Mahitaji
Unga kg 1
Sukari kiasi
Hiliki
Baking powder 1tea spoon
Hamira 1table spoon
Tui la nazi au maziwa
Samli 3 table spoon
Siagi 3 table spoon
Yai 1
Mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarisha
Changanya vitu vyote na ukande unga hadi uwe laini
Weka sehemu yenye joto joto ili uumuke kwa dakika 30..
Katakata maandazi kutokana shepu upendayo mfano duara ama pembe tatu..
Wacha hadi yaumuke weka sehemu ya joto joto
Weka mafuta kwenye karai hadi yapate moto.
Kaanga maandazi yako hadi yawe brown.
Tayari kwa kuliwa..
Waweza kula na chai,mchuzi ama upendavyo
Unga kg 1
Sukari kiasi
Hiliki
Baking powder 1tea spoon
Hamira 1table spoon
Tui la nazi au maziwa
Samli 3 table spoon
Siagi 3 table spoon
Yai 1
Mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarisha
Changanya vitu vyote na ukande unga hadi uwe laini
Weka sehemu yenye joto joto ili uumuke kwa dakika 30..
Katakata maandazi kutokana shepu upendayo mfano duara ama pembe tatu..
Wacha hadi yaumuke weka sehemu ya joto joto
Weka mafuta kwenye karai hadi yapate moto.
Kaanga maandazi yako hadi yawe brown.
Tayari kwa kuliwa..
Waweza kula na chai,mchuzi ama upendavyo