Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"Anzeni kuandaa submission za no case to answer, hakuna kesi hapa" Mwenyekiti Taifa, Tundu Lissu akiwaambia mawakili wake leo baada ya mapumziko mafupi mchana wa leo.
9 Reactions
4 Replies
449 Views
Aliyekuwa Katibu wa Chadema Mkoa wa Mwanza Bw. Boniface Paul Mkobe Nzagamba amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha mapinduzi CCM leo Oktoba 08,2025 katika mkutano wa kampeni za Mgombea...
0 Reactions
0 Replies
220 Views
Jana mahakamani
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akimwombea kura mgombea Ubunge wa jimbo la Kasulu mjini kupitia Chama hicho, Martina Mturano, kutoka kwa wafanyabishara wa soko kuu la mjini wa...
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amefikishwa mahakamani katika Kesi hiyo ambayo mshtakiwa anajitetea mwenyewe, leo imekuja kwaajili ya Mawakili wa Jamhuri kumuhoji 're-examination' shahidi namba...
0 Reactions
3 Replies
865 Views
Kwema? Kwanini Captain Tesha alitoka mbele ya kadamnasi na kuzungumza mambo mazito vile huku akitaja baadhi ya wanasiasa kuwa wazuiliwe kukimbia nchi? Kwanini Captain Tesha alionya polisi...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Maombi yaliyowasilishwa mahakamani na Wakili Peter Kibatala Oktoba 7, 2025 akiiomba mahakama itoe amri ya Polepole kufikishwa mahakamani ama mamlaka husika ziseme yupo wapi kufuatia tukio la...
2 Reactions
4 Replies
370 Views
Akiwa katika Mahojiano na The Chanzo Mjumbe wa Sekretarieti ya Ilani ya Chama cha ACT-Wazalendo Jasper Sabuni ameelezea maono yake juu ya uelekeo wa ACT- Wazalendo baada ya Uchaguzi Oktoba 29...
1 Reactions
6 Replies
329 Views
Mzee Masaju tangu amekuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, ameonyesha wazi apendezewi na baadhi ya mambo yanaendelea kwenye mahakama. Amekuwa akiwapa ukweli watendaji wote wa mahakama. Safi...
1 Reactions
7 Replies
320 Views
Haya ndio maoni yangu juu ya faida ya kesi hii Kwa Lissu na umma kuliko angegombea urais vs Samia. 1. Imezidi kumjengea heshima na umaarufu na jamii inaendelea ku sympathize nae. 2. Amezidi...
7 Reactions
8 Replies
339 Views
Kuelekea kwenye Zoezi la uchaguzi Mkuu wa Tanzania Jumatano ya Oktoba 29, 2025, Viongozi wa dini, kijamii pamoja na wananchi wa Mkoa wa Dodoma wameungana pamoja kuhimiza amani, wakiitaja kama...
0 Reactions
1 Replies
195 Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Stephen Wasira, amesema wanaofanya chokochoko si wananchi wote, bali ni watu wachache wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii. Amesema Rais Samia ametekeleza...
0 Reactions
3 Replies
257 Views
Ni hilo tu! Shujaa mfu! Ilibidi uhakikishe hufi mpaka uone mwisho wa mapambano yako! SHUJAA MFU, HAIJATUSAIDIA
3 Reactions
45 Replies
1K Views
Kumbe kwao mambo safi! Au uchawa wa kupewa 2000 wanajiona wamemaliza shida zao? ==================== Wananchi wilayani Busega wameeleza kuwa wanafahamu kazi kubwa iliyofanywa na mgombea urais wa...
0 Reactions
1 Replies
136 Views
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Wilaya ya Bunda kutafakari kwa makini kabla ya kufanya maamuzi ya...
1 Reactions
21 Replies
627 Views
Mgombea Ubunge Jimbo la Mwibara kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kangi Lugola amesema kuwa wanaodhani kuwa Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan sio Nguvu ya...
0 Reactions
1 Replies
212 Views
Mwaka 2017 nilikamatwa kwa kumkosoa Magufuli. Kipindi kile nilikuwa na miaka 21 Ila sikutetewa na mtu yoyote Ila kwakuwa Mimi nilikuwa naishi karibu na police kota , na ni Kijana humble . basi...
21 Reactions
35 Replies
1K Views
Hawa Wahuni kama tusingepaza sauti mapema za kustukia mpango wao dhidi ya TUNDU LISSU , Wangemuua Kwa sumu . Sasa fikiria BRAIN ya TUNDU LISSU iuwawe na Vichwa maji kama Akina Mafwele , Muliro...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Leo Mbeya imesimama tokea asubuhi Kazi hazifanyiki. Mnasimamishwa masaa manne kupisha mwenge na haupiti. Mara upishane na Malori yanaenda kwa Samia kwenye mikutano yake. Mnasimamishwa masaa...
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kwa miaka mitano iliyopita, serikali ya awamu ya sita...
0 Reactions
0 Replies
144 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…