GE2025 Polepole: Nisingeweza kukosoa huku nikiwa balozi

GE2025 Polepole: Nisingeweza kukosoa huku nikiwa balozi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Sijapewa username bado

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,714
Reaction score
2,745
Polepole ameelea kuwa asingeweza kukosoa huku akiwa Balozi

"Mimi ni balozi kama nyie hamsemi mimi nitasema, lakini siwezi kusema nikiwa balozi. Mama huyu ananipa mimi kula na familia yangu, siwezi tena kuwa nakula vya mama vya mama halafu naenda kusema kukosoa chama mana nikikosoa chama namkosoa na yeye." - Humphrey Polepole
 
Back
Top Bottom