Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM: Kauli ya Simai kuhusu ‘Yuda’ "Sio Msimamo wa Chama"

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM: Kauli ya Simai kuhusu ‘Yuda’ "Sio Msimamo wa Chama"

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,911
Reaction score
16,510
Kufutia madai yaliyotolewa na mbunge anayetokana na Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar Simai Mohamed Said akidai ya kwamba kuna baadhi wanakwamisha juhudi za maendeleo kwa maslahi yao binafsi na kuwa mmoja wao ni mtu aliyemtaja kwa jina la "Yuda"ndani ya serikali, leo hii Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha mapinduzi CCM Taifa, Fadhili Maganya amesema kauli hiyo si msimamo wa chama na kwamba ni maoni yake binafsi.

Soma Pia: Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

Aidha Maganya ameongeza kuwa kauli ya mtu mmoja na kutoa taarifa haiwezi kufanya chama kushindwa kuwa salama na kauli hiyo inayoleta sintofamu haijatolewa na msemaji wa chama cha mapinduzi.

 
Kufuatia madai yaliyotolewa bungeni na Mbunge wa Jimbo la Tunguu (Zanzibar), Simai Mohamed Said, akidai kuwa kuna baadhi ya watu wanaokwamisha juhudi za maendeleo kwa maslahi yao binafsi na kumtaja mmoja wao kwa jina la "Yuda" ndani ya serikali; leo Juni 4, 2026, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla, amesema kauli hiyo si msimamo wa chama bali ni maoni ya mbunge huyo binafsi.

Aidha, Makalla ameongeza kuwa kauli ya mtu mmoja haiwezi kukifanya chama kushindwa kuwa salama, na kusisitiza kuwa kauli hiyo inayoleteza sintofahamu haijatolewa na wasemaji rasmi wa Chama Cha Mapinduzi ambao ni Mwenyekiti, Makamu Wenyeviti, Katibu Mkuu, au Mwenezi wa Chama.

View attachment 3601141
Screenshot_20251201-222021~2.png
 
Kufuatia madai yaliyotolewa bungeni na Mbunge wa Jimbo la Tunguu (Zanzibar), Simai Mohamed Said, akidai kuwa kuna baadhi ya watu wanaokwamisha juhudi za maendeleo kwa maslahi yao binafsi na kumtaja mmoja wao kwa jina la "Yuda" ndani ya serikali; leo Juni 4, 2026, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla, amesema kauli hiyo si msimamo wa chama bali ni maoni ya mbunge huyo binafsi.

Aidha, Makalla ameongeza kuwa kauli ya mtu mmoja haiwezi kukifanya chama kushindwa kuwa salama, na kusisitiza kuwa kauli hiyo inayoleteza sintofahamu haijatolewa na wasemaji rasmi wa Chama Cha Mapinduzi ambao ni Mwenyekiti, Makamu Wenyeviti, Katibu Mkuu, au Mwenezi wa Chama.

View attachment 3601141
 
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla, amesema kauli hiyo si msimamo wa chama bali ni maoni ya mbunge huyo binafsi.

Aidha, Makalla ameongeza kuwa kauli ya mtu mmoja haiwezi kukifanya chama kushindwa kuwa salama,
Kuna Amos Makalla wangapi na Makatibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa wangapi?
 
Kufuatia madai yaliyotolewa bungeni na Mbunge wa Jimbo la Tunguu (Zanzibar), Simai Mohamed Said, akidai kuwa kuna baadhi ya watu wanaokwamisha juhudi za maendeleo kwa maslahi yao binafsi na kumtaja mmoja wao kwa jina la "Yuda" ndani ya serikali; leo Juni 4, 2026, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla, amesema kauli hiyo si msimamo wa chama bali ni maoni ya mbunge huyo binafsi.

Aidha, Makalla ameongeza kuwa kauli ya mtu mmoja haiwezi kukifanya chama kushindwa kuwa salama, na kusisitiza kuwa kauli hiyo inayoleteza sintofahamu haijatolewa na wasemaji rasmi wa Chama Cha Mapinduzi ambao ni Mwenyekiti, Makamu Wenyeviti, Katibu Mkuu, au Mwenezi wa Chama.

View attachment 3601141
Na yeye kaamua kulizungumzia swala hilo kama mtu binafsi, au siyo?

Kwa hiyo asijiaminishe la lolote juu ya CCM anayoitazama yeye binafsi kuwa ni chama "imara".
Huo ni msimamo wake binafsi usiokuwa na maana yoyote kwa wengine.
 
Kuna Amos Makalla wangapi na Makatibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa wangapi?
Na sasa kuna huyo "Mwenyekiti wa Jumuia ya wazazi CCM..." wote wanazungumzia swala hilo hilo moja?
 
Yeye kaongea kama nani? Katibu wa jumuiya au binafsi
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi CCM, ndugu Maganya, amesema leo kuwa kauli iliyotolewa jana bungeni na mbunge Simai kuwa, "Serikalini kuna YUDA anazunguka makanisani na kutumia majina ya wastaafu kutafuta huruma na kufanya usaliti", siyo kauli ya chama.

"Kauli hiyo haikutolewa na msemaji rasmi wa chama, yalikuwa ni maoni ya mtu binafsi kwa nafasi yake kisiasa, lakini siyo msimamo rasmi wa chama".
 
Huyo simai amezingua, hajui kwamba amekikejeli kiti cha makamu wa rais mwenye ofisi yake?
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi CCM, ndugu Maganya, amesema leo kuwa kauli iliyotolewa jana bungeni na mbunge Simai kuwa, "Serikalini kuna YUDA anazunguka makanisani na kutumia majina ya wastaafu kutafuta huruma na kufanya usaliti", siyo kauli ya chama.

"Kauli hiyo haikutolewa na msemaji rasmi wa chama, yalikuwa ni maoni ya mtu binafsi kwa nafasi yake kisiasa, lakini siyo msimamo rasmi wa chama".
Kwani nani kasema ni kauli ya chama? The issue is aliyesema ni wa CCM, ndiyo malezi yenu!
 
Huyo naye wasipomfanyia kama Nape na ile kauli yake
 
Kufuatia madai yaliyotolewa bungeni na Mbunge wa Jimbo la Tunguu (Zanzibar), Simai Mohamed Said, akidai kuwa kuna baadhi ya watu wanaokwamisha juhudi za maendeleo kwa maslahi yao binafsi na kumtaja mmoja wao kwa jina la "Yuda" ndani ya serikali; leo Juni 4, 2026, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla, amesema kauli hiyo si msimamo wa chama bali ni maoni ya mbunge huyo binafsi.

Aidha, Makalla ameongeza kuwa kauli ya mtu mmoja haiwezi kukifanya chama kushindwa kuwa salama, na kusisitiza kuwa kauli hiyo inayoleteza sintofahamu haijatolewa na wasemaji rasmi wa Chama Cha Mapinduzi ambao ni Mwenyekiti, Makamu Wenyeviti, Katibu Mkuu, au Mwenezi wa Chama.

View attachment 3601141
Ni kauli ya Wazanzibar
 
Kufuatia madai yaliyotolewa bungeni na Mbunge wa Jimbo la Tunguu (Zanzibar), Simai Mohamed Said, akidai kuwa kuna baadhi ya watu wanaokwamisha juhudi za maendeleo kwa maslahi yao binafsi na kumtaja mmoja wao kwa jina la "Yuda" ndani ya serikali; leo Juni 4, 2026, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla, amesema kauli hiyo si msimamo wa chama bali ni maoni ya mbunge huyo binafsi.

Soma Pia: Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

Aidha, Makalla ameongeza kuwa kauli ya mtu mmoja haiwezi kukifanya chama kushindwa kuwa salama, na kusisitiza kuwa kauli hiyo inayoleteza sintofahamu haijatolewa na wasemaji rasmi wa Chama Cha Mapinduzi ambao ni Mwenyekiti, Makamu Wenyeviti, Katibu Mkuu, au Mwenezi wa Chama.

View attachment 3601141
Hizo kauli tunazitogautishaje sasa
 
Back
Top Bottom