Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti Wa Jumuiya ya Umoja Wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi Ccm Taifa Na Mjumbe Wa Kamati Kuu ya Ccm Taifa Ndg Mohamerd Kawaida Amesema Kuwa Chama cha Mapinduzi Kitaleta Wagombea Ambao...
1 Reactions
7 Replies
539 Views
"......Huyu mzee Evarist Chahali ni sehemu ya wazushi nchini anayetegemewa na wanaharakati uchwara, Amezusha hili jambo kwamba mimi ni sehemu ya mashahidi wa siri. Ni muongo na anajua wazi ni...
19 Reactions
122 Replies
9K Views
Kichwa cha Habari ndio tofauti kubwa iliyopo kati ya Wapinga ufisadi walioko CCM na Yule Tundu Lisu wa Chadema Mnatishia tishia hadi lini makomredi? 😄
4 Reactions
26 Replies
922 Views
Jeshi la Polisi limeagiza wananchi wajiepushe na lugha za vitisho, matusi na uchonganishi wakati huu wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu. Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema hayo...
1 Reactions
8 Replies
822 Views
Leo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, Ndugu Luhaga Mpina, pamoja na Mgombea Mwenza wake, Ndugu Fatma Fereji, watazungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Hadi tunafikia uchaguzi kuna maneno yatakuwa yamesemwa, mipango kufanyika na tutaona mengi. Za ndani kabisa wanaosukumwa na utaifa, wana ajenda kali na ngumu. Mimi nasema, Mungu tupe uzima...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Je, anampa upendeleo wa kikodi na ushauri wa forodha? Na kama anafanya hivyo, huu siyo uhujumu uchumi? “Natoa wito kwa Wadau kusaidia michezo kwani uendeshaji wa michezo una gharama kubwa...
8 Reactions
66 Replies
3K Views
Askofu Mpemba hakutaka kukurupuka, aliingia huko huko alikoingia Makala wa CCM with facts. Ametaja nchi kadhaa kwa ukubwa, mwaka iliuzwa, kiasi, na Wanunuzi. Kwahio kwa hitimisho, tuna RC...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama Location yake inajulikana na mamlaka kabla ya hizo siku 10 atakua ameahakatwa ili asiseme alichosema kua atakisema na kila mtu atashangaa kwa hilo jambo kubwa Ni kama ilivyokua kwa Polepole...
10 Reactions
106 Replies
5K Views
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Mkoani Kilimanjaro kimezindua ofisi zake za Jimbo la Same Magharibi Mkoani humo sambamba na kuanza kupokea fomu za watiania walioomba ridhaa ya kuchaguliwa...
1 Reactions
6 Replies
439 Views
Mwanasiasa mwandamizi aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalumu CCM mkoa wa Simiyu, Mkuu wa Wilaya ya Meatu na pia Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Kanda ya Serengeti, Rosemary...
0 Reactions
4 Replies
611 Views
Mgombea urais kupitia Chama cha Democratic Party (DP), Abdul Mluya leo Jumatano Agosti 13, 2025 ameongoza msafara wake kuelekea Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zilizopo mtaa wa...
1 Reactions
3 Replies
398 Views
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita, imewakamata wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Nyankumbu Jimbo la Geita mjini walionekana katika picha mjongeo...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina, ameonekana kuunga mkono kampeni ya 'No reform No election' ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Kumbe Hayati Magufuli, Kwa kuhakikisha Anaunganisha Nchi Kwa Barabara zenye kiwango cha Lami Tanzia nzima. Alianzisha Ujenzi Wa Barabara Kwa Kiwango Cha Lami uliokua unaunganisha Makao Makuu ya...
1 Reactions
10 Replies
674 Views
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es salaam imemteua Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya na Mwanachama wa Chama hicho, Nurdin Bilal Juma (Shetta) kugombea Udiwani Kata ya...
2 Reactions
7 Replies
539 Views
aasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imesema inaendelea kufuatilia kwa karibu vitendo vya rushwa vilivyodaiwa kutokea katika mchakato wa uchaguzi wa kura za maoni ya...
1 Reactions
6 Replies
702 Views
Kwa waliosikiliza kwa makini taarifa ya Mathias Gwajima watagundua yafuatayo: Mosi, Gwajima ni tapeli wa kawaida aliyejificha nyuma ya dini na sasa siasa ambapo anaanza kujiumbua kwa kuonyesha...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Luhaga Mpina Mgombea urais kupitia chama Cha ACT-Wazalendo akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini leo tarehe 14 Agost, 2025 katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Jumla ya Wanachama Kumi 11 ambapo wakitia nia Udiwani Chama Cha Mapinduzi na kuongoza kura za maoni kati ya kata 214 za Mkoa wa Morogoro, hawajateuliwa na kugombea nafasi hizo kutokana na...
1 Reactions
2 Replies
686 Views
Back
Top Bottom