Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ili Afrika iweze kuendelea sawa na sehemu kubwa ya dunia ifanyavyo basi ni vyema ikakabiliana na changamoto kubwa ya udumavu wa akili unao ikumba sehemu kubwa ya watu hasa kusini mwa jangwa la...
1 Reactions
3 Replies
79 Views
GT Huku mtandaoni kelele zimezidi kuongezeka kwa kasi watu hawataki kabisa kusahau mauaji ya M029 na utekaji. Kama kawaida yao maCCM wanaendelea na propaganda lakini nchi hii haionyeshi dalili za...
7 Reactions
10 Replies
269 Views
Polisi makao makuu waliunda Kamati kuchunguza kutekwa kwa Mdude mpaka sasa kimyaa japo afisa wao alitajwa bayana. Mzee Kibao uchunguzi unaendelea, Soka na wenzake Mahakama ikaamuru Polisi wa...
2 Reactions
5 Replies
162 Views
Siku hadi siku wanaCHADEMA wanazidi kuweka ujinga wao hadharani bila aibu. Huko X wanadanganyana kuwa Lissu anabembelezwa kuwa waziri mkuu huku akiwa hana vigezo. Hii KATIBA MPYA mnayodai ni ipi...
4 Reactions
37 Replies
507 Views
  • Featured
Wakuu, Kwa aliyeelewa maelezo ya shahid naomba anieleweshe. Kajikanyaga mno Lissu alimtaka shahidi aonyeshe kama baadhi ya kauli alizodai zilisemwa kijiweni kwao ikiwemo madai kuhusu Chadema...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Hii ndo serikali ya Zanzibar kwa mwanachama wa mfuko wa hifadhi ya jamii Huku visiwani kuna utaratibu ambao mi nauita wa dhuluma kwa binadamu na kwa mvuja jasho la hakililah ati ili upate fedha...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Alex Bitekeye and Florence Mugarula 30 May 2011 Dar es Salaam - The parliamentary Energy and Minerals Committee yesterday directed the Tanzania Mines, Energy, Construction and Allied Workers...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii ni argument ambayo itakubidi upate experience kubwa ya kuitazama sana siasa kwa jicho la tatu, ndiyo utagundua kwamba ni argument ambayo ni ukweli kwa asilimia 99%. Mwaka 2010 nilipoenda pale...
5 Reactions
13 Replies
235 Views
Bwege ameendelea kuyasema mengi zaidi, ambapo leo amesema wakati yupo ACT Wazalendo ameitwa sana mchochozi kwa kusema mambo muhimu. Soma Pia: Bwege ajiondoa ACT, atimkia CHADEMA Aidha amesema...
4 Reactions
2 Replies
130 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Seleman Bungara "Bwege kupitia ACT Wazalendo ameweka wazi kuondoka kwake kwenye chama hicho na kuhamia CHADEMA akisema viongozi wanashindwa kufuata Katiba na...
0 Reactions
1 Replies
128 Views
My Take Samia ataendelea kusalia kama Rais aliyefanikiwa sana kwenye nyanja ya Uchumi na biashara hapa Tanzania. Mageuzi aliyoyafanya kwenye mashirika haya ya Umma yamefaulu ,hatutegemei tena...
2 Reactions
41 Replies
515 Views
Hivi huyu dada ni nani? Anaishi wapi? Antoa tàrifa nyeti sana anazipata wapi? Anafanya kazi nzuri ya kutetea TANGANYIKA
7 Reactions
12 Replies
490 Views
Hofu ya Watanzania je Ccm mtatupatia Rais mwingine mzuri na mzalendo kama Rais samia ? Kwa sasa Watanzania wanazidi kufurahishwa na kazi njema na ya kizalendo inayofanywa na Rais Samia Suluhu...
-3 Reactions
55 Replies
826 Views
Kwenye siasa kuna mambo hutokea na kuwafanya watu mashujaa ama wasaliti. Wewe kama mtanzania tangu uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 na mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964, nani unadhani kwako ni...
1 Reactions
9 Replies
192 Views
Mara zote tumesisitiza humu na kwingineko kwamba, SHETANI HANA RAFIKI, nadhani sasa watu wameanza kuelewa Wale ulioshirikiana nao kumdhulumu Maalim Seif leo wamekutosa n.a. kukutupa kama pakacha...
13 Reactions
17 Replies
383 Views
Najua hakuna mahakama. But let it be on record! Hakuna Jaji atakataa kupokea maagizo. Na hili naweza kusema with brevity kuwa hawana jinsi, nao wanatetea uhai wao! Ni vyema mkaenda mahakamani ...
3 Reactions
9 Replies
146 Views
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasilino wa CUF, Mohamed Ngulangwa amejitojitokeza kuwania nafasi ya umakamu mwenyekiti wa CUF katika uchaguzi wa marudio wa chama hicho ulioamuliwa na Msajili wa vyama...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Kupitia ukurasa wa Instagram na (X) zamani Twitter anaandika John Heche ambaye ni makamu Mwenyekiti CHADEMA "Nimetoka Gereza la Ukonga kumuona Mwenyekiti… Nimefanya kila jitihada kuweza kumuona...
11 Reactions
18 Replies
585 Views
Dar es Salaam. Makada watatu akiwamo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Tanzania Bara, Othman Omar Dunga, wamepitishwa kuwania nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa...
5 Reactions
17 Replies
447 Views
Wakati Mahakama ya Kimataifa Uhalifu wa Kibinadamu (ICC) ikitarajiwa kuchagua majaji wapya ifikapo Desemba mwaka huu, Jaji Deo John Nangela amejitokeza kugombea nafasi hiyo. Kuonyesha kuwa Jaji...
2 Reactions
37 Replies
891 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…