Hii ni historia nyingine muhimu sana kwa Rais Samia kwa kuweza kufanyia kazi wazo la kimaendeleo katika huduma za jamii.
Ukiondoa alama nyingine muhimu sana ya ujenzi wa majengo ya huduma za...
Tukio la jana lisigeuzwe kuwa mtaji wa kuongeza mgawanyiko.
Kuna nyakati ambazo taifa hujaribiwa si kwa ukubwa wa tukio lililotokea bali kwa namna tunavyoamua kulitafsiri.
Tukio la jana...
Kwa Tuhuma za kuwashikilia wanafunzi wa vyuo (Chaso) Kinyume cha Sheri a
Taarifa zingine zinaeleza kwamba Lengo lingine la nyuma ya pazia vijana hao iliagizwa wauawe kama Yule aliyechoma picha ya...
Serikali ya Tanzania imechukua hatua ya kulinda wananchi dhidi ya ongezeko la bei ya mafuta duniani kwa kutoa ruzuku ya takribani shilingi 259 kwa kila lita ya dizeli.
Kwa mujibu wa taarifa ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Embu Soma Habari Hii Nzito kutoka kwa Serikali yetu dhidi ya Vyombo mbalimbali vya Habari vya Kimataifa ambavyo Vinajaribu kutaka Kuichafua Nchi yetu na Taswira njema na...
Kwa mawazo yangu serikali haijafanikiwa na umashuhuri wa Rais Samia umeshuka sana.
Kutoka uhalali mpaka kuwa fake!. Kutoka kusifiwa 2021-2022 mpaka kuitwa muuaji na fisadi. Tafuteni njia bora...
Baada ya Heche kutengenezewa script na watu wanaodhani anawachelewesha "kulamba asali," wakaibuka na propaganda ya kumchafua wakidai kuwa anakula michango.
Kilichotokea ni tofauti kabisa. Maboss...
Zaidi ya Sh bilioni 10 zimetumika kujenga Kiwanda cha Chaki kinachomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu. Mradi huo uliotarajiwa kuwa miongoni mwa miradi ya kimkakati ya...
Tumeona kwenye tamasha la bongo fleva Mlimani City jinsi ambavyo wahudhuriaji walivyokataa mambo wasiyoyataka. Tumeona naibu waziri wa utamaduni akizomewa kwa kutaka kuingiza siasa kwenye...
Ukifuatilia matukio mawili utagundua tupo kwenye vita kali sana ya kiuchumi na kenya
Dangote refinery in mombasa
Rwanda kuanza kutumia bandari ya mombasa kushafirisha mafuta
Soma pia Dangote...
Salam.
kumekua na matumaini kwa baadhi ya watu wengi kua siku nchi yetu ikipata kiongozi mwingine(hasa kutoka chama tofauti), matatizo ya tanzania yataisha.
Ukweli ni kwamba, hakuna rais atakae...
Mimi kama mwananchi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, ninamshauri madam Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, inabidi kubadilika wananchi wa leo sio wa miaka ya 80 tunahitaji mabadiliko ila...
Najaribu kuangalia hii tunayoiita Gen Z,lakini nahisi hii ya sasa siyo kama ile.Nahisi labda watu WA chama kile ndio sasa wanajiita GenZ.
Lengo kuzua taharuki na kujifanya wanapambana nayo,kisha...
"To my learned friend and compatriot, the Hon. Tundu Lissu…
..
There was a season, not so distant in memory, when I myself stood in the storm; and in that season you were among those who took up...
Hii maana yake ni kwamba Ile elimu tuliyoitoa kwa muda Mrefu sasa Wananchi washaelewa
Wamejua kwamba tuko sahihi na pia washaelewa kwamba mbaya wao ni nani .
Hii ni Hatua Muhimu
Lazima tujifunze kusema ukweli, hata kama unauma. Ukweli unaweza kuumiza, lakini ndiyo unaosaidia kurekebisha mambo.
Kwa mtazamo wangu, CCM ya kipindi cha Rais Samia ni dhaifu kuliko ilivyokuwa...
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi...
Mtangazaji wa Clouds FM, Farhan, ameeleza mtazamo wake kuhusu wimbi la tuhuma zinazomkabili Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, akisema kuwa kuna aina ya watu na hata baadhi ya wanachama wa...