Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Rais ni mfanya kazi za ndani wa muda na sio mmiliki wa nchi hii, samia na genge lake wanajaribu kutaka kuiteka nchi kwa mauwaji na utekaji wa raia. Lazima ujiulize kwanini wanateka na kuuwa watu...
0 Reactions
Replies
Views
Unakuta mbaba mtu mzima naye anakaa heti mama mama mama msituletee ujinga na umama kwenye vitu msingi. Ulekeo wa umama mnaofanya hauna msingi wowote bali ni ujinga na upumbavu mbona mlikuwa...
1 Reactions
4 Replies
81 Views
Mataifa ya Tanzania na Uganda ni Mali za wananchi, matendo ya OVYO ya watawala wetu hatuna budi kuyakemea na kuyalaani MILELE ila yale mazuri hatuna budi kuyapongeza. Jana viongozi hawa...
1 Reactions
10 Replies
135 Views
Tulipata faida gani kuwa tulipigana kuwasaidia Wazimbabwe, Waafrika kusini au watu wa msumbiji? Huku nyumbani kwako una wananchi masikini ambao hawana uwezo wa kula au kupata miundo mbinu iliyo...
16 Reactions
82 Replies
967 Views
Hofu ya nini kama kweli alishinda kwa 98%, ataishi hivi hadi lini. == Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo unapenda kuwataarifu wafanyabiashara kua maduka yote yanayolizunguka soko...
8 Reactions
76 Replies
1K Views
Huu ndio ukweli japo hawezi kukiri hadharani. Safari hii wanahitaji maridhiano sio tu na wapinzani, bali wanahitaji maridhiano na umma wa watanzania kupitia wapinzani. Japo wanaendelea...
1 Reactions
2 Replies
142 Views
Urais wa Samia kwa sasa hauna maana yoyote ile wala faida yoyote zaidi ya utumwa tofauti na alivyo anza ndio ulikuwa urais asione aibu kujiuzuru. Asione haibu kusema nimechoka watanzania...
11 Reactions
15 Replies
304 Views
Ni kweli hapo zamani, tena sio zamani sana bali miaka isiyozidi 7 nyuma Arusha ilikuwa jiji la wajanja na wenye kujitambua. Lakini siku za hivi karibuni kumekuwa na matukio ya ajabu na...
3 Reactions
38 Replies
804 Views
Msikilize! Pascal Mayalla Naombeni muendelee kuombea taifa letu lakini pia muendelee kumuombea Rais wetu maana kuna watu hawajui umuhimu wa rais, rais akitikiswa nchi inatikisika, kwahiyo...
4 Reactions
23 Replies
600 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe la Jumapili ya jana.Short version for Gen ZiiInasemekana GenZii hawana time kusoma makitu marefu, hivyo Nawawekea short version kwa numbers...
5 Reactions
26 Replies
845 Views
Ni kwamba hakuna chochote kipya kitachosaidia taifa letu. Watu wameuwawa hadi wakiwa majumbani na kwenye vijiwe vya kahawa wakiangalia Luninga. Mbona Tume ya Jaji Feleshi ilifunua ukweli wa...
7 Reactions
29 Replies
371 Views
Wakati risasi zilipolia mtaani wananchi walikimbia kuokoa maisha yao na maandamano yakikabiliwa na nguvu ya Dola, vyombo vya habari nchini Tanzania vilikaa kimya. Kwa wananchi kama Ismail Issa...
2 Reactions
4 Replies
195 Views
Hamjambo! 1. Ingawaje ni Siku iliyobeba kumbukumbu zenye huzuni, maumivu na damu za watu. Lakini pia ilikuwa Siku muhimu kwa taifa letu. 2. Siku ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa miaka na miaka...
3 Reactions
21 Replies
275 Views
Hayati Magufuli enzi za uhai wake yalijengwa Maguest house mengi chato kwa mikopo ya mabenki wajenzi walikuwa ni wale AMBAO walikuwa waliamini Mzee MAGU angeishi MILELE na ndani ya miaka yake 10...
1 Reactions
3 Replies
101 Views
Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Kabaale – Hoima nchini Uganda kwenda kwenye peninsula ya Chongoleanimkoani Tanga nchini Tanzania kuanzia mwezi Julai, Meli ya kwanza...
2 Reactions
3 Replies
195 Views
Nimepitia ripoti ya robo ya pili ya mwaka ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania nimeona TCRA wametujulisha kuhusu kushuka kwa ubora wa mawasiliano ya simu nchini lakini hawajasema wanafanya nini...
1 Reactions
3 Replies
132 Views
Wanabodi Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo. Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa...
15 Reactions
120 Replies
10K Views
Mikataba ya serikali haramu inayofanyika kwa siri inayowahusu watanzania haikubariki inakuwa kama mtu anaingia mkataba binafsi. Sasa kipimo cha mpumbavu ndio hiko utaona anaingia mikataba...
8 Reactions
22 Replies
320 Views
Unaposema mnyama fulani ana akili sana maana yake ni kwamba mnyama huyo ana uwezo wa kutunza kumbukumbu ipasavyo. Kinyume chake pia ni kweli. Hii pia iko applicable kwa watu. Kama huna kumbukumbu...
3 Reactions
24 Replies
317 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…