Vijana waimba mapambio ya serikali ni wasaliti kwa nchi ni vijana wanaostahili kunyongwa kwenye maana nao ni wanufaika na huu wizi wa riport ya CAG huwezi kuona vijana wakipiga na kuumizwa na huu...
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Tanga, Michael Haule, ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya uongozi pamoja na kujiondoa ndani ya chama hicho, akitaja sababu...
Ukisikia Kauli ya Gerson Msigwa kuhusu kupigwa kwa Mihela kwenye ujenzi wa uwanja wa soka wa Arusha utashangaa sana kama Kuna Kiongozi wa serikali ya ccm Ambaye hajatajirika
Na kama yupo...
Huyu Mzee alikuwa shujaa wa ajabu sana!
Wakati viongozi wa CHAMA CHAKE CHA ACT wakipigania SUK BIla kujali mauaji ya 29 octoba, yeye akaamua kutangazwa kujiunga na CHADEMA, akiwa kwenye wheel...
Baada ya msiba wa Lukuvi, lazima atateuliwa mtu wa kurithi kiti chake.
Na kwa maneno ya Rais naona Biteko ama Nape akipewa nafasi hiyo.
Japokuwa Nape amemeza bendera ya chama, hajali kabisa...
Mohammed Kiluwa (50) ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Ilala, kwamba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi alimkaba na kumpora mkoba uliokuwa na fedha zake.
Kiluwa...
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa...
Salaam,
Makadirio ya karibu ya bajeti 2025/2026 Nchini Tanzania Tanzania ipo hivi.
1. Wizara ya Katiba na Sheria → ~ Tsh bilioni 80
2. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ni Tsh bilioni 120...
Wakuu,
Akizungumza leo CAG Charles Kichere alisema
"Mheshimiwa Rais, niongee sasa hivi kuhusu kampuni yetu ya ndege. Mheshimiwa Rais, Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imeendelea kupata hasara...
Mtandao wa wanaharakati wa demokrasia barani Afrika, Pan African Solidarity Network, umetoa tamko kali ukieleza wasiwasi mkubwa kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu katika nchi za Afrika...
Makamu Mwenyekiti Bara John Wegesa Heche amemuelezea Marehemu Selemani Bungara(Bwege) kama mtu ambae aliyesimama imara kuwapigania wananchi kila alipopata nafasi huku akiwa hayumbishwi.
Heche...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Suleiman Said Bungara maarufu Bwege, alikuwa mwanasiasa anayepigania haki za watu wake na Taifa kwa ujumla...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge...
Wakuu, wajuzi wa mambo, ikitokea bunge limeahirishwa kama ilivyotokea leo Machi 31, 2026 na posho za kikao ambazo huwa wanalipwa wabunge nazo zinaahirishwa, au wanalipwa kwa kupigwa asilimia ya...
Hii ni makala ya mmoja wa machawa wa mama Samia. Kila mtu aisome, kisha aone ujinga na upumbavu ulio ndani ya vichwa na mawazo ya hawa jamaa kisha tia neno. Hata kama unakubaliana, wewe unga tu...
Kwa mfuatiliaji mzuri sana wa mambo ya siasa na Taifa ili tuna watu watatu ambao ni wa kuangalia kwa makini,
1.Makongoro Nyerere, Mzanaki
2. Muzamir kalokola - Mhaya
3. John Magufuli-...
Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kushtushwa na kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa mwanachama wake, Seleman Bungara maarufu Bwege, kilichotokea ghafla asubuhi ya Machi 30, 2026, alipokuwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Msiba haujawahi kuzoeleka hata siku moja, Hakuna msiba mwepesi .
Hakuna Maumivu Makubwa kama ya kufiwa. Msiba unaweza kuuona ni Mwepesi na rahisi Ukiwa kwa Jirani yako ...