Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mpina amesema kuna viongozi wengi Sana wa serikali wameiba vya kutosha hii nchi akiingia IKULU mali zote za serikali watazitapika mara moja mahoteli yao zitakuwa hospitali za umma
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Hii ni habari mpya mjini, Mangi kasepa na mzigo wote wa tone tone. Yericko Nyerere aliyekua kada wa CHADEMA kabla ya kuhamia CHAUMMA, kupitia ukurasa wake wa X-Twitter ameandika haya...
7 Reactions
84 Replies
4K Views
Tanzania Ina njia mbili za kuwa Tajiri 1. Uwaibie wananchi uku ukirindwa na serikali. 2.uiibie serikali kwa KUSHRIKIANA na serikali yenyewe. Km msomaji wanibishia karibu njia Moja wapo hapo juu...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Ni wazi kuwa jina "Chama Tawala" dhidi ya "Vyama vya Upinzani" , Haileti usawa katika siasa za Tanzania. Sababu ya Hoja hii ni kwamba; Majina haya huashiria maana zilizo jificha. Kwa mfano...
1 Reactions
2 Replies
329 Views
Kwa wale mashaidi wa kesi mh Lissu ... Jamaa atawaumbua mapema na kila mtu atawajua mchana kweupe. Stay tuned wala msiwe na shaka awataja mwenyewe Kizimbani
8 Reactions
50 Replies
2K Views
Serikali imetoa wito kwa vijana nchini kuhakikisha wanalinda amani ya Taifa katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ikisisitiza kuwa amani ni msingi wa maendeleo endelevu...
0 Reactions
9 Replies
840 Views
My Take Miaka 15 Inamtosha ================ Devotha Minja ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA na Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama hicho amewasili hapa Tabata Shule Jijini Dar es Salaam...
1 Reactions
65 Replies
4K Views
Malalamiko yameanza pesa za michango ya Chadema ya tonetone zinaishia makao makuu matawini hazifiki tofauti na Lisu alivyoahidi kwenye kampeni kuwa akipewa uenyekiti atahakikisha pesa za ruzuku na...
3 Reactions
46 Replies
2K Views
JE TUNAWEZAJE KUVUNJA UTAMADUNI WA URITHI WA KISIASA — UONGOZI SI URITHI WA FAMILIA Nguvu ya Uongozi Hailingani na Jina la Ukoo Katika historia ya mataifa mengi barani Afrika na Tanzania siyo...
1 Reactions
2 Replies
318 Views
== Chini ya Rais Samia, bajeti ya TARURA Mkoa wa Mara imeongezeka kutoka shilingi bilioni 6.92 mwaka 2020/2021 hadi bilioni 25.71 mwaka 2024/2025, ikisaidia kufungua barabara mpya, kukarabati za...
3 Reactions
7 Replies
475 Views
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongeza uandaaji wa hafla nzima ya uzinduzi wa harambee ya kuchangia kampeni ya CCM. Pia, ametoa...
2 Reactions
1 Replies
433 Views
Wachimbaji wadogo wa madini wamechangia Bilioni 16.2 kwenye harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025, zilifanyika Mlimani city (CCM gala dinner 2025) Soma Pia: Harambee ya kuchangia kampeni...
2 Reactions
4 Replies
554 Views
Hizi ni baadhi ya Sababu za nyuma ya pazia kuchangia CCM. 1. Kuwa "Untouchable": Unajenga taswira ya kuwa mtu muhimu kwa chama na serikali. 2. Kupata Taarifa za Uchunguzi: Kupitia uhusiano wako...
1 Reactions
12 Replies
923 Views
Hii harambe ya CCM kuna harufu ya utakatishaji fedha TAKUKURU wafanye kazi yao
0 Reactions
7 Replies
744 Views
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema hadi kufikia Agosti 4, 2025 kimepata jumla ya watia nia wa udiwani 2,116 kati ya kata 3,953, sawa na asilimia 53 ya kata zote nchini.Aidha, kwa upande...
0 Reactions
4 Replies
354 Views
Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo na mtaalamu wa uchumi, Zitto Kabwe, ametoa onyo kali kwa watu wote- ndani na nje ya Serikali wanaojihusisha au kupanga kumsaidia mfanyabiashara...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu, amesema katika jitihada za kuboresha uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi benki ya NMB imekubali kutoa mkopo kwa Serikali ambayo inamiliki kampuni ya UDART kwa 85%...
15 Reactions
111 Replies
16K Views
Harambee ya usiku huu ni ishara tosha kuwa CCM ni chama kikubwa cha siasa na hakina utani wakati wa kukamata dola utakapofika. CCM ni chama dume, dume lenyewe la mbegu hasa. Usiku Mwema Wahaini...
-1 Reactions
6 Replies
246 Views
GT 1. Uongozi ni talanta kutoka kwa mungu 2.Uongozi ni karama mtu aliyojaliwa. 3. Kiongozi hatumii nguvu nyingi kuwa kiongozi. 4. Kiongozi ni kimbilio la watu.kutatua changamoto zao. 5...
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Back
Top Bottom