Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Hellos ndugu zangu JamiiAfrica naomba kujua hivi ni Sheria ipi itayomfanya mwenyekiti wa CHADEMA taifa ndugu Tundu Antipas Lissu asikutwe na hatia ya uhaini ikiwa kweli tumeshuhudia matamshi yake...
Introduction
In recent years, trust between taxpayers and tax authorities has emerged as a critical factor in strengthening voluntary compliance and building a sustainable and equitable tax...
Hahitaji kujua nini natakiwa kuandaa kati ya Deed Poll au Affidavity?
Mimi jina langu limekosewa herufi moja na haibadilishi maana ya jina.
Badala ya Mohamed, likakosewa kwa kuongezewa herufi...
Wasomi kwemaaa?
i) kwa wazoefu, cheti cha kuzaliwa kinachukua muda gani kutoka baada ya kuomba mtandaoni?
ii) Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?
Nitashkuru kwa majibu yenu
Watu wengi wamenunua viwanja/nyumba lakini mali hizo zimeendelea kubaki katika majina ya waliowauzia. Wapo ambao imepita hata miaka kumi tangu wanunue maeneo lakini bado hawajabadili...
Kuvunja ahadi ya kuoa au kuolewa ni kosa linaloweza kuchukuliwa hatua chini ya kifungu cha 69 na 70 cha Sheria ya Ndoa (Sura ya 29 R.E 2019). Ikiwa mlalamikaji atathibitisha kuwa aliyekiuka ahadi...
UKAMATAJI, KIZUIZI NA MIPAKA YA MAMLAKA: HAKI ZA MSINGI KATIKA SHERIA YA TANZANIA
Katika mazingira ya kawaida ya maisha ya kila siku, si jambo la ajabu kusikia mtu amekamatwa either barabarani...
Habari, leo nakuletea makala kuhusu hatua na utaratibu wa kusajili makampuni ya kigeni nchini Tanzania.
Imeandaliwa na kuletwa kwako nami Zakaria Maseke - Advocate Candidate...
Miaka kadhaa iliyopita nilisafiri kibiashara nchini msumbiji. Katika pilika pilika za biashara nilibahatika kukutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana tuliazisha mahusiano ya kimapenzi...
Introduction
In a functioning tax administration governed by the rule of law, fairness must be the cornerstone of every process. In our country, the Tanzania Revenue Authority (TRA) is mandated to...
Dear Esteemed Members of the Legal Forum,
I am reaching out to seek legal insights and public advocacy regarding an incident that raises concerns about privacy rights, data security, and due...
Rafiki yangu ametengana na Mkewe wa ndoa kanisani.Mke anataka kumpeleka Dawati la Jinsia kuhusiana na Matunzo ya mtoto suala la shule...Ni hatua gani anapaswa kuzichukua ikiwa akiitwa huko?
Naomba ushauri wa haraka kuhusu hili.
Vyeti vyangu vyote mpaka chuo kikuu nina majina mawili. Kitambulisho cha Taifa kina majina matatu. Jina la kwanza na la mwisho kwenye NIDA ndio majjna...
Introduction
Throughout history, taxation has often been a contentious subject. From ancient empires to modern governments, tax collectors have been perceived with skepticism, sometimes even...
Embu wakuu tuiendeshe kesi hapa kivyetu, naamini kuna wapenzi wa sheria majambazi yaani tupo hata sisi tunaopenda kuhudhuria mahakamani kusomea ubishi na hoja.
Hakimu anza kutusomea kosa au...
Wasaalam wakuu, usiku wa jumamos nilitoka kwenda kuchek gam ya Madrid na Barcelona huku nikiwa natumia Moja baridi Moja moto baada ya game nikawa narudi home wakati nipo njiani ni main load...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.