Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, iliyoketi Jumatatu, tarehe 28 Julai 2025, Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Waheshimiwa wabunge 19 Machachari toka CHADEMA watakaribishwa rasmi CCM siku ya Mei Mosi akiwemo Nusrat Hanje (Mrs Kitenge) anayewania ubunge Jimbo mojawapo Mkoani Singida.
11 Reactions
77 Replies
4K Views
Huyu jamaa naona siasa zishamkataa. Wajumbe huko Nyamagana wamempa za uso.
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Zaidi ya Sh 115 Milioni zitatumika kujenga Kituo cha kisasa cha Polisi katika Kijiji cha Bashnet Wilayani Babati ili kukidhi haja ya kusogeza Huduma za kipolisi kwa Wananchi. Hayo yamesemwa leo...
2 Reactions
2 Replies
457 Views
Hawa Mwaifunga arudisha fomu ya ubunge jimbo la Tabora mjini, afunguka sababu za kuhamia CCM
2 Reactions
5 Replies
615 Views
Hivi kweli unampa mtu jukumu la kuamua kesi kubwa Kama ya Tundu Lissu inayorushwa live dunia nzima, Hakimu unayemlipa shilingi laki sita kwa mwezi?. Huyu Hakimu unamtendea haki kweli? Ni lini...
1 Reactions
40 Replies
2K Views
MBINU ZA TAARIFA, TEKNOLOJIA, NA UCHAGUZI WA TAIFA Katika historia ya siasa za Afrika na dunia kwa jumla, ushindi wa kisiasa umewahi kutegemea mishale, bunduki, maandamano, na hatimaye kura...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Mara, Mary Daniel, ameibuka mshindi wa kura za maoni za CCM kuwania ubunge wa Jimbo la Serengeti, akimshinda kwa mbali mbunge...
0 Reactions
3 Replies
752 Views
Slogan ya No election no reform ilikuwa imeshaanza kueleweka mpaka vijijini . Ila sasa kinachotokea ni either kukosa Mwelekeo na kujua nini wanabidi wasimamie kwa wakati husika. Page zote za...
11 Reactions
44 Replies
1K Views
Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADA-TADEA, Ally Makame, ameikosoa vikali kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya No Reforms, No...
0 Reactions
12 Replies
641 Views
Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi Mkuu ngazi ya Kata wametakiwa kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, bila kupokea au kutekeleza...
0 Reactions
3 Replies
356 Views
Siasa ni ujinga ulio kubuhu. Ujinga wa siasa ulifanya na umefanya -Ukraine na Russia kugombana hawa ni ndugu wa damu kwa kiasi kikubwa - Korea kugawanyika na kuzalisha kusini na kaskazini na...
0 Reactions
19 Replies
719 Views
Wajumbe hawana utani, wamemtwanga vibaya ndugu Mnyeti. Anaitwa ‘𝘽𝙪𝙜𝙤𝙩𝙖 𝙬𝙖 𝙈𝙞𝙨𝙪𝙣𝙜𝙬𝙞’ (dawa ya Misungwi) jina maarufu alilopewa na wananchi wa Jimbo la Misungwi, wakimaanisha ‘dawa ya Misungwi’...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni Kweli MPINA Hauna Mpinzani KISESA hili liko wazi Ila ilikupasa ukubaliana na Ukweli kua chini ya SAMIA SULUHU hutakiwi kua Mbunge Kwa Namna yoyote Ile . Angetaka uwe Mbunge ,asingekukata...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
My Take Hakuna haja ya viti Maalumu maana wanawake wenye uwezo wapo ================ Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Uchaguzi Jimbo la Musoma Mjini wamemchagua kwa kishindo Mgore Miraji Kigera...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini anayetetea nafasi yake, Shabani Ng’enda, ameibuka mshindi katika kura za maoni za Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura 2,168. Clayton Revocatus Chipando...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, licha ya kung’atuka madarakani mwaka 2015, anaendelea kuacha alama kubwa zisizoonekana moja kwa moja katika mfumo wa...
1 Reactions
7 Replies
979 Views
Katika siasa za ukomunisti: Chama chenye mamlaka ya utawala ambacho ni chama cha kikomunisti kimejishikiza na vyombo vya ulinzi na usalama vyote. Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinakuwa...
0 Reactions
5 Replies
484 Views
Polepole ameamsha hasira miongoni mwa wanaccm walio wengi. Na hivyo kupelekea vigogo 3 kujipanga kwenda mahakamani kuzuia uteuzi wa mgombea urais kwa madai kuwa mchakato haukufuata katiba, kanuni...
13 Reactions
82 Replies
5K Views
SHEHE ISSA PONDA KUSHINDA JIMBO LA TEMEKE MCHANA KWEUPE - MIKIKI KATIKA KUTETEA WANYONGE NDIO TURUFU YAKE TEMEKE - MAMBO MANNE KUMBEBA JIMBO LA TEMEKE. Uislamu unaweza kumbeba sana Shehe Issa...
1 Reactions
15 Replies
877 Views
Back
Top Bottom