Haina shida kwanzq anze kukaa lisu hata 7 yrs to come ajue ule mdomo na vindefu kama kambare achague la kusemaKuendelea kumshikilia Lissu kunaonyesha mama alivyo na roho mbaya. Naamini IPO siku atakuja kushikiliwa mahabusu kama Lissu,
Haina shida kwanzq anze kukaa lisu hata 7 yrs to come ajue ule mdomo na vindefu kama kambare achague la kusema
Usimuamshe aliyelala USINGIZI wa pono..anavyozidi kuwekwa ndani ndivyo anavyozidi kuungwa mkono.
..mara baada ya kukamatwa Tundu Lissu alikuwa anatetewa na wanachadema peke yake.
..sasa hivi Tundu Lissu anatetewa mpaka na baadhi ya wanaCcm, viongozi wa dini, watu ambao mwanzoni walikuwa hawamuungi mkono.
..sijawahi kuona mhaini akitetewa na wananchi waziwazi kama ilivyo kwa Tundu Lissu.
Kuendelea kumshikilia Lissu kunaonyesha mama alivyo na roho mbaya. Naamini IPO siku atakuja kushikiliwa mahabusu kama Lissu,
Ukweli ni kuwa kuwekwa mahabusu kwa Tundu Lissu kumewawezesha waTanzania wengi kumfahamu vizuri Lissu na kutambua uwezo wake mkubwa kiakili...anavyozidi kuwekwa ndani ndivyo anavyozidi kuungwa mkono.
..mara baada ya kukamatwa Tundu Lissu alikuwa anatetewa na wanachadema peke yake.
..sasa hivi Tundu Lissu anatetewa mpaka na baadhi ya wanaCcm, viongozi wa dini, watu ambao mwanzoni walikuwa hawamuungi mkono.
..sijawahi kuona mhaini akitetewa na wananchi waziwazi kama ilivyo kwa Tundu Lissu.
Hiyo miaka 7 anaistahili sana Samia Suluhu Hassan kwa madudu mengi aliyolifanyia taifa hili. Kwa hiyo vuta pumzi kidogo uanze kumfikiria huyo mama yako katika hali hiyo inayomsubiri.Haina shida kwanzq anze kukaa lisu hata 7 yrs to come ajue ule mdomo na vindefu kama kambare achague la kusema
yote hayo hayo mama yako na baba yako wanayafa kinyume na maumbe hadi ukazaliwa wewe kwa njia kinyesiBabako yupo hai, III tumuulize mamako utamu wa babako?
Suala hapa wala si Mama Abdul bali ni Mzee wa Msoga a.k.a. muuza nchi original. Yule mtu ni mpuuzi mno.Samia mwachie Lissu bwana tunachoshana aise
Suala hapa wala si Mama Abdul bali ni Mzee wa Msoga a.k.a. muuza nchi original. Yule mtu ni mpuuzi mno.
Mze wa Msoga ndiye anayeongoza hili taifa, Mama Abdul yupo yupo tu kama rais kivuli...Mama Abduli lazima ahusike.
..Raisi wa Tz ana madaraka makubwa mno hawezi kuendeshwa na yeyote.
Endeleeni kulalamika na kutumia I'd fake , uone Kama Hizo komenti zitasaidia kituMze wa Msoga ndiye anayeongoza hili taifa, Mama Abdul yupo yupo tu kama rais kivuli.
Anachokipanda atakivuna. soon!Samia mwachie Lissu bwana tunachoshana aise
Lakini ujumbe si umeupata?Endeleeni kulalamika na kutumia I'd fake , uone Kama Hizo komenti zitasaidia kitu