Mifko ya hifadhi ya jamii

Rishedy

New Member
Jul 25, 2012
2
0
Hi sheria mpya ya kutka kuwadhulumu watanzania.mi kwa upeo wangu mdodo naona sasa serikali inataka kutafuta nauli.na nibora tufe watanzania milioni[1]lakini watakao salia waishi kwa raha na aman.wengi wataniona mjinga au sijui lakini ndiohivyo.hawajamaa wamekula helazetu mpaka wamejisahau.sasa wanataka kulampaka sisi wanotuibia.angalia rada,epa,richmond,mikataba ya ten %,bado wawekezaja kwenye migod wanachimba dhahabu tena wameona haitoshi wanachukua mpaka mchanga kila wiki zaidi ya contener 30 zinsafirishwa kutoka bulyanhulu kwenda nje ya nchi,huko mbugan usiseme twiga wanavyoisha.bado tunawvumilia,lakini hapa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii tutaandamana uchi,nasiku atakapo tokea mfadhili akaingia msitun,hawalazima tuwachinje hadharan.manake hawa hawana tofauti na mamba,we mpe paja la ngo'mbe hataridhika atataka aule mpaka ule mkono ulioshika nyama,solution 2015 hata kwa mawe tuwatoe madarakan shime vijana kupiga kura
 
Back
Top Bottom