Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

wahuni wameogopa kumshindàisha maza na makada wengine, Ivi hili lina chochote cha kutueleza juu ya uwezo wa maza kwenye Medani husika za uongozi na siasa kiujumla ?? Na je, hii haileti ishara...
23 Reactions
105 Replies
4K Views
Huenda uchangiaji pesa wa tone tone kwenye kibakuli ukahamia kwenye nyumba za ibada, baada ya uchangiaji wa tone tone kidigitali na kwenye mikutano ya hadhara kukauka na wanachadema kugoma...
2 Reactions
67 Replies
2K Views
2005 Top 3 waliochujwa Jakaya Mrisho Kikwete Dr Salim Ahmed Salim Prof Mark James Mwandosya Wagombea wengine Frederick Tluway Sumaye John Samwel Malecela Getrude Mongela Patrick Chokala...
11 Reactions
44 Replies
3K Views
Wana Jf, hivi ndugu Omary Mapuri aliyekuwa Propagandist wa CCM miaka ya 90 yupo wapi? Na je, mnakumbuka propaganda zake? Mwenye taarifa atujuze.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
GT Kati ya watu ambao waliiokoa CCM kimawazo hasa siku za hivi karibuni alikuwa ni hayati Ben Mkapa kikwete ilikuwa imeshamshinda. Ujio wa Magufuli ulirudisha heshima na nguvu ya chama lakini...
2 Reactions
1 Replies
290 Views
Kila zama na kitabu chake..by Ali Hassan Mwinyi Tuangazie namna Tanzania yetu tungetaka iwe leo zama hizi. Ndoto zangu na zako mdau tuziunganishe. Hata Traore alianza na ndoto. Mabadiriko...
0 Reactions
4 Replies
256 Views
Sheria zetu za uchaguzi zinatamka wazi kuwa tokea mtu ametangaza nia ya kugombea, akianza kugawa zawadi kwa wapiga kura, hiyo itahesabika ni rushwa. Sa100 tangu alipojitangaza kuwa yeye ni...
5 Reactions
6 Replies
711 Views
NCHIMBI ALIVYOSUSAGA KIKAO CHA KAMATI KUU KISA WAGOMBEA KUENGULIWA KWA MASLAHI YA VIONGOZI https://youtu.be/x3vkxb2cAvI?si=cDvCP7UU7A0QTtu6
0 Reactions
0 Replies
328 Views
WAZIRI wa Nchi OR Utumishi na Utawala bora, George Boniface Simbachawene na Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima wanatajwa kwenye mbio za Urais mwaka 2025 mara tu baada ya Bunge la Bajeti...
23 Reactions
182 Replies
9K Views
Falsafa ya 4rs ndio iliyowapa fursa na nafasi ya wananchi wote kuungana tena na waTanazania wengine baada ya kujificha kwa mabeberu kwa kipindi kirefu kwa sababu na visingizio mbalimbali vya...
0 Reactions
29 Replies
847 Views
Wakati Mwl. Julius K. Nyerere anaongoza mapambano ya kuwaondoa wakoloni nchini, lengo kuu lilikuwa Tanganyika ijitawale na haswa kutimiza ndoto yake ya kuliunganisha bara la Afrika kuwa kitu...
1 Reactions
18 Replies
615 Views
Wanabodi Rais Samia alipoingia madarakani, amekuja na falsafa yake mpya ya 4R, kwa jina maarufu 4R za Samia. Je hizi 4R za Samia, zimesaidia kitu au ni maneno maneno tuu?. Karibu Tuzijadili...
1 Reactions
52 Replies
2K Views
Watanzania sasa hivi wamechachamaa hawamtaki Samia, kelele kibao mtandaoni Lakini ukitazama kwa umakini, Watanzania hii imekuwa ndio tabia yao, wanasema hawamtaki kiongozi ila akindoka wanatamani...
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Hakuna haja ya kupiga Porojo nyingi, Angalia Mwenyewe Julai 20, 2025 Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini Mhe. Aida Khenani amefanya kikao cha ndani katika kata ya Kirando Jimbo la Nkasi Kaskazini...
26 Reactions
64 Replies
5K Views
Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya imeondoa mashitaka ya ugaidi dhidi ya Mwanaharakati Boniface Mwangi, ambaye sasa anakabiliwa na mashitaka ya kumiliki risasi kinyume cha sheria...
0 Reactions
0 Replies
279 Views
Katibu wa CCM Mkoa wa Mara Iddy Mkowa amekanusha uvumi wa kuibiwa kwa sanduku la kura katika uchaguzi wa Madiwani Viti Maluum Wilaya ya Serengeti Mkowa aneelezea kuwa kulikuwepo na jaribio la...
0 Reactions
1 Replies
289 Views
POLEPOLE ANA MGOMBEA WAKE MFUKONI? Lilipoulizwa swali la huenda kupitishwa kwa mgombea mmoja kwenye kugombea nafasi ya Urais ikawa ni uoga wa kushindwa kwenye mkutano mkuu, Dkt. Dennis Muchunguzi...
1 Reactions
10 Replies
732 Views
Ni wazi kwamba Chama cha Mapinduzi kina la kujibu kuhusu hoja alizotoa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole na hasa suala la lkumpitisha mgombea urais wa chama hicho, Rais...
2 Reactions
5 Replies
617 Views
Ameishilia wapi huyu Mwamba? angalau angesema kitu kwa yanayoendelea! Au mambo ya "vijesenti" vya mboga bado yamemkaba?
-1 Reactions
7 Replies
495 Views
Mchambuzi wa masuala ya siasa, Dk Dennis Muchunguzi amekosoa kauli za aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kuhusu uteuzi wa Rais Samia kuwa mgombea pekee aliyepitishwa na...
0 Reactions
9 Replies
659 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…