Marital Rape: Je, Mume anaweza kumbaka mke wake?
Ni ukweli unaokubalika ya kwamba Mume na Mke katika zama hizi za kisasa wako sawa kama ‘partners na kila mmoja akiwa na haki iliyo kamili kuhusiana na miili yao.
Sheria za hapo mwanzo (Old Laws) ziliweza kumlinda mume kutokana na mashtaka ya ' kumbaka mke wake. Sheria hizi zimefutwa kabisa katika maeneo mataifa mengi humu duniani mfano Mume anaweza kushtakiwa kwa kumbaka mke wake katika nchi kama Norway, Sweden, Denmark, Canada, majimbo mengi ya Marekani, Australia, Israel na iliyokuwa Urusi.
Tanzania kwa mujibu wa sheria za makosa ya kujamiiana, Mume anaweza kushitakiwa kwa kosa la kumbaka mke kama mmetengana (SOSPA 1998)
Yote niliyoelezea hapo juu kuhusu usawa yameainishwa vizuri na katiba ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania (Bill of Rights- Sura 13) Kuhusu binadamu wote ni sawa.
Swali langu: Kulingana na maambukizo ya magonjwa yasiyotiba, Je kuna haja ya kufanya mabadiliko ya kisheria na kuweka kifungu kinachosema mume anaweza kumbaka mkewe?
Shadow.
Ni ukweli unaokubalika ya kwamba Mume na Mke katika zama hizi za kisasa wako sawa kama ‘partners na kila mmoja akiwa na haki iliyo kamili kuhusiana na miili yao.
Sheria za hapo mwanzo (Old Laws) ziliweza kumlinda mume kutokana na mashtaka ya ' kumbaka mke wake. Sheria hizi zimefutwa kabisa katika maeneo mataifa mengi humu duniani mfano Mume anaweza kushtakiwa kwa kumbaka mke wake katika nchi kama Norway, Sweden, Denmark, Canada, majimbo mengi ya Marekani, Australia, Israel na iliyokuwa Urusi.
Tanzania kwa mujibu wa sheria za makosa ya kujamiiana, Mume anaweza kushitakiwa kwa kosa la kumbaka mke kama mmetengana (SOSPA 1998)
Yote niliyoelezea hapo juu kuhusu usawa yameainishwa vizuri na katiba ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania (Bill of Rights- Sura 13) Kuhusu binadamu wote ni sawa.
Swali langu: Kulingana na maambukizo ya magonjwa yasiyotiba, Je kuna haja ya kufanya mabadiliko ya kisheria na kuweka kifungu kinachosema mume anaweza kumbaka mkewe?
Shadow.