BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Ndugu zangu inawezekana unashukuru mungu kwa kuwa amekupa uhai
uhai uliopo ni kwamba hii sehria inayoendelea kupigwa kelele na hawa wahuni
waitwao wabunge kuipitisha na leo hii nimesikia ati wameanza kupiga kelele
hivi unaweza kupiga kelele kwa sheria ulioipitisha mwenyewe??
J.mhagama mama na wenzio nahisi wanapoleta bajeti humo ndani mmekaa kishabiki zaidi kuwabana
wabunge wa upinzani na kushindwa kujua majukumu yenu mwisho kuishia kushtuka
mmepitisha pumba wakati is too late
ukweli uliopo nduugu zangu hazina kumekwisha...na mambaya zaidi na zaidi ni kwamba
serikali hii imekopa mikopo mingi kutoka pesa za hifadhi za jamii sasa kinachoendelea
ni kwamba wanataka kuendelea kukopa tena kwenye hizo hifadhi za jamii ndiipo wakurugenzi
wao wakawa kimoja na kusema wananchi walioweka pesa zao tutawalipaje
na hapo ndipo punguani wachache wakatoa wazo la sheria yenu ya kishenzi kutumika ili
zile pesa wanazochukua kuendea usa.,uk,malawi na singida maramoja kwa mwaka na kila wiki
magamoyo wale hifadhi za jamii wasipate shida ya kudaiwa.....
Ni kitu cha kusikitisha kusikia mtu wa hazina anaongea hivi ila naamini ipo siku
watanzania wataaamka na kujua haki zao na kuamini pesa wanazoweka hifadhi za jamii sio
za wakubwa bali ni mali yao na wajukuu zao
uhai uliopo ni kwamba hii sehria inayoendelea kupigwa kelele na hawa wahuni
waitwao wabunge kuipitisha na leo hii nimesikia ati wameanza kupiga kelele
hivi unaweza kupiga kelele kwa sheria ulioipitisha mwenyewe??
J.mhagama mama na wenzio nahisi wanapoleta bajeti humo ndani mmekaa kishabiki zaidi kuwabana
wabunge wa upinzani na kushindwa kujua majukumu yenu mwisho kuishia kushtuka
mmepitisha pumba wakati is too late
ukweli uliopo nduugu zangu hazina kumekwisha...na mambaya zaidi na zaidi ni kwamba
serikali hii imekopa mikopo mingi kutoka pesa za hifadhi za jamii sasa kinachoendelea
ni kwamba wanataka kuendelea kukopa tena kwenye hizo hifadhi za jamii ndiipo wakurugenzi
wao wakawa kimoja na kusema wananchi walioweka pesa zao tutawalipaje
na hapo ndipo punguani wachache wakatoa wazo la sheria yenu ya kishenzi kutumika ili
zile pesa wanazochukua kuendea usa.,uk,malawi na singida maramoja kwa mwaka na kila wiki
magamoyo wale hifadhi za jamii wasipate shida ya kudaiwa.....
Ni kitu cha kusikitisha kusikia mtu wa hazina anaongea hivi ila naamini ipo siku
watanzania wataaamka na kujua haki zao na kuamini pesa wanazoweka hifadhi za jamii sio
za wakubwa bali ni mali yao na wajukuu zao