Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

12.-(1) Binadamu wote huzaliwa huru, na wote ni sawa. (2) Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake. 13.-(1) Watu wote ni sawa mbele ya sheria, na wanayo haki, bila ya...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Zitto hakutoka siku wenzie wanatoka kumkataa Magufuli. Why? Aliamini Magufuli ataendeleza kama alivyokuwa anafanya kikwete. Kumpatia fungu, pesa za kujikimu. Magufuli alikuwa anajua Zitto...
7 Reactions
17 Replies
796 Views
Leo Septemba 15, CHADEMA wanaadhimisha siku ya kimataifa ya Demokrasia kidigitali ka kuwakutanisha watoa mada #Barazani na kujadili hali ya kidemokrasia nchini. Kauli mbiu ya mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
205 Views
Kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao wa Oktoba 29, Hii ndio picha rasmi ya Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan. Picha ya pili ni Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha...
11 Reactions
70 Replies
4K Views
Rais wa Chama cha Wanasheria nchini Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi, ametoa tamko kali akilaani kitendo cha polisi kuwashambulia raia na Wakili Mahinyila ndani ya viunga vya Mahakama Kuu jijini...
4 Reactions
11 Replies
618 Views
Kichwa cha habari hapo juu ni kauli rasmi ya Mwanasheria wa serikali... Tangu lini mtu kumchanganya mwenzake ikawa kosa kisheria? Yaani Kuchangwanywa mpaka waombe huruma ya mahakama. Walimdhibiti...
4 Reactions
12 Replies
693 Views
Ama kwa hakika hakuna kulipo salama! Kasikika Mwabukusi: 1. Kudogosha taarifa ya Polepole kuwa mifumo INEC na NIDA kusomana ni jambo la kawaida. Sina hakika alisahau kuwa kwa mujibu wa Polepole...
20 Reactions
75 Replies
3K Views
"Nilimwambia mtu mmoja nyumbani kwangu ninapotoka kunajulikana, watoto wangu wanaposoma kunajulikana. Sijifichi. Pia soma > Wakili Mwabukusi akataa kuvuruga amani ya nchi, asema Rais hafokewi...
2 Reactions
11 Replies
751 Views
GT Asikwambie mtu. Hakuna mda CCM wanateseka kama kipindi hiki unajua kumshawishi mtu ahudhurie mkutano ambao hana shida nao ni kazi ngumu sana. Yaani kumpa.hela tu huyo mtu peke.yake haitoshi...
20 Reactions
42 Replies
2K Views
Huo ndiyo ukweli siyo polisi wote ni wanyama na kuna wengine hawapendezwi na yanayoendelea inchini kama kupiga watu kuteka mpaka kuuwa, Naamini hawa tutakuwa nao na ndiyo watakaotupa habari zote...
3 Reactions
4 Replies
294 Views
Tunafeli hapa: 1. Nani asiyejua Lissu ni mwanzo wa mwisho wa wahuni? Kumbe anaachiliwa vipi ili aje kuwatia wao majaribuni? 2. Anapigwa vipi mwenzetu bila hatia hadharani tukishudia kama kuku wa...
3 Reactions
10 Replies
485 Views
Utetezi wa nne wa Tundu Lissu, Mahakama Kuu ya Tanzania kwenye kesi yake ya Uhaini, Septemba 11, 2025 === Kilichojiri siku ya 3 kiko hapa: GE2025 - Utetezi wa tatu wa Tundu Lissu, Mahakama Kuu...
21 Reactions
67 Replies
5K Views
Habari za Wakati huu; Kwanza nianze kwa kusema tu kwamba kwa wale ambao jana walisahau basi jana ilikuwa ni Siku muhimu sana kwa historia ya nchi yetu.Kwa mujibu wa Taarifa za kihistoria Jana...
1 Reactions
9 Replies
719 Views
Katika uchaguzi wowote, mara nyingi taarifa huibuka kabla ya matokeo rasmi. Matokeo yanayovuja mtandaoni yanaweza kuchanganya mawazo na kuibua mashaka. Je, wewe unakabiliana vipi na taarifa hizi...
0 Reactions
1 Replies
251 Views
Ukweli mchungu. Hata Chipando mwenyewe anajua sasa, kuwa hali si shwari tena na sio mteremko baada ya kusikia kauli ya mgombea urais ccm. Kote kwingine alikuwa akisema anataka mafiga matatu ila...
6 Reactions
12 Replies
942 Views
Msanii wa Bongo Fleva ambaye pia ni Mtangazaji wa Wasafi FM, Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, na mtia nia Ubunge Jimbo la Kigoma mjini Kupitia CCM, amekea vikali kauli za...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
We have an alert concerning with abduction, You won't Get me that easily Mbona wapo wengi tu wa kuwakamata? Why me , Nimeshatangaza Kuacha Siasa hivyo niko Busy na Mambo yangu Pole C.A.G Pole...
34 Reactions
84 Replies
12K Views
Tanzania Zanzibar hakuna maralia lakini Tanzania Bara kuna maralia ambapo inauwa watoto, wa mama wajawazito na hata wazee, lakini ulikuwa unawezo wa kumaliza ugonjwa la Maralia, na uwezo ulikuwa...
0 Reactions
4 Replies
437 Views
Wakuu, Akiwa anazungumza kwa njia ya mtandao Dkt Wilbroad Slaa, amesema kwamba hata yeye kipindi akiwa kijana alishawahi kupewa kosa la uhaini akiwa na wenzake Anasema aliyekuja kumsaidia kwenye...
0 Reactions
0 Replies
400 Views
Unapoambia fundi seremala kawa mpishi wa Serena Hotel, mtu unaweza tilia mashaka chakula atakachopika. Nimejaribu sana ku Gogle hiyo kampuni iliyonunua korosho na huyo kiongozi wao aliyetia saini...
27 Reactions
198 Replies
36K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…