Wewe unatakiwa ufungwe kamba na kuwahishwa haraka sana Mirembe.Ila Mbowe mhuni sana hivi hiyo 12b aliyovuta kwa mama dula imetumikaje? Na ndiyo hivyo kiendacho kwa mganga hakirudi, Mama dula kapigwa,chezea mpalestina wewe,chawa kina Lucas Mwashambwa wanakesha humu kumsifia wametoka kapa,mangi katekenya kidogo tu kavuta bulungutu.
Kama ka ukweli kwenye hoja ya jamaa. Chezea Mangi wewe. Mwashambwa utaendelea kuwa CHAWA mwaminifu asiye na burungutu. 😜😜😜😜🦈😜🖐️🖐️🖐️🖐️😜🤪Wewe unatakiwa ufungwe kamba na kuwahishwa haraka sana Mirembe.
Urafiki wa mashakaSasa wanasema ni marafiki lakini rafiki mmoja kamdanganya mwingine kwenye maridhiano na kumletea shida. Je huyo rafiki ni rafiki kweli au mnafiki . Chadema wamekosa imani na Mbowe kwasababu ya kumuamini rafiki yake
View attachment 3203932
Hebu tuondolee janaba lako hapa huko Dodoma umekuwa jamvi la wageni wahuni wanapasiana tu.Wewe unatakiwa ufungwe kamba na kuwahishwa haraka sana Mirembe.
Mbowe upinzani wake ni ule wenye kitu mashabiki wake wanaita ''busara''. Kimsingi ''busara'' ina maana ya kuwa upinzani asilimia kubwa ni kwa sababu ya maslahi yake na siyo kuwa anataka kuleta mabadiliko. Sasa amekuta mama naye ni mtu wa kupenda kutoa fedha kwa wingi ili tu mambo yake yaende. Colabo kama hii ni lazima inoge.Nilisikia Mama Samia hajawahi kumuamini Majaliwa hasa baada ya Majaliwa kumficha na kuongea na mkuu wa majeshi wakati Magufuli amefariki bila kumwambia makamu wa Raisi wa wakati huo ambaye ni yeye. Mama kuanzia wakati huo amekuwa hamuamini Majaliwa kabisa.
Sawa kwa upande mwingine Mbowe nasikia sio tu mambo ya siasa ni marafiki kabisa na inaenda sasa kuwa marafiki wa kifamilia.
Je inawezekana Majaliwa kupigwa chini ni kwasababu ya hili
Huyo huyo walimuita Gaidi lakini walimuacha apige picha na rais, nchi ina vituko🐼
Mbowe huyu huyu aliyeibukia kwenye Dira na vikao vya CCM vimeahirishwa?
Una bahati unatumia jina bandia. Ningeliomba "ubinywe nyeti" hadi useme hizo hela Mbowe alipewa lini na nani. PUMBAVU!Ila Mbowe mhuni sana hivi hiyo 12b aliyovuta kwa mama dula imetumikaje? Na ndiyo hivyo kiendacho kwa mganga hakirudi, Mama dula kapigwa,chezea mpalestina wewe,chawa kina Lucas Mwashambwa wanakesha humu kumsifia wametoka kapa,mangi katekenya kidogo tu kavuta bulungutu.
Mwanamke anakuwa rafiki yako Alafu Eti unasaliti wanaume wenzio,ww huwezi kujiita mwanaume kamwe.Ndio hili li Freeman Mbowe lisilojielewa,siku usajili ukifingwa halitapata timu yoyote zaidi ya kuzurura.Sasa wanasema ni marafiki lakini rafiki mmoja kamdanganya mwingine kwenye maridhiano na kumletea shida. Je huyo rafiki ni rafiki kweli au mnafiki . Chadema wamekosa imani na Mbowe kwasababu ya kumuamini rafiki yake
View attachment 3203932
You are better than this...Mbowe kala pesa za Mrs.Hafizi na uenyekiti wa Chadema sasa hautaki.