Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Ndugu wana JF,
Nahitaji wakili aliyehitimu kisheria, mwenye leseni halali kutoka Tanganyika Law Society (TLS), na anayefanya kazi kwa weledi, maadili, na uaminifu wa hali ya juu.
Vigezo...
Mwenye hits zozote kuhusu written ya interview kuhusu kada tajwa hapo juu tunaomba uje hapa ikiwezekana kama tutakuwa wengi tuanzshe ata group whatsapp nipo tayari, Asanteni..!!
Nimejikuta na kiu ya kujifunza kutoka kwa watu wa kada ya Sheria mliomo hapa jf Kama hamtojali kutumia muda wenu kutuelimisha.
Nitafurahi Kama mtanisaidia kuelewa juu ya kauli zinazotolewa nje ya...
Naomba msaada wakisheria.
Nilifukuzwa kazi kwakosa la nidhamu bila kusikilizwa, zikaandikwa na mwajiri minits za kikao za uongo kwamba tulikaa kikao.
Teenda cma mwajiri hamleti mwenyekiti wa...
Kuna uhaba wa mahakimu ktk mahakama hii kunakopelekea mrundikano wa mashauri na ulipuaji wa mashauri.
Jaji Mkuu ingilia ktk hili kwa haraka kwani haki inayochelewa ndiyo inayopotea
Hoja ya Wakili msomi Peter Kibatala kuwa jina la kanisa kwenye barua liyotumika kulifunga kanisa la Gwajima ni tofauti na jina la kanisa la Gwajima lililopo kwenye usajili, hivyo kulifunga kanisa...
Hello lawyers kwa ujumla na mliopita law school ya tz. mimi ni LLB hold najiaanda kuingia law school soon.
Naomba msaada hivi ni vitu gani natakiwa kuzingatia ili kutoboa law school maan...
Wakuu, Nilikuwa, na mahusiano na binti mmoja, kwa kipindi kirefu sana, nikaja nikamnunulia simu, kubwa, akatumia kwa mda sana,
Alikuwa ana ka kwa bibi yake, siku moja akaenda kusalmiaa kwao,
Kaka...
My scenario iko hivi
Tulizaliwa wawili,
Baba, Mama na Mdogo wangu wote wamefariki
Baada ya baba kufariki , tuliishi na mama , tulikuwa wadogo so sijui nani aliteuliwa kama msimamizi a mirathi...
Habari wanajamii Forum
Natumain muhali njema na majukumu ya kila siku. Nia na madhumuni ya uzi huu ni kuwa kama mwanajamii mwenzenu nimekuja kuomba msaada wa mawazo na majibu juu ya hili.
Mzazi...
Habari za majukumu wanafamilia wa JF. Mimi nilikuwa naomba ufafanuzi wa kisheria kwa dhati kabla sijaanza kufuata hatua zingine. Kuna kesi ya madai iliyosajiliwa mahakamani na ikatolewa uamuzi...
Wana Jamii, nahitaji msaada/muongozo/kuelimishwa kuhusu utaratibu,sheria (kama ipo) kuhusu kutafuta na kumuajili msichana wa kazi/house Girl as a Single Man.
Mimi ni Mwanaume wa miaka takribani...
Kama nitakua nimekosea mtanielewesha, maana ninachofahamu mimi ni kwamba; Bunge linapelekewa Mswada wa sheria, kisha wabunge wanajadili na baadae kupitisha Mswada ili ukasainiwe na Rais, na sio...
Kama ulikuwa ushahidi wa kutunga, ushahidi alioutoa akija on a latter date for cross examination , atakuwa amesahau! na hivyo unamkanyaga kisawasawa.
Sasa kwanini Kibatala alikuwa nakataa?
“10 Basic Rights of Accused Persons in Criminal Proceedings”
Drafted by Dr. Markus Englerth
1. Presumption of Innocence
Criminal proceedings which start from a presumption of guilt and put the...
Good afternoon thinkers. Yesterday was in chamber s in one of the District Land and Housing Tribunals and i happened to find an application brought by way of Summary procedure under Order XXXV of...
Introduction
As Tanzania welcomes a new Chief Justice to the helm of its judiciary, we do more than mark an institutional milestone we enter a new chapter in our nation’s journey toward justice...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.