Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

RAIS SAMIA AWABEBA WACHIMBAJI WADOGO KWA KUFUTA LESENI KUBWA 2,600, MAPATO YAO YAONGEZEKA MARA5! Wakati Rais Samia anaingia madarakani wachimbaji wadogo walichangia 20% sawa na TZS 124bn kwenye...
8 Reactions
45 Replies
2K Views
CCM inaweza kuwa inafanya “legitimization” ya maamuzi ambayo tayari yalishachukuliwa bila kufuata Katiba kikamilifu – sasa wanajaribu kusahihisha kiufundi ili yasiwe kinyume cha taratibu. Pili...
1 Reactions
5 Replies
440 Views
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, ameongoza majadiliano muhimu yaliyoandaliwa na UN Women kwa kushirikiana na wadau...
1 Reactions
4 Replies
365 Views
Akizungumza katika mahojiano na Radio Mjini FM leo Julai 25, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amehoji kwa nini Watanzania walale njaa wakati Tanzania ndio nchi pekee yenye madini aina ya...
4 Reactions
11 Replies
587 Views
Askofu Amani ameyasema hayo leo Julai 25, 2025 wakati wa maadhimisho ya Jubilee ya miaka 100 ya Seminari ya Mtakatifu Yakobo Mtume iliyopo Kilema chini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro Askofu...
1 Reactions
2 Replies
317 Views
(1)Wale wasiyoyumba wala kubadilishwa kama Tundi Lissu hata umuonge nini habadiliki (2)Wale wa maslai kama Mbowe wao watavumilia kila aina ya mateso lakini ukiwapa pesa wanasahau yote (3)Wale...
1 Reactions
12 Replies
466 Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ametoa wito kwa viongozi wa vyama vyote vya siasa nchini, wakiwemo wa CHADEMA, CCM, na ACT-Wazalendo, kuonesha ukomavu wa kisiasa kwa...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Unakamata akina Soka na akina Mdude, unawatesa na wengine unawaua... hawana bunduki wala nini, bando la kukusimangia wanagongea... halafu unakuja kugundua kumbe kimeo ni Polepole, ambaye unamlipa...
4 Reactions
0 Replies
206 Views
Yule mzee mweupe ana shida gani je amegoma kustaafu?
0 Reactions
5 Replies
375 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuitisha Mkutano Mkuu Maalum wa Taifa utakaofanyika kwa njia ya mtandao siku ya Jumamosi, Julai 26, 2025 kuanzia saa 2:00 asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa...
19 Reactions
237 Replies
15K Views
Msiruhusu mtu abadilishe katiba ya chama kwa maslahi yake binafsi atakuja huyu atafanya hivi mwishoe itazoeleka na kila mtu, Hakikisheni mtu akivunja katiba anapaswa kuomba radhi au kujihuzuru...
4 Reactions
8 Replies
636 Views
a. Aliingia kupitia mtandao b. Akamtema namba mbili wake katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi c. Uchaguzi uliofuata akatumia familia kufanya kampeni nje ya mfumo wa chama. d. Alitumia...
10 Reactions
45 Replies
3K Views
https://youtu.be/wTlcAdvtS90?si=M-MdUGulyP_bLNkx Kufungwa kwa makanisa ya GCTC - Ufufuo na Uzima na onyo la mwisho kwa Samia Suluhu Hassan👇🏻👇🏻 https://youtu.be/k61Zm2GBR9c?si=8U10dcRJs5FdX31j PART...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
2015 - EDWARD NGOYAI LOWASSA 2020 - BENARD KAMILIUS MEMBE 2025 - ???? (Imekuwa Reverse kwa mkuu wa chama cha upinzani kwa muda mrefu)
0 Reactions
5 Replies
371 Views
Ngoja nizitafute kisha niwawekee mjionee wenyewe mbinu mbalimbali za Ushindi pahala penye ushindani uliopitiliza Usiondoke 🐼
1 Reactions
1 Replies
191 Views
Najua hamtaniamini. Najua mpo mtakaobisha vya kutosha na kutisha. Mtapaniki kuliko pikipiki ya kutumia kiki. Lakini, nawaambia jambo hili. Ni jambo geni na kubwa lakini muhimu na linalowezekana...
21 Reactions
33 Replies
2K Views
Salaam! Hii mikutano ya video conferencing tuliizoea time zile kuna korona, na mara nyinginw vilifanyika kupunguza Gharama. Sasa chama kikubwa namna hii kufanya mkutano mkubwa namna hii kwa...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
Sema Huyu MpoleMpole Kuna Kipindi Alikua Anaongea Nondo Sana. Japo Hazina Uthibitisho Wa Kimantiki, Hivyo Zinabaki Kua Ni Habari Fikirika Tu
3 Reactions
3 Replies
336 Views
GT Tunasema 'Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu" hata kiswahili chetu kinasema "Wengi wape". Hatakiwi kabisa na yeyote huyu.mama. Sasa huyu naona anajidai kuziba masikio anavunja katiba ya nchi na...
5 Reactions
4 Replies
514 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…