Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

IPO haja Kwa Watanzania kufanya maandamano kuelekea ubalozi WA US, EU, AU, SADC
5 Reactions
9 Replies
204 Views
Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Mheshimiwa Abdel Fattah El-Sisi, amehitimisha ziara yake ya Kitaifa ya siku moja nchini Tanzania Julai 18, 2026. Akiwa nchini Mhe. El-Sisi amekutana na...
1 Reactions
10 Replies
293 Views
Kila mara nawasikia watu wanasema lisu anastahili anachopitia kwa sababu alimtukana Rais, ila kiukweli nimesikiliza hotuba zake na kusoma machapisho yake mbalimbali, sijawahi kukutana na tusi...
4 Reactions
14 Replies
325 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma Julai 20, 2026...
1 Reactions
2 Replies
140 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni Bora Umfadhili Mbuzi Utakunywa hata Supu Kuliko Mwanadamu Asiye na Shukurani. Shukurani ya Punda ni Mateke Hivyo ndivyo unavyoweza kusema . Hivyo Ndivyo unavyoweza...
5 Reactions
77 Replies
1K Views
Jenerali El- Sisi mtawala wa Misri aliingia Madarakani mwaka 2013 baada ya kumpindua Mohamed Morsi, rais wa kwanza Misri kuchaguliwa kidemokrasia, mwaka uliofuta aliua maelfu ya Waandamanaji...
16 Reactions
42 Replies
834 Views
Nilipata nafasi ya kumfahamu zitto Kabwe kwa kiasi kidogo wakati akiwa ni mwanachama wa CHADEMA. Yeye na Julius Mtatiro wakati huo akiwa CUF, walikuwa wananivutia hasa walipokuwa wanachambua mada...
9 Reactions
36 Replies
499 Views
Ni kweli kwamba Mvua inaleta demage karibu kila mahali inaponyesha, lakini kwa kweli kwa Tanzania ujenzi duni wa Barabara unaoongeza mno shida, hebu angalia Barabara hii, angalia kiwango cha lami...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Erythrocyte kuweni macho na upuuzi huu. Ksikubali kutoka kwenye malengo. Achaneni ja ujinga huu. Concentrate kwenye issues, pressing issues za chama kama ulinzi wa Heche na viongozi wengine. Nenda...
15 Reactions
24 Replies
322 Views
Tuanze na: JESHI LA POLISI TANZANIA. Wajibu mkuu wa jeshi la polisi kwa jamii ni kulinda maisha ya watu na mali zao. Kazi hii inafanyika kwa mujibu wa sheria ili kuhakikisha amani, utulivu, na...
1 Reactions
13 Replies
186 Views
Amani iwe nanyi wanabodi Ukiambiwa kuhusu uwepo wa kundi hili unaweza kusema hizi ni stori za Kusadikika. Ila Ukweli ulio wazi ni kwamba hizi sio stori za kusadikika, sio series za kihindi...
60 Reactions
142 Replies
10K Views
Nimejaribu kuwaza maana maisha wanayoishi raia siyo poa kabisa. Ukiwa mjini utaona mambo yako sawa kiasi nenda vijijini mzee, aseeee Ni mwendo wa kubeba bendera za Britain na chanting za "Long...
4 Reactions
20 Replies
188 Views
WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA UJUMBE MAALUM WA DRC Waziri Kombo afanya Mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa DRC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Mahmoud Thabit...
1 Reactions
3 Replies
94 Views
..Jaji Chande amesema Oct 29 kuna watoto waliuwawa. ..kwa muktadha huo naomba tutafakari kauli za Mwenyekiti, na Katibu Mkuu, wa Ccm. .Je, nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi? ..Je, vyombo...
3 Reactions
12 Replies
186 Views
Habari za mtu wa ndani kabisa wa vyombo vya usalama amenambia kwamba wakeshapewa maelekezo kufunga account za chadema wakitimiza 200M+ Na imepenyezwa propaganda kuwa zifungwe zote za benk na...
44 Reactions
102 Replies
3K Views
Je nani ni mzalendo wa kweli kati ya yule anayetangaza nchi yake na anayemtangaza mkuu wa nchi yake? MY TAKE Ukila na kipofu usimguse Mkono. Haya ndi mambo Samia anataka ndo anaita Uzalendo...
13 Reactions
21 Replies
525 Views
Je huu mradi bado UPO na kama UPO umefikia wapi BBT
6 Reactions
41 Replies
1K Views
TANU haikuchangiwa kama inavyochangiwa Chadema hii ya Leo. Chadema ya leo imepata vizingiti vya kila aina. Kuwekwa ndani, kubambikiwa kesi za uhaini na kupowa mali zao. Tanu ilichangiwa na...
6 Reactions
12 Replies
434 Views
Mtandao wa Taasisi za Kiraia nchini (AZAKI) umeitaka Serikali kuacha mbinu za "ujanja ujanja" katika kushughulikia mkwamo wa kisiasa na badala yake utekeleze mapendekezo matano yaliyotolewa na...
2 Reactions
2 Replies
120 Views
Mkadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba. Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo...
2 Reactions
9 Replies
224 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…