Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

TLS ni chama cha wanasheria ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia maadili ya wanasheria. Kwa sababu hiyo ndani yake kumeundwa kamati ya maadiliya mawskili ili ukiwa na lalamiko lolote dhidi ya...
0 Reactions
0 Replies
324 Views
Wafanyakazi wafuatao wanastahili likizo ya malipo, Waliofanya kazi kwa zaidi ya miezi sita mfululizo, Wafanyakazi wa msimu, Wafanyakazi waliofanya kazi kwa kipindi tofauti kwa mwajiri mmoja katika...
5 Reactions
10 Replies
11K Views
Presumption of Death katika Sheria ya Ndoa na Mirathi ➡️ Je, mtu anapotea bila mawasiliano kwa miaka mitano mfululizo… je, bado ni mume/mke wako halali? ➡️ Je, bado atahesabika yupo hai? unaweza...
2 Reactions
6 Replies
834 Views
Kama mtu amekutegeshea kitu kwenye kinywaji chako. Wewe ukaushtukia huo mchongo, bila yeye kujua kama umemsanukia!! Ukabadili glass yako ya kinywaji chap kwa!! Ya kwako ukamuwekea yeye, na ya...
0 Reactions
6 Replies
447 Views
Ni hivi kuna binti wa kaka wamekuwa na tofauti na mme wake kwa muda.hii imepelekea wakaenda kwa balozi kwa usuluhishi ila bado mme hakuridhia ,mme akatupigia simu sisi wazazi nikawaita kuwashauri...
0 Reactions
8 Replies
608 Views
0 Reactions
128 Replies
16K Views
Habari wakuu wa sheria, nimekuja mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba msaada wa kisheria. Nitajitahidi kuifupisha kadri iwezekanapo lakini mtaelewa ninachoomba kutoka kwenu. Mimi nilikuwa ni mtumishi...
3 Reactions
55 Replies
3K Views
Naam! Salaam wakuu, Kuna dogo mmoja, ni mdogo wangu, ameanza sheria tu mwaka wa kwanza yupo. Sasa karudi home mara moja, anajiona tayari ni DA (District Attorney) Ubishi ulikua ni kwamba, JE...
5 Reactions
64 Replies
11K Views
Marital Rape: Je, Mume anaweza kumbaka mke wake? Ni ukweli unaokubalika ya kwamba Mume na Mke katika zama hizi za kisasa wako sawa kama ‘partners na kila mmoja akiwa na haki iliyo kamili...
0 Reactions
278 Replies
65K Views
Wanabodi, Utangulizi: Hizi ni makala elimishi kutoa elimu ya uraia kwa watu wa kawaida kuijua katiba yetu ya JMT ya mwaka 1977. Mtoa Mada ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea na...
12 Reactions
15 Replies
4K Views
Introduction Taxation represents one of the most consequential exercises of state authority. It directly affects both individual livelihoods and the economic vitality of businesses. Yet, as...
1 Reactions
0 Replies
683 Views
Nilikuwa mtumishi katika wizara. Nilifukuzwa kazi miaka 3 sasa naomba msaada wa namna ya kukata rufaa nirudi kazini.
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu Samahani naomba wenye idea na huu utaratibu wa PSSSF wanisaidie kunielewesha kama kweli hichi kitu kipo Mimi niliwahi kuajiriwa Serikalini baada ya miaka miwili na nusu ya kudumu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Asalam aleykum, nilifukuzwa kazi na utumishi na mamlaka yangu ya nidhamu. TSD kwa sasa TSC. Mimi ni mwalimu, nilikata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma. Nao walikataa rufaa yangu. Nikakata rufaa kwa...
1 Reactions
40 Replies
9K Views
EWE MJASIRIAMALI, HATUA ZA KUUNDA KAMPUNI HIZI HAPA, MILIKI KAMPUNI SASA. Na Mwanasheria Wetu. STEP 1; chagua jina. Kampuni lazima iwe na jina linalotambulika na linalojitofautisha na majina...
12 Reactions
26 Replies
20K Views
Introduction In the architecture of a progressive tax administration, a fair and efficient tax dispute resolution system stands as both a pillar of justice and a catalyst for fiscal growth. It not...
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Usiku wa kuamkia jumapili nilienda kwenye sherehe ya jamaa angu alikuwa anaoa nyumbani nilimuacha mdogo wangu, Ilivyofika usiku nikamuagiza dogo aje kama anaona yupo bored. Asubuhi tunarudi...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25 na ni wa mwisho kuzaliwa katika familia yenye watoto sita. Wazazi wetu wameshafariki hivyo tumeachiwa baadhi ya mali ambavyo ni nyumba na mashamba tumegawana...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Salaam tutasalimiana siku nyingine Leo tuingie kwa topic chap chap, hakuna kupoteza muda harufu ya damu imenipanda. Nianze kwa yaliyonitokea miaka 6 iliyopata. Mwaka 2019 nikiwa mkoa Y nilipata...
9 Reactions
35 Replies
2K Views
https://www.tiktok.com/@samonsojuri68/video/7504665112372956447
1 Reactions
15 Replies
844 Views
Back
Top Bottom