Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Karibu katika sehemu ya pili ya uchambuzi wa kina wa kesi ya Hatibu Gandhi na wenzake dhidi ya Jamhuri. Kesi iliyo na historia ya kuvutia na kusisimua sana, kesi iliyoficha mengi yasiyojulikana...
Habari ya muda huu wakuu, issue yangu ipo hivi
Mwaka jana mwishoni (December 2024) nliingia makubaliano na kampuni moja kwa ajili ya kununua bidhaa ambayo kwa madai yao wanaagiza kutoka nje ya...
Sio kweli kama Waziri Simbachewene alivyosema kuwa asiye na cheti cha ndoa hawezi kufumania.
Yeyote mwenye ndoa halali anaweza kufumania. Na ndoa halali imetajwa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ndoa...
Habari zenu wanaJamiiForums. Poleni na majukumu ya kulijenga taifa.
Nilikuwa naomba msaada wenu wanasheria wa humu ndani. Kuna sehemu nilinunua shamba la hekari 2 kutoka familia fulani...
Niliondoka kwa mume wangu bila kufukuzwa baada ya maisha kuwa magumu nikamwachia mtoto wa miaka minne basi mume akaniomba twende nikamkabidhi mtoto ustawi wa jamii.
Tukaandikishana nikaondoka...
Nimepitia nyuzi kadhaa za kisheria juu ya maswala ya ndoa katika jukwaa hili, nimeona maswala mengi yamejadiliwa na kufafanuliwa na wataalamu wetu ndani jumba hili. ahasanteni, binafsi kuna...
"Kuepusha kuwachosha wasomaji, Swali pekee linalobakia katika mkasa huu ni Je, ni hatua gani za kisheria zilichukuliwa baina ya wahusika?. Jibu la swali hili tutakua nalo katika sehemu ya tatu ya...
Introduction
The integrity and effectiveness of Tanzania’s tax administration system depend heavily on the consistent and faithful application of tax laws. In recent years, however, several...
Habari zenu waungwana.
Nina ndoa ya kikristo. Ninahitaji huyu mwanamke niliye naye atambulike, hasa kwaajili ya benefits flani kutoka ofisini.
Amejifungua muda sio mrefu, chata yangu kabisa...
Introduction
Since 2000, Tanzania has undertaken significant reforms to strengthen its governance and public administration frameworks. The tax sector was no exception. The enactment of the Tax...
Habari za asubuhi wakubwa,
Nimekua nikiskia wafanyakazi wengi walilalamika kusimamishwa kazi na hata wengine kufukuzwa au kukatishwa mikataba yao pasipo kuisha Kwa mda wake na bila kufuata...
Ndugu wana body,habari za sahizi,na poleni kwa majukumu.nina issue nataka kijua sheria hapa ikoje!je unaweza kustaki kampuni?mfano umeomba kazi katika kampuni x,miaka kazaa ilio pita,ukakosa.ila...
Introduction
The National Tax and Investment Dialogue, scheduled to commence on 15th April 2025, presents a strategic opportunity for Tanzania to re-engineer its tax system, reinforce investor...
wanafamilia moja wamekuja kwangu wanataka wagawane mali walizochuma ndipo nikaomba kujua historian yao hadi kufikia hapo, ipo ivi.
Ilikuwa 2018 mahusiano yao yalianza na wakati huo mwanaume...
Waungwana na wajuvi habari zenu:
Naomba kufahamishwa nijue;
Je; DPP anaweza kufuta/ au kuondoa kesi hata pale baada ya mashahidi wake wote kutoa ushadi na ikathibitika kuna kesi ya kujibu...
Uhaini ni kosa la jinai . Ni kosa kati ya makosa makubwa ya jinai. Katika jinai yapo makosa makubwa na yapo makosa madogo.
Yumkini udogo na ukubwa wa kosa waweza...
c&p
SEDITION
What do you understand by sedition? Critically comment on the way the courts have interpreted the Section 124(A) of the penal code. (India)
Sedition is about when a person's...
Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa huru
Habari wana jamvi, awali ya yote nimesikitishwa sana na habari tajwa hapo juu👆 kwani nimejiuliza, je kama menager wa hoteli kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.