Ile OFISI inayokarabatiwa ya MAKAMU wa Rais ni kuchezea fedha za UMMA,
MAKAMU wa Rais Tanzania ni OFISI ya kutulizia mijitu nguri michokonoko dhidi ya WENZAo ndio maana kupewa KAZI zinazo usu...
Migodi mingi imebakiza mashimo uwezi kuamini
Dhahabu ya Akiba inauzwa kwa Ajili ya miradi ya Maendeleo
Je UMESHINDWA KUFUNGUA MKANDA kwa kupunguza matumizi ya serikarini?!
Tarehe 29 Oktoba 2025, Tanzania iliingia kizani kimawasiliano baada ya Mamlaka kuzima Mtandao wa intaneti (internet), upande wa pili Serikali ikidai kufanya hivyo kumeweza kuwadhibiti waandamanaji...
Chondechonde hizi Scripts za Hawa Wakatoliki Feki wa Mtaa wa Dovya, Kata ya Makangarawe ifike mahali hata Wakuu wa Nchi waon Aibu inabidi Wachutame kuweza Kufika hili Jambo.
Sisi Wakatoliki wa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa wale washakunaku,wambeya ,wazushi ,mapashikuna Bebeni sasa Aibu hii bila kujificha. Mnapenda sana uongo na uzushi hasa Ma CHADEMA. Wanapenda sana kuzusha uongo
Makamu...
Mpaka unajiuliza aliwezaje kuwa Makamu wa Rais. Sasa anasema ameanzisha Wizara ya Vijana kuliponya Taifa. Kuliponya na nini? Na hiyo Wizara inaponyaje?
Huyu ilikuwaje akawa hata Mbunge? Mbona...
Well, well, well……
Tulibezwa na kutukanwa sana sisi ambao tulimtilia mashaka yule mtu aliyejiita Kapteni Tesha.
Tuliitwa kila aina ya majina isipokuwa jina la mwana wa mungu.
Miezi kadhaa...
Anaadika Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
HAZINA ILIPO NDIPO MOYO WAKO ULIPO: Tunaiuzaje? (Mathayo 6:21).
Wajaluo wana kitu kinaitwa “NYANTAKOLWAKOLWA”...
MAONI YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA KATIBA NA SHERIA, MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU (MB.) KUHUSU MPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA...
Zaidi ya watu 200 nchini Tanzania wameshtakiwa kwa kosa la uhaini siku chache baada ya maandamano ya uchaguzi ambapo upinzani unasema mamia ya watu waliuawa. Haya ni kwa mujibu wa wakili mmoja...
Ndani ya Tanzania anahangaika kuwatuma kina Habib Mchange, uvccm, Bakwata na wapumbavu TISS waandae maigizo dhidi ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kuwachafua. Anadhalilisha mapadre, Maaskofu na...
Salaam!
Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.
Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.
Mwenye...
My Take
Kwa Sasa Tanzania imeteka soko la Bidhaa la Afrika Mashariki na Sadc kiasi kwamba tunauza zaidi kuliko tunavyonunua kutoka kwao.
Kongole nyingi Kwa sera Bora kabisa za uchumi na Biashara...
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kulitangaza jeshi la Walinzi wa Mapinduzi la Iran (IRGC) kuwa ni kundi la kigaidi. Akizungumza mjini Brussels wakati wa mkutano wa mawaziri...
Ndugu zangu Watanzania,
Nawapeni tu taarifa ya kuwa kama kuna mtu ama watu ama kikundi cha watu iwe ni ndani ya Nchi ama kutoka nje ya Nchi kinachoweza kuwa na mawazo ama Dhamira ya kumhujumu...
Huu ni wito kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC.
Nyie ni chombo nyeti sana na mna aminika dunia nzima.
Huyu kibibi anawabeep sana. Anawashambulia, anawateka, na kuwafanyia mashambulizi...
Kuna wale vijana waliotoka chadema kwa ridhaa yao na kuhamia chauma baada ya ajenda yao kujulikana.
Hawa vijana wanatafta attention kupitia kuitukana chadema na maneno yasiyo na tija mtandaoni...
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amekemea tabia ya kila mtu kuwa msemaji nchini hali inayopelekea utolewaji wa Matamko ambayo yamekua yakihatarisha hali ya Amani hapa nchini...