Jitengezee mchanganyiko wa viungo nyumbani

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
attachment.php
attachment.php


Mahitaji


1) Binzari ya pilau 250g

2) Karafuu kijiko kimoja cha kulia

3) Iliki 125g

4) Pilipili manga 100g

5) Mdalasini vijiti 10 vikubwa, vunja vunja

Namna ya kutayarisha


  • Weka sufuria katika moto
  • Kaanga viungo vyote taratibu visiungue
  • Weka vipoe
  • Saga alafu hifadhi katika chupa yako

Mchanganyiko huu unaweza tumia kupikia pilau, biriani n.k
attachment.php

 

Attachments

  • 1415041601288.jpg
    1415041601288.jpg
    48.3 KB · Views: 1,806
  • 1415041618358.jpg
    1415041618358.jpg
    59.5 KB · Views: 3,122
  • 1415041650748.jpg
    1415041650748.jpg
    66.8 KB · Views: 3,157
  • 1415041679088.jpg
    1415041679088.jpg
    96.9 KB · Views: 1,183
Dah umenikumbusha mama yangu maskini. Ilikuwa viungo unakaanga na kuponda just before cooking pilau.
 
Mimi vile vya unga vinavyouzwa kabisa sivipendi, ukipikia pilau hata halinogi....
Ila me nlikuwa sichanganyi na pilipili manga na karafuu..next time ntachanganya nione inakuwaje...
 
Asante. Mimi pia napenda viungo vya kuchanganya mwenyewe kama hivi badala ya kununua vilivyosagwa kabisa ambavyo kwanza unakuwa hujui vimechanganywa vipi na ni vya muda gani.
 
Shukran sana dia wangu, nitafanya hivyo over the weekend. Uwe na wakati mzuri.
 
Back
Top Bottom