Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ufuatiliaji wa Chaguzi za Chama Tunakuomba ufuatilie kwa umakini mkubwa mambo yafuatayo katika chaguzi za Chama, hasa wakati wa kupitishwa wajumbe. Ni muhimu kuzingatia majina matatu ya madiwani...
0 Reactions
15 Replies
995 Views
Katika kila jamii yenye uongozi wa kisiasa, kuna wakati ambapo busara za wazee wa chama huzidi kuwa na thamani kuliko mbinu za kisasa za kisiasa zinazokosa maadili. Hili ni wito mahsusi kwa wazee...
9 Reactions
30 Replies
4K Views
Mwishoni mwa utawala wa Mkapa kuna hoja ziliibuliwa na watawala walio kuwa kazini na wastaafu nchi hii kuhusu hatima ya kizazi chao kwenye utawala wa nchi hii, Hofu yao ilikuwa ni kwamba huenda...
46 Reactions
186 Replies
17K Views
Mungu ulie tupa taifa zuri Tanzania chini ya mkono wa hayati baba wa Taifa Julius Nyerere tunakuomba tunakuomba maana kama Mwl angekuwa mlafi na tamaa angejimilikisha taifa zima na kuwa mali yake...
12 Reactions
17 Replies
910 Views
Mchana huu nimeona nilele wito kwa CCM ili kuweka mambo ya kisiasa sawa huko tunakoelekea. 1. Jambo la kwanza ni kuhusu Mugombea wa Urais. Kikubwa ni kwamba - Mgombea urais hauziki kwa wananchi...
4 Reactions
9 Replies
647 Views
Wazo la Leo: Wananchi wa Tanzania wanataka mabadiliko; Watanzania wamekuwa wakitaka mabadiliko ya mfumo wao wa utawala kwa muda sasa. Ukiangalia utaona kuwa vijana wanaodai mabadiliko sasa hawana...
35 Reactions
169 Replies
19K Views
Umesahau uliyoyasema huko nyuma?
0 Reactions
10 Replies
729 Views
Ni kujidanganya tu kwa wanasiasa waliopoteza uelekeo na kukosa hoja kuwaza na kupiga mayowe eti kuna mahali kinaweza kutokea hiki au kile ili Dr.Samia Suluhu Hassan asiwe Rais wa Jamuhuri ya...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
GT Wakuu such a potential person una mficha kwa madhumuni gani. Huyu jamaa kama JPM angekuweoo lazima angepewa nafasi kubwa sana kusimamia serikali. Najua kabisa moyoni ana majonzi analia kilio...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Dodoma – Januari 2025 Mwaka 2025 utabaki kwenye historia ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama mwaka ulioshuhudia moja ya mijadala ya ndani ya chama yenye mvuto mkubwa wa kisiasa, ujasiri wa ndani...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania...
19 Reactions
348 Replies
21K Views
Wakuu, Katika dodosa zangu nimekutana na taarifa za huyu mwandishi ambaye anaitumia kalamu yake visivyo na kilichonishtua ni taarifa za kiintelijensia zinazoonyesha mwandishi huyu pamoja na...
6 Reactions
20 Replies
5K Views
NIMEKUTANA na mjadala kwenye Kijiwe cha Kahawa hapa mjini kuwa uchunguzi wao unaonyesha Makatibu wa CCM wa ngazi ya Wilaya na Mikoa na Jumuiya zake wengi wanatokana na Dini fulani, Je tetesi hizo...
6 Reactions
60 Replies
4K Views
Wakuu, Kuhusu kwanini Watanzania hawaandamani au kuungana pamoja kupinga uonevu unaoendelea nchini nadhani hii video imeelezea vizuri kwanini Watanzania hawafurukuti Huyu mhadhiri ameielezea...
21 Reactions
21 Replies
2K Views
Polepole ameelea kuwa asingeweza kukosoa huku akiwa Balozi "Mimi ni balozi kama nyie hamsemi mimi nitasema, lakini siwezi kusema nikiwa balozi. Mama huyu ananipa mimi kula na familia yangu...
9 Reactions
7 Replies
951 Views
Baba wa Taifa la Tanzania, aliweka msingi thabiti wa mchakato wa uchaguzi wa mgombea wa urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). msingi wake uliwekwa na Nyerere wakati wa uongozi wake. Mwalimu...
2 Reactions
16 Replies
822 Views
Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Shemsa Mohamed, wametakiwa kutumia busara, uadilifu na uzalendo katika kufanya teuzi za awali...
0 Reactions
6 Replies
566 Views
Sasa wanasema ni marafiki lakini rafiki mmoja kamdanganya mwingine kwenye maridhiano na kumletea shida. Je huyo rafiki ni rafiki kweli au mnafiki . Chadema wamekosa imani na Mbowe kwasababu ya...
2 Reactions
15 Replies
924 Views
Niliandika uzi ukadondoshwa.... Shida ni kuwa niliwasema mbogamboga bila kuwaficha, Najarib niwasilishe nilichoandika kwenye ule uzi ulodondoshwa japo kwa ufupi as siwez tena kuandika uzi mref...
12 Reactions
19 Replies
1K Views
Samia hasubiri kuapishwa, tayari kaanza kutekeleza ilani, mpaka 2030 hii nchi itakuwa ulaya ndogo. Serikali kupitia Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), inatarajia kupokea shehena ya mabasi...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…