Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli na waziri msitaafu uliyetimuliwa kazi na Marais wawili tofauti, kwenye awamu mbili tofauti sasa umeyatimba baada ya kujulikana hadharani kwamba ulipigwa...
10 Reactions
64 Replies
3K Views
Tuache kulalamika, MTU ameingia katika siasa, kakukbali kutukanwa , kubezwa n.k Na nyie mlisema siasa ni Mbaya Ila Leo hii mnalalamika nini sasa.
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Katika aina mbalimbali za Udikteta na sifa zake basi nchi ya Tanzania inaangukia katika Udikteta wa chama kama mfano China. Tanzania haina Udikteta wa mtu mmoja kama Rwanda au Uganda, haina...
0 Reactions
3 Replies
493 Views
Karibu yote waliokuwa wanasema Chadema sasa Watanzania wanathibitisha 1. Kwamba CCM hawawezi kushindana 2. Kwamba kura zinaibiwa 3. Watu wa Mama ndiyo watekaji 4. Nchi imeuzwa kwa wana mtandao 5...
8 Reactions
5 Replies
799 Views
Kama mfumo wa kidemokrasia umeshindikana kabisa kuwepo nchini jambo ambalo mpaka sasa nakiri kushindikana kwake basi upatikane udikteta wenye faida. Si jambo jema kukosekana vyote mnaweza...
3 Reactions
11 Replies
633 Views
Nimpongeze sana Monalisa Ndala umeonyesha uzalendo na chama chako na na sisi tunakuombea kwa Mungu atakulinda wasikufanyie ubaya wasikutishe lakini kuwa makini kwa sababu wameumia sana kwa sababu...
0 Reactions
7 Replies
763 Views
Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho hakijafunga mifumo ya uchangiaji wa chama hicho maarufu Tone Tone, akiwaomba Wanachama na wapenzi kuendelea kukichangia, kwani kwa...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
matukio ya kigaidi yako kidogo sana tena sana. Suicide bombers, kuteka ndege na vitu kama hivyo vimeisha kama siyo kupungua sana. Nini kimefanyika?
1 Reactions
25 Replies
940 Views
Nimekuwa nikisikia neno hili la Political Legitimacy. Naomba nijue maana yake na athari zake kama ipo. Nawasilisha.
0 Reactions
1 Replies
322 Views
Mwandishi wa habari mwandamizi Ansbert Ngurumo amewakemea vikali wafuasi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akiwataja kuwa wanakwepa uwajibikaji kwa madai kwamba “kama Lissu asingekuwa...
1 Reactions
36 Replies
1K Views
TAMKO RASMI LA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MWAKA 2025. Ndugu Watanzania na wote wanaopenda Mageuzi ya Fikira. Mimi DON NALIMISON NALIMI raia wa Tanzania Leo ijumaa ya...
14 Reactions
66 Replies
7K Views
Tumekamilisha taratibu za uteuzi, sasa tupo tayari kwa kampeni.Safari inaanzia Kawe, Dar es Saalam kesho. Usisubiri kuhadithiwa. #OktobaTunatikiSamia
1 Reactions
5 Replies
476 Views
RAIS SAMIA HASSAN KUONGEA NA TAIFA KUPITIA MKUTANO WAKE NA WAZEE 27 AGOSTI 2025 Mh. Samia Suluhu Hassan kesho atazungumza na wazee pamoja na wakuu wa mikoa wote, mheshimiwa rais amebainisha jambo...
4 Reactions
108 Replies
7K Views
Siasa za ndani ya CCM zimegawanyika kwenye makundi manne. Kundi la kwanza ni la koo zinazomiliki chama hicho. Hizo koo ambazo si nyingi, ndizo huamua muelekeo wa CCM. Kundi la pili ni kundi la...
36 Reactions
150 Replies
11K Views
Hebu angalia hapa Toa Maoni yako
11 Reactions
46 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amesema kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi mikutano yote ya hadhara katika mkoa huo imewekwa wazi katika viwanja na tarehe za...
1 Reactions
3 Replies
446 Views
Abdulrahman Kinana Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM...
45 Reactions
533 Replies
44K Views
Samia mwachie Lissu bwana tunachoshana aise
13 Reactions
37 Replies
2K Views
Nje ya mada: Katika waliopiga kura za maoni ndani ya CCM kumteua mgombea Gwajima alikuwa miongoni mwao naye alimpa kura Rais Samia. Maana Samia alipata 100% Gwajima na wajumbe wengine hakuna...
0 Reactions
1 Replies
500 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Pangani ambaye pia ni Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025...
0 Reactions
5 Replies
411 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…