Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbunge Masaburi kasema Ukweli. Tanesco ni shirika Mojawapo tuu kati ya mashirika mengi ambayo Sasa yanapata faida baada ya Serikali ya Samia kufanya mageuzi ya kisekta. ---- Mbunge wa Jimbo la...
0 Reactions
15 Replies
129 Views
Umeua maelfu ya Wananchi wako. Wananchi wana hasira kiasi wakipata nafasi watakunyonga live dunia ishuhudie. Viongozi wa dini ya kikristo wamekukataa waziwazi. Waislam wenye akili na hofu ya...
37 Reactions
90 Replies
2K Views
Nape Nnauye aliposimama mbele ya bunge na kuhoji matumizi ya mkopo wa Dola bilioni 9 uliokopwa na serikali ya awamu ya tano, Wabunge baadhi waliduwaa na wengine wakagonga meza, walikubali...
53 Reactions
187 Replies
18K Views
Ndugu zangu Watanzania, Usishindane na aliyebarikiwa, usishindane na aliyepewa kibali na Mungu, usishindane na aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu. Lazima mfahamu na ifahamike ya kuwa Aliyepewa...
4 Reactions
46 Replies
869 Views
Go straight wewe kwa mtazamo wako Tangia tumepata uhuru wa Tanganyika ni kiongozi gani aliyechafua taswira ya taifa letu Hasa kiongozi wa CCM.
0 Reactions
7 Replies
116 Views
  • Redirect
ANAANDIKA ASKOFU BAGONZA NADHANI TUNAJICHANGANYA?! Au ni Mimi Najichanganya?! 1. SAFARI YA VATICAN Tungepatana nyumbani kwanza na wawakilishi wa Papa kabla ya kwenda kwa Papa. Tumempiga Padre...
8 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Papa akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Ni katika nchi ya Tanzania ambayo Tume ya uchunguzi iko inafanya kazi ili kubaini wahusika wa vurugu zilizoibuka mwezi Oktoba 2025 iliyopita...
0 Reactions
Replies
Views
Mkutano wa pili wa Bunge la 13 unaendelea na vikao vyake leo Januari 29, 2026 jijini Dodoma. Miongoni mwa shughuli za leo ni wabunge kuuliza maswali kwa Waziri Mkuu pamoja na maswali ya kawaida...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
Kuna mkanganyiko mkubwa unaoenezwa kwa makusudi katika mjadala wa kisiasa nchini Tanzania kuhusu dhana ya maridhiano. Neno hili linatumika kana kwamba ni suluhisho la kila tatizo la kitaifa, bila...
2 Reactions
0 Replies
80 Views
Vijana ni uti wa mgongo wa Taifa la Tanzania na nguzo kuu ya mustakabali wake. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, zaidi ya asilimia 60 ya Watanzania wana umri chini ya miaka 25...
2 Reactions
0 Replies
97 Views
Kwangu mimi hii ndio picha bora ya mwaka 2025. Wewe je, picha yako bora ni ipi?
2 Reactions
4 Replies
148 Views
Noam Chomsky ana mtazamo wa kina na wa kukosoa kuhusu demokrasia, hasa jinsi inavyotekelezwa na kuathiri nchi zinazoendelea. Kwa Chomsky, demokrasia mara nyingi haina maana halisi ya kuwa sauti ya...
0 Reactions
1 Replies
349 Views
Wakuu hamjambo. Afya ya Uchumi wa Tanzania inazidi kuimarika huku takwimu za IMF zikionesha ukubwa wa Uchumi Kwa mwaka 2026 kuwa $ 95 bilion ikiwa Bado namba 5 kufikisha $ 💯 hapo mwakani...
3 Reactions
22 Replies
282 Views
Nchini Tanzania familia nyingi bado zinahangaika kutafuta miili ya wapendwa wao waliopotea wakati wa machafuko ya wakati na baada ya uchaguzi uliofanyika miezi mitatu iliyopita. Mashirika ya...
1 Reactions
8 Replies
151 Views
Bandugu naona Wakatoliki wa kuchaji wanaendelea kufanya yao. Leo wameshiriki kwenye zoezi la kupanda miti ============ Jumuiya ya Mtakatifu Yohana Parokia ya Yombo Dovya wameungana na kushiriki...
11 Reactions
104 Replies
2K Views
TEC: Kona na Vyumba Saba vya Boma la Haki na Amani: Haki za kiuchumi, Kisiasa, kijamii, kisaikolojia-na-kimwili, kiakili-na-kiroho, na Kijinsia. Utangulizi Tarehe 23-24 Agosti 2025 Baraza la...
3 Reactions
5 Replies
649 Views
Salaam! Rais Samia na serikali yake walitwambia kuwa ujio wa DP World utaongeza mapato ya serikali kwa kiasi kikubwa na kufadhili budget yetu. Sasa maswali yanakuja je! Ikiwa mapato yameongezeka...
8 Reactions
57 Replies
2K Views
Katika diplomasia ya kiuchumi, thamani ya fedha ni kama sumaku. Inaposhuka, inavuta wateja na watalii kuja ndani ya nchi, na inapopanda sana, inawafukuza na kuwapeleka kwa majirani. Kwa kutumia...
2 Reactions
28 Replies
490 Views
Katika kuadhimisha miaka 33 ya Chadema mkoani Mbeya, kulipangwa kufanyika uzinduzi wa tawi la chama katika Kata ya Inyala pamoja na bonanza la kumbukizi. Hata hivyo, wakati wa uzinduzi wa kijiwe...
6 Reactions
70 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…