Mbunge Musukuma azichapa na ‘mwekezaji’

Mbunge Musukuma azichapa na ‘mwekezaji’

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
9,111
Reaction score
21,982
GT,

Tukisema HAKI mnatuona wachochezi. Haya sasa hapa imekosekana HAKI.au AMANI?.

===========
WABUNGE kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita wameiomba serikali kuchukua hatua dhidi ya mwekezaji anayetuhumiwa kubomoa bila kibali majengo ya serikali katika kitongoji cha Katoro Center kilichopo mji mdogo wa Katoro.

Wabunge hao ambao ni Joseph Musukuma wa Jimbo la Geita pamoja na Mhandisi Kija Ntemi wa jimbo la Katoro wamewasilisha malalamiko yao baada ya kamati ya Uchumi na fedha ya halmashauri kutembelea eneo hilo.


Pia soma ~ Wizara ya Ardhi: Tunashirikia na TAMISEMI kuchunguza mgogoro wa ardhi Katoro, tutatoa taarifa rasmi
 
GT
Tukisema HAKI mnatuona wachochezi. Haya sasa hapa imekosekana HAKI.au AMANI?.
===========
WABUNGE kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita wameiomba serikali kuchukua hatua dhidi ya mwekezaji anayetuhumiwa kubomoa bila kibali majengo ya serikali katika kitongoji cha Katoro Center kilichopo mji mdogo wa Katoro.

Wabunge hao ambao ni Joseph Musukuma wa Jimbo la Geita pamoja na Mhandisi Kija Ntemi wa jimbo la Katoro wamewasilisha malalamiko yao baada ya kamati ya Uchumi na fedha ya halmashauri kutembelea eneo hilo.

View attachment 3533994
Spectators nao wanawahigi mno kutenganisha fist fighters! Mimi naacha mpaka at least five punches zinakuwa traded!😅
 
Majizi yanaparuana sasa yenyewe kwa yenyewe.

Nimemsikia huyo mpumbavu anamuuliza huyo kwani nyie ni CHADEMA?

Kwahiyo saa hizi CHADEMA haipo kwenye uongozi wamo majizi ya CCM pekeyao wameshindwa kujiongoza hadi wawakumbuke CHADEMA ambao wanasema wanapinga maendeleo na kuchelewesha?
 
GT,

Tukisema HAKI mnatuona wachochezi. Haya sasa hapa imekosekana HAKI.au AMANI?.

===========
WABUNGE kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita wameiomba serikali kuchukua hatua dhidi ya mwekezaji anayetuhumiwa kubomoa bila kibali majengo ya serikali katika kitongoji cha Katoro Center kilichopo mji mdogo wa Katoro.

Wabunge hao ambao ni Joseph Musukuma wa Jimbo la Geita pamoja na Mhandisi Kija Ntemi wa jimbo la Katoro wamewasilisha malalamiko yao baada ya kamati ya Uchumi na fedha ya halmashauri kutembelea eneo hilo.

View attachment 3533994
Nani aliemuona blaza mwenye maji hapo mwisho anajidai usalama wa taifa kumbe kishoia mmoja tu.

Kapigwa push moja tu kaona yanini malumbano


View: https://youtu.be/VZm-Bm4cFP4?si=Gol5cl_jxTZQ6FgE
 
Sema watu wazima kurushiana makonde hivyo kwa mambo yanayopaswa kufuata taratibu ni ulimbukeni.
Hao ndio viongozi wenu. Hawana utulivu wa akili, hawawezi kujizuia kufanya maamuzi ya kijinga, na wengina hata mwisho wa mamlaka yao hawafahamu. Aibu kwelikweli!


Inasikitisha sana kuona tunavyoporomoka kiuongozi kama taifa!
 
Back
Top Bottom