Nimeambiwa Wajukuu hawaruhusiwi kurithi nifanyeje?

snowhite

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
17,710
23,646
My scenario iko hivi

Tulizaliwa wawili,
Baba, Mama na Mdogo wangu wote wamefariki
Baada ya baba kufariki , tuliishi na mama , tulikuwa wadogo so sijui nani aliteuliwa kama msimamizi a mirathi

Baada ya mama kufariki, tuliiishi na ndugu kwa kuungaunga mpaka tumekua tukaishi wenyewe.

Mzee aliacha nyumba mbili, moja aliishi mdogo wangu nyingine tukapangisha.

Nimeendelea kuzihudumia hizi nyumba ever since. Ndugu ni kama wamezisusa na ni kama walitususa pia.

Ndugu wa baba yangu wanauza sana nyumba za marehemu ndugu zao(kulikua na baba zangu wengine wadogo na shangazi na babu walikua na mali ziliuzwa uzwaaa hakuna hata tunachojua kilichoishia. Sasa wamebaki baba zangu wadogo wawili.

Niliwekeza kwenye nyumba za mzee nikiamini zitawasaidia kusomesha watoto wangu na watoto wa marehemu mdogo wangu(ninawalea wote 3).

Nimekuja kuambiwa WAJUKUU hawarithi na iwapo lolote litanikuta , Mali zinarudi kwenye familia ya Marehemu baba yangu.

Kimsingi hayupo mwenye utashi wa kulea hawa watoto wa marehemu, (SILIONI HILO AS HATA MIMI NA MDOGO ANGU TULIJILEA WENYEWE Kisela tu mpk tumekua).

Sitaki hii kitu iwakute hawa WAJUKUU

Hofu yangu ni haki yao kulindwa ikiwa sitakuwepo(Nitafariki)

Nia yangu nataka kuuza nyumba hizo ili nizihamishe nikawajengee kwingine kisha niwaandikishe wajukuu |(hasa hao watoto wa mdogo wangu) wangu sina mashaka as wanarithi ka baba yao, na anaawekezea pia.

Hofu yangu ni hawa watoto wa mdogo wangu.

Naomba ushauri hapa nafanyaje?
 
Fanya tu unoona ni jema. Usimwonee aibu mtu
kiukweli sina ninayemuonea aibu, as wala hayupo tu aliyejali kama tulikuwepo na tulisoma vipi mpk umeri huu. Ila najua it wont be the case siku akisikia nimevuta.

Mdogo wangu na mimi tuliendeleza na kutunza hii miji!

BY DEFAULT ni mrithi wa mali za baba yangu, but kuhamisha umiliki kwa wengine ndo naona ni issue kulingana na sheria ya mirathi.

Je, nawezaje kuendelea na hii procedure bila
1. Kuhusisha hao ndugu
2. Kuwa na wosia
3. Kuwa na minutes za kikao cha kuteuliwa msimamizi wa mirathi.
 
Pole Sana ,Mkuu hakikisha unatenda haki kwako na kwa watoto wako na watoto wa the late Mdogo wako.
 
Kuhusu utaratibu kisheria.
Si itabidi niteuliwe kama msimamizi wa mirathi ndipo niweze kuhamisha umiliki na kisha kuziuza?
Mtafte mwana sheria , wewe ndo mmiliki huenda hata hyo milolongo haipo , huenda ni kutafta dalali Tu na kukunja mkwanja
 
Pole Sana ,Mkuu hakikisha unatenda haki kwako na kwa watoto wako na watoto wa the late Mdogo wako.
Nitafanya hivyo na maskini nilianza kufanya hata bila kujua sheria zinasemaje.

Hawa a the late ndo nawawaza.

Wangu baba yao na mimi angalau kuna vitu wanaweza sema hapa ni ka baba hapa ka mama.

Natamani nifanye kitu mdogo wangu angefanya, kuwaachia watoto wake mahali wanasema hapa ni kwangu
Kwa aina ya babu zao , zile nyumba watazisikia kenye bomba.
 
My scenario iko hivi

Tulizaliwa wawili,
Baba, Mama na Mdogo wangu wote wamefariki
Baada ya baba kufariki , tuliishi na mama , tulikuwa wadogo so sijui nani aliteuliwa kama msimamizi a mirathi

Baada ya mama kufariki, tuliiishi na ndugu kwwa kuunga unga , mpk tumekua tukaishi wenyewe.
Mzee aliacha nyumba mbili, moja aliishi mdogo wangu nyingine tukapangisha.
Nimeendelea kuzihudumia hizi nyumba ever since. Ndugu ni kama wamezisusa na ni kama walitususa pia.

Ndugu wa baba yangu wanauza sana nyumba za marehemu ndugu zao(kulikua na baba zangu wengine wadogo na shangazi na babu walikua na mali ziliuzwa uzwaaa hakuna hata tunachojua kilichoishia. Sasa wamebaki baba zangu wadogo wawili.

Niliwekeza kwenye nyumba za mzee nikiamini zitawasaidia kusomesha watoto wangu na watoto wa marehemu mdogo wangu(ninawalea wote 3)

Nimekuja kuambiwa WAJUKUU hawarithi na iwapo lolote litanikuta , Mali zinarudi kwenye familia ya Marehemu baba yangu.
Kimsingi hayupo mwenye utashi wa kulea hawa watoto wa marehemu, (SILIONI HILO AS HATA MIMI NA MDOGO ANGU TULIJILEA WENYEWE Kisela tu mpk tumekua)
Sitaki hii kitu iwakute hawa WAJUKUU

Hofu yangu ni haki yao kulindwa ikiwa sitakuwepo(Nitafariki)

Nia yangu nataka kuuza nyumba hizo ili nizihamishe nikawajengee kwingine kisha niwaandikishe wajukuu |(hasa hao watoto wa mdogo wangu) wangu sina mashaka as wanarithi ka baba yao, na anaawekezea pia.

Hofu yangu ni hawa watoto wa mdogo wangu.

Naomba ushauri hapa nafanyaje?
mali zilizoachwa zina majina ya nani?zilikuwa zinalipiwa kodi nani na kwa jina gani?
 
Wanakushauri kuuza nyumba wapuuze yasikukute yaliyonikuta mimi. Baada ya kuuza nyumba nkajenge nyingine sehemu nyingine niepukane na hawa ndugu wengine akaja kijana mwingine akanifundisha kubet na mambo mengine.

Nnayopitia sasa hivi, najiandaa kuandika kitabu. Soon ntakuwa tajiri kupitia kitabu changu.

Uza nyumba kama unaweza geuza matatizo kuwa fursa
 
My scenario iko hivi

Tulizaliwa wawili,
Baba, Mama na Mdogo wangu wote wamefariki
Baada ya baba kufariki , tuliishi na mama , tulikuwa wadogo so sijui nani aliteuliwa kama msimamizi a mirathi

Baada ya mama kufariki, tuliiishi na ndugu kwwa kuunga unga , mpk tumekua tukaishi wenyewe.
Mzee aliacha nyumba mbili, moja aliishi mdogo wangu nyingine tukapangisha.
Nimeendelea kuzihudumia hizi nyumba ever since. Ndugu ni kama wamezisusa na ni kama walitususa pia.

Ndugu wa baba yangu wanauza sana nyumba za marehemu ndugu zao(kulikua na baba zangu wengine wadogo na shangazi na babu walikua na mali ziliuzwa uzwaaa hakuna hata tunachojua kilichoishia. Sasa wamebaki baba zangu wadogo wawili.

Niliwekeza kwenye nyumba za mzee nikiamini zitawasaidia kusomesha watoto wangu na watoto wa marehemu mdogo wangu(ninawalea wote 3)

Nimekuja kuambiwa WAJUKUU hawarithi na iwapo lolote litanikuta , Mali zinarudi kwenye familia ya Marehemu baba yangu.
Kimsingi hayupo mwenye utashi wa kulea hawa watoto wa marehemu, (SILIONI HILO AS HATA MIMI NA MDOGO ANGU TULIJILEA WENYEWE Kisela tu mpk tumekua)
Sitaki hii kitu iwakute hawa WAJUKUU

Hofu yangu ni haki yao kulindwa ikiwa sitakuwepo(Nitafariki)

Nia yangu nataka kuuza nyumba hizo ili nizihamishe nikawajengee kwingine kisha niwaandikishe wajukuu |(hasa hao watoto wa mdogo wangu) wangu sina mashaka as wanarithi ka baba yao, na anaawekezea pia.

Hofu yangu ni hawa watoto wa mdogo wangu.

Naomba ushauri hapa nafanyaje?
pia jitahidi kuandika wosia japo mapema ili iweze kuwalinda pindi haupo
 
kiukweli sina ninayemuonea aibu, as wala hayupo tu aliyejali kama tulikuwepo na tulisoma vipi mpk umeri huu. Ila najua it wont be the case siku akisikia nimevuta.

Mdogo wangu na mimi tuliendeleza na kutunza hii miji!
BY DEFAULT ni mrithi wa mali za baba yangu, but kuhamisha umiliki kwa wengine ndo naona ni issue kulingana na sheria ya mirathi.
JE
Nawezaje kuendelea na hii procedure bila
1. Kuhusisha hao ndugu
2. Kuwa na wosia
3. Kuwa na minutes za kikao cha kuteuliwa msimamizi wa mirathi.
Wewe ni mtu mwema sana.....kwa kua wewe na mdogo wako ndio warithi wa wazazi wenu ,fanya hivi...tengeneza minutes za kikao cha familia(hakikisha huwashirikishi hao ndugu bali tumia majina yao na wasainie kama kikao kimefanyika)tafuta cheti cha kifo cha mzee kafungue mirathi...na fanya unavyoweza mahakamani wa expadite hili zoezi...ukishapewa mamlaka ya msimamizi wa mirathi...nenda kafanye transfer ya hizo nyumba kuja majina yako/wajukuu uliowakusudia....kikubwa fanya kwa usiri hao mafia wasijue.
 
Back
Top Bottom