Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari wanabodi, Hii habari kwangu imenishangaza hasa nilipomsikia Raisi Magufuli akisema kwa kujiamini kabisa kwamba hakupokea hata shilingi moja kama mchango kutoka kwa mfanyabiashara yeyote...
1 Reactions
126 Replies
13K Views
Huwa hawakurupuki kufanya Jambo lao Ni kanisa lililojaa majasusi mpaka wavaa baragashia. Hawa ndio serikali kubwa kuliko zote duniani. Hawana ndio wanashikilia uchumi wa dunia kupitia kupitia...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Sijawahi kumsikia Rais John Pombe Magufuli akitamka kuwa anawachukia wafanyabiashara na wawekezaji. Nachojuwa mimi ni kwamba Mh. Rais hapatani na wafanyabiashara wasio waaminifu, wasio lipa kodi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho kitamuenzi marehemu George Mwingira, maarufu kama MC Mwingira kwa kuzifanya nyimbo zake kuwa hazina ya chama hicho. MC Mwingira...
0 Reactions
2 Replies
421 Views
Sitaki nikuinfluence, toa maoni yako.
3 Reactions
6 Replies
379 Views
Tuliona Kipindi Lema akiwa Mbunge alivyopata misukosuko hapo Arusha, wengine tulidhani ni kwa sababu ni Mbunge Kutoka Chama Cha Upinzani! Akaja Gambo na Mongella baadae Makonda, Hawa wote ni...
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Champezi Hassan Mwakinyo Umegusia jambo muhimu sana katika harakati; Tundu A.M Lissu kujitetea Mahakamani katika mashtaka ya uhaini, wakati huo; Tundu Lissu anafundisha jumuiya yote kuanzia...
12 Reactions
24 Replies
2K Views
Kama ni kweli hii inapaswa kuwa alarm kwa kila anayejiingiza kwenye hii kesi ya mchongo hasa wale mawakili na wanaowatuma
25 Reactions
136 Replies
11K Views
Kwa mshangao mkubwa waliodhani jahazi lake lazama hali imekuwa kinyume kwani chombo chazidi kukata mawimbi kikisonga mbele kwa kasi kubwa. Kwa bahati mbaya ambacho hawakujua Nahodha ni...
1 Reactions
4 Replies
386 Views
USHAURI Gwajima amesema kuwa ameshauri mara nyingi, na anashauri tena. Askofu Gwajima amesema kwamba nchi imegawanyika sana, na mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubali kwenda kwenye...
9 Reactions
16 Replies
973 Views
Mbunge wa Nzega vijijjini mh Dr Kigwangala amesema angekuwa kwenye research au Chuo kikuu angeshakuwa Professor Lakini sasa alipo anaishia kutukanwa tu na Vijana wadogo Dr Kigwangala amelalama...
13 Reactions
77 Replies
6K Views
guest-1787677395
Hiki ni kile nilichokishuhudia kwa macho yangu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kilichofanyika kwenye so called kuhuisha/kuandikisha wapiga kura wapya. Ni hivi, Mwitikio wa watanzania...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
"Watu wa Kilwa na Watanzania, ninaomba mniamini, niligombea nafasi ya umakamu kipindi kile nikiwa CHADEMA, leo hii nimeaminiwa kwenye nafasi ya Urais, naomba mniamini kunipeleka Ikulu kijana wenu...
0 Reactions
8 Replies
376 Views
Magari Ya Nyumbu Utengenezaji Wa Minara Mashine Ya kulimia Mashine za Kutengenezea Matofali Mzee Mwinyi Akikagua Mwalimu Akipata Maelezo Kuhusu utangenezaji Wa...
14 Reactions
117 Replies
43K Views
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama NCCR- Mageuzi, Haji Ambar Khamis amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania atahakikisha anakomesha uvunjifu wa maadili uliokithiri nchini...
1 Reactions
8 Replies
618 Views
Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameupiga mwingi katika sekta ya nishati ya umeme visiwani Zanzibar na kufanikisha kulipa deni la shilingi bilioni 291, ambalo Zanzibar ilikuwa ikidaiwa na...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Kumuweka mgombea wa uraisi eti Salum Mwalimu. Geresha hii, haya makapi yaliyojichuja kutoka CHADEMA yataambia nini wananchi ili wawaamini? Watanzania sio wajinga kuwahadaa kwa maneno ya uwongo...
2 Reactions
11 Replies
624 Views
Wakuu mnasemaje juu ya washauri wa mama? Maana namna wanavympeleka na mashauri yao mbona kama mashimo yao yapo hadharani sana? Nae haongezi chochote, ana beba ushauri kama ulivyo. Tumpe kwanza...
0 Reactions
6 Replies
541 Views
Mioyo ya watanzania imeanza kuamka sasa, hawafuatilii tena vitu visivyo na mbele wala nyuma Giza limeanza kuondoka, matongotongo machoni mwa watanzania hayakaliki tena, hadi saluni siku hizi...
6 Reactions
19 Replies
971 Views
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu na mgombea mwenza wake, Devotha Minja, wakiongoza kazi ya kuandikisha wadhamini wao leo mkoani Lindi. Mgombea huyo wa CHAUMMA...
0 Reactions
0 Replies
308 Views
Back
Top Bottom