Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siku zote Jeshi letu lina kiapo Kikuu cha kusimama na Wananchi na Katiba. Wananchi wameamua hawawataki CCM na samia wao na Jeshi linapaswa kusimamia matakwa ya Wananchi. Wananchi wamesema...
29 Reactions
83 Replies
3K Views
Chama cha mapinduzi kimepoteza wabunge watatu kwa muda mfupi kuanzia disemba 2025 mpaka February 2026 Mbunge Jenista Mhagama alifariki 11 Disemba 2025 Mbunge Halima Nassor alifariki 18 January...
2 Reactions
16 Replies
260 Views
Wenyeviti wengi wa Kamati hizo walitakiwa kupigiwe kura kama ilivyo kawaida lakini kilichofanyika majina yalikuja from no where watu wakasomewa majina ya Wenyeviti, ikawa imeisha hiyo. Wabunge...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
  • Featured
Tanzania inapanga kuuza sehemu ya hazina yake ya dhahabu kusaidia kufadhili miradi ya miundombinu, kufuatia kupungua kwa msaada wa wafadhili ambao kumelazimisha serikali kutafuta vyanzo vya ndani...
16 Reactions
157 Replies
4K Views
Kila tukio kubwa huja na kumbukumbu yake na mafundisho yake. Tukio la tarehe 29 Oktoba lilikuwa ni tukio kubwa ambalo nchi yetu haijawahi kuliona, basi siku hiyo iwe ni siku ya kujifunza kwa pande...
4 Reactions
20 Replies
160 Views
Na Mwl. John Pambalu Si nikaombea maiti afufuke, na hakufufuka. Nililia sana kwa uchungu nikimlilia rafiki yangu niliyesoma naye BAED katika Chuo Kikuu cha SAUT, nikijiuliza kwa nini Mungu...
5 Reactions
20 Replies
408 Views
Taasisi ya Elimu Tanzania imepokea barua yenye Kumb. CA.229/238/01A/14 ya tarehe 14 Machi 2024, kuhusu mada tajwa hapo juu. 3. TET, imeridhia pendekezo la tahasusi mpya ili kuondoa tahasusi...
0 Reactions
0 Replies
117 Views
"When Samia Suluhu became Tanzania’s first female president in 2021, after the sudden death in office of her predecessor, there were hopes that her presidency would mark a break from authoritarian...
17 Reactions
95 Replies
3K Views
Wakuu, Wagombea wote wa Urais isipokuwa ACT Wazelendo waliokataa, walipewa magari ya kutumia wakati wa kampeni, pamoja na walinzi wa kuwa nao muda wote wa kampeni. Kampeni zikiisha wanatakiwa...
8 Reactions
39 Replies
811 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Kossovo, Mhe. Vjosa Osmani-Sadriu, kabla ya kufanya vikao na Viongozi mbalimbali pembezoni...
3 Reactions
46 Replies
679 Views
Unadhani unajenga kumbe unaharibu. Dr. Mwigulu jitafakari kabla ya kuja mbele ya kamera kwenye majira haya ya tense and fragile moments.
3 Reactions
7 Replies
345 Views
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray amesema ajira za utumishi hupatikana kwa ushindani na uwazi na kwamba Vijana wanaojitolea kazini (field) huwezeshwa...
0 Reactions
4 Replies
194 Views
Kwanini watekaji na wauaji hawakamatwi mpaka sasa suala hili halivumiliki ? lazima tuwajibike wenyewe au tuta wawajibisha msifikiri tutawaacha.
4 Reactions
17 Replies
153 Views
Maji ni huduma ya msingi, lakini bado: 1. Mabomba yanavuja miaka nenda miaka rudi hayarekebishwi 2. Maji yanakatika bila taarifa, mara nyingine miezi 3. Bili zinakuja kama maji yapo wakati...
1 Reactions
2 Replies
61 Views
Kuna ukamataji kinyume cha sheria wa polisi hawavai sare wala hawatumii magari rasmi je wananchi wata tofautishaje majambazi na polisi. Kuna video zanasambaa mtandaoni polisi waliovalia mavazi ya...
0 Reactions
2 Replies
107 Views
Akizungumza katika Bunge la 13, Mkutano wa Pili kikao cha saba leo Februari 4, 2026, Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Tarimba Gulam Abbas amesema ni miaka sistini ya uhuru lakini jiji la Dar es Salaam...
0 Reactions
8 Replies
138 Views
Kuna watu haramu wapo kwenye majengo ya serikali kwasababu yapo wazi na wananchi bado hawajachagua watawala halali. Wananchi sio dhaifu suala la watu haramu kuendelea kushikiria majengo yetu...
0 Reactions
1 Replies
104 Views
Leo kila mmoja ameshuhudia kauli ya wazi toka kwa captain Tesha ikieleza hali mbaya ya nchi, na kulitaka jeshi lichukue uongozi ili kuinusuru nchi. Kwa wale waliopitia mafunzo ya kijeshi, kama...
32 Reactions
73 Replies
3K Views
Kwa wakongwe kama mimi nakumbuka misemo iliyokuwa inaandikwa kwenye mabasi mfano; Bata kapata bwana...! hood hapa hood anamtania Islamu kwa kuongeza basi la pili. Bata hapewi pumba ! Islamu...
5 Reactions
8 Replies
320 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…