Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara, John Heche, amewasili nyumbani kwa marehemu Mzee Edwin Mtei kuongoza mazishi ya mwanzilishi wa chama hicho. Mwenyekiti wa...
12 Reactions
27 Replies
627 Views
  • Redirect
Heri ya Siku ya Kuzaliwa, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tunakupongeza kwa uongozi wako thabiti, wenye maono na dhamira ya dhati ya kuwaletea...
0 Reactions
Replies
Views
DKT. MWIGULU ASHIRIKI ZOEZI LA UPANDAJI MITI, DODOMA Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 27, 2026 ameshiriki zoezi la upandaji miti, mbele ya ofisi ya Waziri Mkuu Mlimwa Jijini Dodoma...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
Hivi karibuni kumekuwa na hoja kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu muungano , wakisema uvunjwe. mimi kwa maoni yangu nitawapinga. waje waseme ni kipengele gani kwenye muungano wanchoona hakifai...
2 Reactions
17 Replies
736 Views
Dodoma: Bunge la 13, Mkutano wa 2, Kikao cha Kwanza Januari 27, 2026 https://www.youtube.com/live/EMnfpRvScUo?si=r_80PfXtMdXbew20
0 Reactions
0 Replies
77 Views
TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Magereza Tanzania linapenda kuujulisha umma kuwa, zipo taratibu za mawasiliano kwa wale wote waliopo gerezani kwa mujibu wa sheria ambazo hupaswa kusimamiwa na...
5 Reactions
50 Replies
1K Views
Vurugu zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29, 2025 zimeacha alama nzito ikiwa pamoja na kuchafua diplomasia na uhusiano wa kimataifa. Vurugu hizo zilizotokana na...
1 Reactions
2 Replies
179 Views
  • Redirect
Amekuwa akipambana sana kumpambania Rais. Lakini ni kama amedharaulika tu. Zinatoka nafasi inakuwa kama hawamwoni. Tatizo ni nini? Au ni sababu yeye ni Musukuma? Siyo haki. Miaka mingi...
9 Reactions
Replies
Views
Habari za jioni wakuu.. Kama kichwa cha habari kinavyojionesha mimi naona hii miaka mitano imemtosha kabisa raisi wetu Mh.JOHN POMBE MAGUFULI na ningependa MAMA SAMIA SULUHU apokee kijiti cha...
4 Reactions
49 Replies
5K Views
  • Featured
Kipekee nitamkumbuka kuwa ndiye Rais wa kwanza Tanzania kujiapisha kwenye Barracks za kijeshi. Ni Rais wa kwanza Tanzania kuwekwa kwenye group linalowania tuzo ya Kiongozi Jeuri wa Mwaka, Tyrant...
53 Reactions
148 Replies
4K Views
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala, amesema: “Tokea lini katika nchi hii kupanda miti ikawa kosa? Polisi anitajie kifungu chochote cha...
1 Reactions
0 Replies
123 Views
https://www.youtube.com/watch?v=jfQlh6d74a0 Katika taarifa yao wameonyesha Chadema wapo tayari kukaa mezani. Lakini katika majibu yake Lyenda ameeleza vizuri kabisa msimamo wa Chadema. Ila huyu...
1 Reactions
0 Replies
108 Views
Naomba niulize wajuvi na wajuzi wa mambo ni kweli wanawake wana huruma sana kimaumbile sasa swali langu Nyerere hakumnyonga bibi Titi Mohamed; Je, awamu hii itamnyonga Tundu Lissu mkatoliki? Tena...
1 Reactions
14 Replies
540 Views
  • Featured
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amewashangaa na kuwazodoa wanaodai Kuna maisha magumu wakati Kuna Utitiri wa magari Namba E Yamejaa Barabarani,Harusi na Bar Zinajaza na Benki Kuna Foleni ya kutoa...
12 Reactions
148 Replies
12K Views
GT, Tukisema HAKI mnatuona wachochezi. Haya sasa hapa imekosekana HAKI.au AMANI?. =========== WABUNGE kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita wameiomba serikali kuchukua hatua dhidi ya mwekezaji...
19 Reactions
94 Replies
3K Views
Kichwa cha habari kiko wazi. Timu hii ya wazee wa hovyo haina maslahi ya nchi bali ya. muuaji mmoja aliyewateua. Ni aibu hadi sasa wanaamua kufanya uchunguzi kwa siri. Kwanini siri? Wanaficha...
1 Reactions
0 Replies
83 Views
Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya uenyekiti wa Rais Samia Suluhu Hassan imemteua Mkuu wa Wilaya (DC) wa Kalambo, Dkt. Lazaro Komba kuwa mgombea ubunge wa Peramiho, Mkoa wa Ruvuma...
6 Reactions
82 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…