Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Alitengeneza mamia ya vyama vya siasa ili kuidanganya dunia kuwa Congo kuna demokrasia na vyama vingi. Vyama vya siasa vya kidalali vilikuwa vinajifanya kushindana nae kwenye uchaguzi alafu...
6 Reactions
26 Replies
688 Views
Spika wa Bunge, Mussa Zungu ameitaka Wizara ya Maji kufuatilia sababu za kuendelea kutolewa bili za maji kwa wakazi wa Dar es Salaam licha ya kuwapo kwa uhaba mkubwa wa maji kwa kipindi kirefu...
1 Reactions
1 Replies
177 Views
Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Soma pia PostGE2025 - Serikali ya...
1 Reactions
10 Replies
315 Views
Nchini Rwanda kuna falsafa muhimu sana inayotumiwa kumaanisha kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo na kuwalinda Wananchi na maslahi yao. Falsafa hiyo inapatikana kwenye neno Inkotanyi. Neno hili...
6 Reactions
33 Replies
684 Views
Bunge la Tanzania leo Jumatano, Januari 28, 2026 limewathibitisha wabunge, Deo Mwanyika, Cecilia Pareso na Najma Murtaza Giga kuwa wenyeviti wa Bunge. Watatu hao wamethibitishwa baada ya Spika wa...
1 Reactions
0 Replies
96 Views
Habari, nimeona mchango wangu huu niuanzishie uzi ili tujadiliane kwa mapana.. Mpaka tuufikie tunaouita ukombozi wa pili, basi tuna kazi na safari ndefu sana! Kama vijana tunaweza tukainuka na...
50 Reactions
998 Replies
61K Views
Mtu amesoma na ana Phd lakini anaingilia suala ambalo lina mkataba kisheria. Kama muwekezaji ameingia kima kosa basi halmashauri au waliofunga nae mkataba wauvunje kama kweli ni voidable...
14 Reactions
42 Replies
903 Views
Hayati Rais Magufuli, Machi 28, 2019 alifanya ziara ya kustukiza kwenye karakana za Shirika la Ndege nchini (ATCL) kukagua ukarabati wa ndege ya serikali iliyopakwa rangi kwa gharama nafuu...
2 Reactions
1 Replies
175 Views
Toka kabla ya Uhuru mababu zetu walipambana dhidi ya mikakati na madhila yaliyoletwa na mabeberu kuja kutawala na kubeba mali na rasilimali zetu kwa njia za kibabe au ulaghai. Somo nililojifunza...
0 Reactions
7 Replies
134 Views
As the ICC prepares a landmark dossier on the 2025 massacres, President Samia Suluhu Hassan is trading state funds for Republican influence in a desperate bid to escape global pariah status. By...
5 Reactions
3 Replies
162 Views
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Ameir, ametoa wito kwa wahitimu wa elimu ya juu nchini kujikita katika kujiajiri kama njia ya kutimiza malengo yao ya kiuchumi na kuchangia...
4 Reactions
70 Replies
1K Views
July 2024,Benki ya Dunia imetoa takwimu za Uchumi wa Nchi mbalimbali Duniani. Taarifa hiyo imeonesha Uchumi wa Tanzania umekua na kuongeza kutoka Dola Bilioni 69 mwaka 2021 Hadi kufikia Dola...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
  • Redirect
Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Soma: Kesi ya Mange Kimambi ya...
1 Reactions
Replies
Views
Mkutano wa Pili wa Bunge la 13 unaendelea leo Januari 28, 2026 bungeni jijini Dodoma. Miongoni mwa shughuli za leo ni Waziri Mkuu kuwasilisha Taarifa ya Matoleo ya Gazeti la Serikali pamoja na...
2 Reactions
1 Replies
145 Views
Hayo yameelezwa na KM wa CCM Dkt.John Nchimbi wakati wa ziara yake ya Mikoa 6 akiwa Njombe. DK Nchimbi ameonekana kushangazwa na kufurahishwa na Wingi wa miradi na maendeleo yaliyofanyika na...
19 Reactions
2K Replies
59K Views
Victor Mhagama, mtoto wa marehemu Jenista Mhagama, amejitosa kuwania kurithi nafasi ya ubunge ya Peramiho iliyoshikiliwa na mama yake kwa zaidi ya miaka 20 kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)...
6 Reactions
62 Replies
2K Views
Je, Serikali ina mpango gani wa haraka kuwatengea wananchi maeneo ya kulishia wanyama haswa wananchi wa mkoa wa Mara ? - Mhe. Agnes Marwa. Siku ya kwanza ya Bunge la 13, tarehe 27 Januari 2026...
1 Reactions
0 Replies
72 Views
Ndugu zangu Watanzania, Huyu Mwamba Ni Balaa Kwelikweli. Hakamatiki Wala Hashikiki. Mungu Wake nI mkubwa sana na anatembea naye muda wote Kuna jambo kubwa sana limepangwa na Mungu Wake Kwa...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Mwaka 2020 niliandika uzi humu jamvini kuhusu tofauti ndogo iliyokuwepo baina ya Congo ya Mobutu na Tanzania! Niliandika uzi ule kwa sababu kuna vitu vingi sana vilivyokuwa vinatokea wakati ule...
100 Reactions
375 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…