Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hi great Thinkers. Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare.. Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na...
6 Reactions
130 Replies
13K Views
Nawakumbusha tuu Samia Suluhu Hassan ni Suluhu ya matatizo ya Watanzania. 1.Azindua mradi wa Maji Butimba 71bln 2.Azindua mradi wa Maji Lamadi.12.8bln 3.Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji...
2 Reactions
70 Replies
2K Views
Kutoka Huko Youtube leo naona Kuna unabii Mkubwa sana kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika Octoba mwaka Huu. Nimekuta video ya Mtu wa Mungu Nabii Philbert akitabiri mambo mazito...
5 Reactions
47 Replies
3K Views
Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Nchini wameazimia kuhakikisha kuwa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 unafanyika katika hali ya amani, utulivu na usalama na kwamba hawatamuonea muhali mtu yeyote...
0 Reactions
4 Replies
573 Views
Ni sawa na kusema Wagombea sasa washindwe wenyewe! hi ni baada ya wananchi kutoa ushauri kwao kuelekea kipindi cha kampeni. Wakizungumza ndani ya kipindi cha Kijiweni cha Daily News Digital...
0 Reactions
1 Replies
164 Views
Bila shaka kibwagizo cha wimbo tuliipenda wenyewe, kinaendelea kujidhihirisha kwa kasi ya 5G. Mungu atupatie uhai tushuhudie yatakayotokea nchini. HIVI NINI MAANA YA STATE CAPTURE?
0 Reactions
3 Replies
335 Views
Sasa Mpina angefanya nini katika hali kama Ile? Pale Samia Suluhu ndio alionyesha udikteta wake. Bila sababu jina la Mpina limeondolewa,watu jimboni kwake imeonekana kama vile hawakupendezewa ...
3 Reactions
3 Replies
525 Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mkurugenzi Mtendaji wa Manara TV, Haji Manara , ameibuka kidedea katika kura za maoni za kuwania nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kariakoo, jijini Dar es...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha kimeingia katika hatua mpya ya mchakato wa uchaguzi, huku hali ya kisiasa ikichukua sura mpya baada ya kutangazwa kwa majina ya wagombea 160 kutoka Kata...
0 Reactions
1 Replies
249 Views
Che Polepole tunakupata mitaa Gani Facebook, YouTube,au insta maana tuna ugwadu saa mbili ndiyo hiyo ishafika
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Yaani wewe Eng Hersi Said . boss wako atoe billion 10 kwa Ccm then wewe wakunyime ubunge ? Aliyepo nyuma ya maanguko yako ni huyo Boss wako Gharib anataka uendelee kukaa hapo unamtimizia malengo...
1 Reactions
1 Replies
271 Views
Kwa kweli mi kama mwanachama wa chama cha mapinduzi ambaye nilidhani ujio wa Magufuli utairejesha CCM katika hali kama ilivyoheshimika wakati wa baba wa taifa, nimeona kama vile bado CCM haijawa...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Waziri wa kuwa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Mbunge wa Kikwajuni Zanzibar, Hamad Yusuf Masauni ameeleza mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano (2020-...
0 Reactions
0 Replies
416 Views
Mfano siku 3 kabla ya uchaguzi, mgombea wa UDP au TLP wa nafasi ya uRais akang’ata shuka.., utaratibu ni kuahirisha uchaguzi au inakuwaje.. Utaratibu wa kikatiba unasemaje?
3 Reactions
52 Replies
3K Views
Wakuu, Wananchi wa Kijiji cha Rwamgasa, Wilaya ya Geita, wamechoma moto sehemu ya pori la akiba lililopo katika Kitongoji cha CCM wakipinga kile walichokiita uonevu na ukatili unaofanywa na...
8 Reactions
13 Replies
2K Views
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amesema kuwa barabara za sasa ni bora zaidi kuliko za miaka iliyopita, ambapo zamani ilichukua hadi saa 9 kusafiri kutoka Buchosa hadi Mwanza Mjini. Shigongo...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Wasomaji jibuni swali Huyu jamaa atakuwa na mazingira Gani? ENDAPO Tundu Antipusi Mugwai Lissu atakuwa Rais? Sijui kwa Nini ila CCM imepoteza dira za watanzania wengi Jamaa kweli analipwa...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Haya mabilioni ya shilingi zenu njoeni muwekeze Mwanza mjenge Hospital ya hadhi ya nyota tano hafu mjenge chuo kikuu kikubwa Sana
0 Reactions
1 Replies
487 Views
Hili ni wasilisho lenye maswali magumu yanayohitaji maelezo ya kiina kuhusu kukamatwa, kutekwa na kuteswa kwa @bonifacemwangi na Agather Atuhaire @un_sp_experts kupitia @unhrcommittee wanahitaji...
1 Reactions
4 Replies
443 Views
Amani muswano mtanzania. Katika jambo nililojiuliza ni moja, kwa nini Lissu?. Nimepitia mijadala mingi na kujipa jibu, kwamba kumbe hatukuwahi kuwa na kiongozi wa kisiasa anayetaka kuiondoa CCM...
20 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom