Elias Msuya
Platinum Member
- Dec 23, 2011
- 218
- 860
Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema chama hicho hakijafunga mifumo ya uchangiaji wa chama hicho maarufu Tone Tone, akiwaomba Wanachama na wapenzi kuendelea kukichangia, kwani kwa makatio ya kujirudia.
Mnyika ameyasema hayo leo Agosti 27 alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari katika Baraza Digital lililofanyika kupitia mtandao wa Zoom akisema utakuwa ndio utamaduni wa kuedesha chama.
Kauli hiyo pia imeungwa mkono na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche akisema hata ruzuku wanayopata haitoshelezi kuendesha chama, hivyo amewaomba Watanzania waendelee kuchangia.
Kauli hiyo pia imeungwa mkono na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche akisema hata ruzuku wanayopata haitoshelezi kuendesha chama, hivyo amewaomba Watanzania waendelee kuchangia.