Wale wapenzi wa chocolate cake karibuni mjifunze

Lil dove

Senior Member
May 9, 2017
156
196
Cake ya 1kg

Mahitaji:
Unga g 250
Sukari g 250
Vegetable oil 250g
Baking powder 2tsp
Baking soda 1tsp
Zabibu kavu
Chumvi kidogo
Cocoa 75g
Kahawa 1cup(chemsha maji yachemke ndo uweke 2tsp ya kahawa kisha pima 1cup)
Mayai 5
Vannila 2tsp
Orange flav 1tsp
Maziwa nusu kikombe

Jinsi ya kuandaa
Washa oven,set moto wa juu na chini,weka 170°c
Andaa kifaa kwa ajili ya kuokea keki yako kwa kupaka siag chombo chote,kisha nyunyiza unga pande zote,
Chekecha unga,baking soda&powder,cocoa,chumvi kisha weka pembeni
Weka mafuta sukari kwenye mixer usage had sukar ilainike
Weka mayai na uendelee kumix kwa speed
Punguza speed na uanze kuweka mahitaji uliyochanganya mwanzo,ongeza kahawa na flavour zako,hakikisha umechanganyika vizuri
Weka kwenye chombo cha kuokea kisha chukua zabibu zako ziweke unga kidogo,hii inasaidia zisizame chin ya cake na kuungua,kisha ziweke juu ya mchanganyiko wako huku ukizizamisha kidogo kwa kutumia mkono
Weka kwenye oven na uoke kwa 80min na moto uwe 170°c
Cake ya chocolate haihitaji moto mkali ,ukiweka moto mkali inaungua au kutengeneza vishimo katikati
Baada ya lisaa angalia kama keki ni tayar kwa kuweka kijit,kikitoka kisafi means cake ni tayar ,but kikitoka kinanata keki inakuwa bado..
 
Maziwa yatatumika wapi?
Cake ya 1kg

Mahitaji:
Unga g 250
Sukari g 250
Vegetable oil 250g
Baking powder 2tsp
Baking soda 1tsp
Zabibu kavu
Chumvi kidogo
Cocoa 75g
Kahawa 1cup(chemsha maji yachemke ndo uweke 2tsp ya kahawa kisha pima 1cup)
Mayai 5
Vannila 2tsp
Orange flav 1tsp
Maziwa nusu kikombe

Jinsi ya kuandaa
Washa oven,set moto wa juu na chini,weka 170°c
Andaa kifaa kwa ajili ya kuokea keki yako kwa kupaka siag chombo chote,kisha nyunyiza unga pande zote,
Chekecha unga,baking soda&powder,cocoa,chumvi kisha weka pembeni
Weka mafuta sukari kwenye mixer usage had sukar ilainike
Weka mayai na uendelee kumix kwa speed
Punguza speed na uanze kuweka mahitaji uliyochanganya mwanzo,ongeza kahawa na flavour zako,hakikisha umechanganyika vizuri
Weka kwenye chombo cha kuokea kisha chukua zabibu zako ziweke unga kidogo,hii inasaidia zisizame chin ya cake na kuungua,kisha ziweke juu ya mchanganyiko wako huku ukizizamisha kidogo kwa kutumia mkono
Weka kwenye oven na uoke kwa 80min na moto uwe 170°c
Cake ya chocolate haihitaji moto mkali ,ukiweka moto mkali inaungua au kutengeneza vishimo katikati
Baada ya lisaa angalia kama keki ni tayar kwa kuweka kijit,kikitoka kisafi means cake ni tayar ,but kikitoka kinanata keki inakuwa bado..
 
Ambao hatuna oven hakuna njia mbadala?
Unaweza kutumia jiko la mkaa au la gesi. Weka mchanga kama vikombe viwili kwenye sufuria. Uweke jikoni upate moto si chini ya dakika 10 ndo uweke chombo chenye mchanganyiko wa keki. Funika na hakikisha hakuna hewa inaingia. Baada ya dakika 5 punguza moto na usifunue mchanganyiko kabla ya nusu saa.
 
Asante.
Unaweza kutumia jiko la mkaa au la gesi. Weka mchanga kama vikombe viwili kwenye sufuria. Uweke jikoni upate moto si chini ya dakika 10 ndo uweke chombo chenye mchanganyiko wa keki. Funika na hakikisha hakuna hewa inaingia. Baada ya dakika 5 punguza moto na usifunue mchanganyiko kabla ya nusu saa.
 
Unaweza kutumia jiko la mkaa au la gesi. Weka mchanga kama vikombe viwili kwenye sufuria. Uweke jikoni upate moto si chini ya dakika 10 ndo uweke chombo chenye mchanganyiko wa keki. Funika na hakikisha hakuna hewa inaingia. Baada ya dakika 5 punguza moto na usifunue mchanganyiko kabla ya nusu saa.
Chombo chenye mchanganyiko unakiweka kwenye sufuria lenye mchanga?
 
Back
Top Bottom