Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Karibu katika sehemu ya pili ya uchambuzi wa kina wa kesi ya Hatibu Gandhi na wenzake dhidi ya Jamhuri. Kesi iliyo na historia ya kuvutia na kusisimua sana, kesi iliyoficha mengi yasiyojulikana...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari ya muda huu wakuu, issue yangu ipo hivi Mwaka jana mwishoni (December 2024) nliingia makubaliano na kampuni moja kwa ajili ya kununua bidhaa ambayo kwa madai yao wanaagiza kutoka nje ya...
1 Reactions
3 Replies
792 Views
Sio kweli kama Waziri Simbachewene alivyosema kuwa asiye na cheti cha ndoa hawezi kufumania. Yeyote mwenye ndoa halali anaweza kufumania. Na ndoa halali imetajwa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ndoa...
5 Reactions
4 Replies
3K Views
Anonymous
Habari zenu wanaJamiiForums. Poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Nilikuwa naomba msaada wenu wanasheria wa humu ndani. Kuna sehemu nilinunua shamba la hekari 2 kutoka familia fulani...
0 Reactions
13 Replies
889 Views
Niliondoka kwa mume wangu bila kufukuzwa baada ya maisha kuwa magumu nikamwachia mtoto wa miaka minne basi mume akaniomba twende nikamkabidhi mtoto ustawi wa jamii. Tukaandikishana nikaondoka...
1 Reactions
4 Replies
691 Views
Nimepitia nyuzi kadhaa za kisheria juu ya maswala ya ndoa katika jukwaa hili, nimeona maswala mengi yamejadiliwa na kufafanuliwa na wataalamu wetu ndani jumba hili. ahasanteni, binafsi kuna...
0 Reactions
3 Replies
625 Views
"Kuepusha kuwachosha wasomaji, Swali pekee linalobakia katika mkasa huu ni Je, ni hatua gani za kisheria zilichukuliwa baina ya wahusika?. Jibu la swali hili tutakua nalo katika sehemu ya tatu ya...
7 Reactions
9 Replies
3K Views
Introduction The integrity and effectiveness of Tanzania’s tax administration system depend heavily on the consistent and faithful application of tax laws. In recent years, however, several...
2 Reactions
1 Replies
981 Views
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Habari zenu waungwana. Nina ndoa ya kikristo. Ninahitaji huyu mwanamke niliye naye atambulike, hasa kwaajili ya benefits flani kutoka ofisini. Amejifungua muda sio mrefu, chata yangu kabisa...
0 Reactions
1 Replies
381 Views
Introduction Since 2000, Tanzania has undertaken significant reforms to strengthen its governance and public administration frameworks. The tax sector was no exception. The enactment of the Tax...
1 Reactions
0 Replies
628 Views
Habari za asubuhi wakubwa, Nimekua nikiskia wafanyakazi wengi walilalamika kusimamishwa kazi na hata wengine kufukuzwa au kukatishwa mikataba yao pasipo kuisha Kwa mda wake na bila kufuata...
1 Reactions
18 Replies
20K Views
Ndugu wana body,habari za sahizi,na poleni kwa majukumu.nina issue nataka kijua sheria hapa ikoje!je unaweza kustaki kampuni?mfano umeomba kazi katika kampuni x,miaka kazaa ilio pita,ukakosa.ila...
2 Reactions
4 Replies
522 Views
Introduction The National Tax and Investment Dialogue, scheduled to commence on 15th April 2025, presents a strategic opportunity for Tanzania to re-engineer its tax system, reinforce investor...
0 Reactions
0 Replies
529 Views
wanafamilia moja wamekuja kwangu wanataka wagawane mali walizochuma ndipo nikaomba kujua historian yao hadi kufikia hapo, ipo ivi. Ilikuwa 2018 mahusiano yao yalianza na wakati huo mwanaume...
1 Reactions
11 Replies
771 Views
Waungwana na wajuvi habari zenu: Naomba kufahamishwa nijue; Je; DPP anaweza kufuta/ au kuondoa kesi hata pale baada ya mashahidi wake wote kutoa ushadi na ikathibitika kuna kesi ya kujibu...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Uhaini ni kosa la jinai . Ni kosa kati ya makosa makubwa ya jinai. Katika jinai yapo makosa makubwa na yapo makosa madogo. Yumkini udogo na ukubwa wa kosa waweza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
c&p SEDITION What do you understand by sedition? Critically comment on the way the courts have interpreted the Section 124(A) of the penal code. (India) Sedition is about when a person's...
1 Reactions
0 Replies
713 Views
Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa huru Habari wana jamvi, awali ya yote nimesikitishwa sana na habari tajwa hapo juu👆 kwani nimejiuliza, je kama menager wa hoteli kubwa...
2 Reactions
8 Replies
7K Views
Back
Top Bottom