Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, akitoa taarifa kwa umma kuhusu utekelezaji wa ahadi za Mhe. Rais na mafanikio ndani ya siku 100 za Serikali ya awamu ya sita, leo Tarehe 28 Januari 2025; katika...
Habari za wakati huu ndugu popote mlipo.
Baada ya kukaa na kuwaza juu ya tukio la tarehe 29 October 2025 nimeanza ku-develop theory ambayo nimepata wakati mgumu kutoa hitimisho.
Je, hili tukio...
Tunawakumbuka waliouawa, waliojeruhiwa, walioumizwa, waliopewa ulemavu wa kudumu na serikali haramu ya Samia siku ya tarehe 29/10/2025.
Vijana GenZ na Watanzania wote ili kuwaenzi wahanga...
Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa ameikataa Bungeni taarifa iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalum Sigrada Mligo, aliyesimama katikati ya mchango wake na kupinga kauli...
Miaka mingi sasa kumekuwa na trend kuwa budget bora ya nchi ni ile ambayo inazidi ya mwaka uliopita.
Spending inaongezeka na badala ya makusanyo ya ndani yalioongezeka kutumika kuweka budget...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema Tanzania iko salama, akieleza kuwa uimara wa Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama umeiweka nchi...
Kwanza iliundwa kimkakati sana
Hakukuwa mjumbe hata mmoja nje ya cycle yao.. Wajumbe wote ni makada watiifu wenye maisha mazuri kupitiliza
Pili jina lililopewa lilimaanisha kuinasua serikali na...
Mfano Wanasiasa wa Tanzania wanaongoza kumtaja mungu na kumuhusisha katika harakati zao za kisiasa ila ni waongo, wadhulumaji wa haki, wala rushwa na mafisadi kuliko.
Fikiria watu wanajua kabisa...
Alitengeneza mamia ya vyama vya siasa ili kuidanganya dunia kuwa Congo kuna demokrasia na vyama vingi. Vyama vya siasa vya kidalali vilikuwa vinajifanya kushindana nae kwenye uchaguzi alafu...
Spika wa Bunge, Mussa Zungu ameitaka Wizara ya Maji kufuatilia sababu za kuendelea kutolewa bili za maji kwa wakazi wa Dar es Salaam licha ya kuwapo kwa uhaba mkubwa wa maji kwa kipindi kirefu...
Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Soma pia PostGE2025 - Serikali ya...
Nchini Rwanda kuna falsafa muhimu sana inayotumiwa kumaanisha kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo na kuwalinda Wananchi na maslahi yao.
Falsafa hiyo inapatikana kwenye neno Inkotanyi. Neno hili...
Bunge la Tanzania leo Jumatano, Januari 28, 2026 limewathibitisha wabunge, Deo Mwanyika, Cecilia Pareso na Najma Murtaza Giga kuwa wenyeviti wa Bunge.
Watatu hao wamethibitishwa baada ya Spika wa...
Habari, nimeona mchango wangu huu niuanzishie uzi ili tujadiliane kwa mapana..
Mpaka tuufikie tunaouita ukombozi wa pili, basi tuna kazi na safari ndefu sana!
Kama vijana tunaweza tukainuka na...
Mtu amesoma na ana Phd lakini anaingilia suala ambalo lina mkataba kisheria.
Kama muwekezaji ameingia kima kosa basi halmashauri au waliofunga nae mkataba wauvunje kama kweli ni voidable...
Hayati Rais Magufuli, Machi 28, 2019 alifanya ziara ya kustukiza kwenye karakana za Shirika la Ndege nchini (ATCL) kukagua ukarabati wa ndege ya serikali iliyopakwa rangi kwa gharama nafuu...
Toka kabla ya Uhuru mababu zetu walipambana dhidi ya mikakati na madhila yaliyoletwa na mabeberu kuja kutawala na kubeba mali na rasilimali zetu kwa njia za kibabe au ulaghai.
Somo nililojifunza...
As the ICC prepares a landmark dossier on the 2025 massacres, President Samia Suluhu Hassan is trading state funds for Republican influence in a desperate bid to escape global pariah status.
By...