Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kazi yetu ni kusema kama tulivyosema kabla ya uchaguzi mkatubeza, yakiharibika mtatafuta watu au makampuni ya kufanya Damage Control. Baada ya tukio kubwa la 29/10, ambalo halijawahi kutokea...
6 Reactions
15 Replies
410 Views
Nawatakia mema na kila la kheri watia nia wengine wote wa CCM maeneo mbalimbali nchini, wa ubunge pamoja na wale wa udiwani. Tuheshimiane na daima kua wastaarabu miongoni mwa watia nia wengine...
6 Reactions
114 Replies
3K Views
Mradi gani thamani yake hata elfu kumi haufiki? Hii nchi uhuru umepitiliza sana, Serious mbunge unapost hivi? Dharau zimezidi
53 Reactions
163 Replies
9K Views
  • Redirect
Huyu ndo rais wenu
4 Reactions
Replies
Views
Kabla ya yote turudi darasani kidogo, maana sitaki tuanze kuulizana maswali obvious , mara sijui source ni ipi, nk. haya twende kazi. Unit moja ya umeme hapa Tanganyika inauzwa kwa wastani wa...
22 Reactions
255 Replies
18K Views
Huko katavi kuna taarifa ya Walimu 17 wanasota mahabusu kwa agizo la Waziri Mkuu kwa kosa la kununua mabati feki ya ujenzi wa shule Mzabuni aiyewauzia mabati hayo feki yupo mtaani anaendelea na...
2 Reactions
4 Replies
156 Views
Profesa Lipumba jana Machi 29, 2026 akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya ofisi ya CUF, jijini Dar es Salaam, alisema kuwa kwa wastani ilihitajika Dakika nne - tano kwa mtu mmoja kumaliza...
1 Reactions
12 Replies
273 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila akiwasilisha Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2024/2025; Taarifa ya...
0 Reactions
7 Replies
107 Views
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa...
20 Reactions
65 Replies
2K Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema chama hicho hakitasita kuchukua hatua dhidi ya watumishi wazembe wanaosababisha migogoro kwa wananchi...
3 Reactions
12 Replies
161 Views
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akitoa sifa za Dkt. Fatma mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akizindua jengo la Taaluma na Utawala, pamoja na Bweni...
3 Reactions
43 Replies
1K Views
Rais Samia kuwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa William Lukuvi, Viwanja vya Karimjee, leo Machi 28, 2026. Hadi mauti yanamkuta Lukuvi alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge...
3 Reactions
5 Replies
155 Views
Najua jaji Othman Chande yuko compromised toka siku anachaguliwa, bila shaka pia ni mtu wa mfumo hakuna lolote jipya tunaweza tegemea. Japo hii tume haina uhalali wowote lakini inaweza kurejesha...
4 Reactions
9 Replies
139 Views
Hata Ole Sosopi wa CHADEMA, anamkubali Sana Festo Kiswaga. Safari hii Tunaomba Halmashauri Kuu ya Chama ngazi ya Wilaya, Mkoa, Taifa na Kamati Kuu ya CCM msifanye makosa kutuletea mtu mwingine...
3 Reactions
24 Replies
341 Views
Bwege aomba Watanzania wasiandamane Oktoba 29, 'Hakuna anayeweza kuzuia mabadiliko'.
0 Reactions
21 Replies
511 Views
Nina mashaka na kusema Kuna covid 19 kipindi hiki Je, Kuna kitu kinapikwa? Je, Kuna watu wanatafutwa? Je, biological weapons itatumika Kama ilivyotumika kwa Magufuli na kusingizia covid...
33 Reactions
112 Replies
2K Views
Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama...
0 Reactions
3 Replies
88 Views
Mama Samia anaona kama anapotezewa muda tu kwasababu anachofikiria ni makusanyo ya pesa ili wapige deal na marafiki na ndugu zake! Mfano deal ya Kia na miradi mingi. Hakuna hata nia ya kupambana...
1 Reactions
7 Replies
92 Views
Mungu kuna kelele nyingi za kuogofya ila wewe utabaki kuwa Mungu. Iwe ni kwa sumu iwe ni kwa risasi tunaomba Taifa letu lisiingie kwenye majonzi sababu ya Dr Mchimbi tunaomba umtunze na umfunike...
27 Reactions
132 Replies
4K Views
Kati ya Bwege na Lukuvi nani alikuwa fisadi? Jibu tunalo wengi ni Bwege pamoja na shida zake alikuwa Mzalendo na tutamkumbuka kwa hilo. Hajauza nafsi yake kwa pesa. Huyu Bwege alikuwa Mzalendo...
3 Reactions
6 Replies
146 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…