Naibu Rais wa Kenya aliyeimpichiwa Mh Gachagua akiwa nchini Marekani ametoa madai mazito kwamba Rais Ruto anafadhili vikundi vya ugaidi huko Sudan na Somalia
Baadhi ya viongozi wa Kenya wanasema...
Nchi nyingine wana sheria kali dhidi ya kuchangiwa pesa kutoka nje ya nch au na wasio raia.
Hawataki nguvu au mawazo ya watu Urusi iamue nani anatawala Wafaransa, kwa mfano. Kwa saab ni lazima...
Vijana wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro wameeleza kuwa wapo radhi kutoa kadi zao za kupiga kura kwa mgombea wao ili wawe na uhalali wa kujipigia kura...
Wakuu
Hivi mbona wananchi tunatishiwa sana na hawa viongozi? Yaani Bongo kila mtu mbabe
====================
Waziri wa Katiba na Sheria Damas Ndumbaro amewaonya wagombea wanaotoa "matusi" na...
Chama cha siasa cha Wakulima (AAFP) leo kimemteua rasmi kada wake, Kunje Ngombale-Mwiru kuwa mgombea wa urais atakayewakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka...
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 tuliambiwa ccm ni tajiri haitapigia magoti wadau kuomba pesa za kufanikisha uchaguzi na ni kweli mpaka uchaguzi unaisha hatukuona kiongozi wa CCM akiita waandishi wa...
1995 akiwa anaongea na wanachama cha CCM kwenye uchaguzi wa chama wa kumpata mgombea wa Urais 1995 Mwalim aliwaambia wanachama kuwa CCM sio chama cha matajiri.
Dkt Magufuli
Mwenyekiti wa CCM...
Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi...
James Mbowe ambaye ni mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), anasema pamoja na CHADEMA kukubalika kwa wananchi lakini hata watu 300 hawafiki mahakamani kusikiliza kesi ya mwenyekiti...
takwimu haziongopi kwani yale aliyoahidi kwenye Ilani ya Uchagizi kayafanya kikamilifu. Ni vema mkaja na ushahidi vinginevyo mkae kimya au mumpe sifa anazopaswa kuwa nazo Rais wetu DK Samia...
Tarehe: ___
Mwandishi: Mwananchi mzalendo kutoka Mkoa wa Geita
UTANGULIZI
Katika wiki ya pili ya mwezi Agosti 2024, taifa lilishuhudia Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dotto Biteko...
Ndugu zangu watanzania,
Ni kweli watanzania wote kwa pamoja, tumeona sinema iliyokuwa ikiigizwa Jana na kweli mwandaaji wa sinema alipatia namna ya kuandaa sinema yake na kuwa andaa vyema...
Leo kwa mara ya kwanza nimesikiliza kesi ya Lissu kwa muda mrefu nimejifunza vitu hivi
1) Huyu wakili wa serekali anajua sana kuchambua sheria(yaani kama dereva anavojua kuchambua gia kwenye gari...
Comrade PolePole popote ulipo tunaomba upunge lau mkono ili sis wana CCM wenzako wenye uchungu kama wewe mioyo yetu ipate kutulia
Yaani tokea Yule Samia kachukua Form pale idodomya upo kimya...
DAR ES SALAAM; NAIBU Mawaziri wanane na wabunge waliomaliza muda wao wapatao 47 wameshindwa kuchomoza katika kura za maoni za kuomba kugombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Matokeo ya...
Hii ni Kesi you kama kesi nyingine ndiyo maana ipo mahakamani. Hakuna siasa wala sababu za kuwa na siasa hapo hivyo acheni kuishi kwa mazoea bali mjiandae kikamilifu. Sheria iachwe ichukue...
Mwalimu Kulaya wa KKKT Mbezi Luisi amewataka Watanzania kuwa na Hofu ya Mungu wa mbinguni Kwani ana mipango maalum na taifa letu
Mwalimu amesema Yesu Kristo wakati anasakwa na Herode ili auwawe...