
Kwa mawazo yangu serikali haijafanikiwa na umashuhuri wa Rais Samia umeshuka sana. Kutoka uhalali mpaka kuwa fake!. Kutoka kusifiwa 2021-2022 mpaka kuitwa muuaji na fisadi. Tafuteni njia bora...
0 Reactions
2 Replies
50 Views
Baada ya Heche kutengenezewa script na watu wanaodhani anawachelewesha "kulamba asali," wakaibuka na propaganda ya kumchafua wakidai kuwa anakula michango. Kilichotokea ni tofauti kabisa. Maboss...
1 Reactions
4 Replies
192 Views
Zaidi ya Sh bilioni 10 zimetumika kujenga Kiwanda cha Chaki kinachomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu. Mradi huo uliotarajiwa kuwa miongoni mwa miradi ya kimkakati ya...
1 Reactions
1 Replies
104 Views
Tumeona kwenye tamasha la bongo fleva Mlimani City jinsi ambavyo wahudhuriaji walivyokataa mambo wasiyoyataka. Tumeona naibu waziri wa utamaduni akizomewa kwa kutaka kuingiza siasa kwenye...
5 Reactions
7 Replies
297 Views
Ukifuatilia matukio mawili utagundua tupo kwenye vita kali sana ya kiuchumi na kenya Dangote refinery in mombasa Rwanda kuanza kutumia bandari ya mombasa kushafirisha mafuta Soma pia Dangote...
16 Reactions
189 Replies
3K Views
Jumapili njema wadau...............................! Mwaka 2015 Mkapa alipokuwa anampigia kampeni John Magufuli (JPM) aliwaita wapinzani malofa vilevile katika hotuba yake alitaja mbinu 100...
3 Reactions
36 Replies
609 Views
Salam. kumekua na matumaini kwa baadhi ya watu wengi kua siku nchi yetu ikipata kiongozi mwingine(hasa kutoka chama tofauti), matatizo ya tanzania yataisha. Ukweli ni kwamba, hakuna rais atakae...
6 Reactions
52 Replies
748 Views
  • Redirect
Mimi kama mwananchi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, ninamshauri madam Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, inabidi kubadilika wananchi wa leo sio wa miaka ya 80 tunahitaji mabadiliko ila...
1 Reactions
Replies
Views
Najaribu kuangalia hii tunayoiita Gen Z,lakini nahisi hii ya sasa siyo kama ile.Nahisi labda watu WA chama kile ndio sasa wanajiita GenZ. Lengo kuzua taharuki na kujifanya wanapambana nayo,kisha...
1 Reactions
2 Replies
74 Views
"To my learned friend and compatriot, the Hon. Tundu Lissu… .. There was a season, not so distant in memory, when I myself stood in the storm; and in that season you were among those who took up...
9 Reactions
7 Replies
234 Views
Hii maana yake ni kwamba Ile elimu tuliyoitoa kwa muda Mrefu sasa Wananchi washaelewa Wamejua kwamba tuko sahihi na pia washaelewa kwamba mbaya wao ni nani . Hii ni Hatua Muhimu
17 Reactions
49 Replies
982 Views
Lazima tujifunze kusema ukweli, hata kama unauma. Ukweli unaweza kuumiza, lakini ndiyo unaosaidia kurekebisha mambo. Kwa mtazamo wangu, CCM ya kipindi cha Rais Samia ni dhaifu kuliko ilivyokuwa...
12 Reactions
33 Replies
378 Views
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007. Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi...
21 Reactions
199 Replies
17K Views
Mtangazaji wa Clouds FM, Farhan, ameeleza mtazamo wake kuhusu wimbi la tuhuma zinazomkabili Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, akisema kuwa kuna aina ya watu na hata baadhi ya wanachama wa...
13 Reactions
21 Replies
467 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…